Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,409
- 81,901
Naomba nisiwachoshe.
1. Djugui Diarra
2. Kwasi Jeshi
3. Joyce Lomalisa/Farid Mussa Malick
4. Dickson Job
5. Bakary Mwamnyeto
6. Ibrahim Bacca
7. Khalid Aucho
8. Max Nzengeli
9. Stephen Aziz Kii
10. Hafiz Konkoni
11. Pacome Zouazoua.
Subs: Abutwalib Mshery, Kibwana Shomary, Nickson Kibabage, Gift Fred, Zawadi Mauya, Sure Boy, Mudathir Yahaya Abbas, Clement Mzize, Kenned Musonda, Jesus Moloko.
Lengo la kuanza na hicho kikosi ni kuhakikisha timu inashambulia kwa kasi, inamiliki mpira na pia kukaba kwa wakati mmoja. Mzize akiingia dakika za mwisho atasaidia timu kwenye kuongeza mashambulizi. Maana hao Medeama kwenye ile mechi ya yao awali kule Ghana, walionesha dalili za kukata pumzi kwenye dakika za mwisho.
Napendekeza Hafiz Konkoni kuanza, kwa sababu anawafahamu zaidi hao Medeama kuliko hata Mzize au Musonda.
Aziz Kii mchezaji mkubwa. Uwepo wake kwenye mechi kama hiyo ya kufanya maamuzi, ni muhimu sana.
All in all, mechi hii ushindi ni lazima ili kufufua matumaini ya kusonga mbele. Naitakia ushindi mnono timu ya Wananchi Yanga.
1. Djugui Diarra
2. Kwasi Jeshi
3. Joyce Lomalisa/Farid Mussa Malick
4. Dickson Job
5. Bakary Mwamnyeto
6. Ibrahim Bacca
7. Khalid Aucho
8. Max Nzengeli
9. Stephen Aziz Kii
10. Hafiz Konkoni
11. Pacome Zouazoua.
Subs: Abutwalib Mshery, Kibwana Shomary, Nickson Kibabage, Gift Fred, Zawadi Mauya, Sure Boy, Mudathir Yahaya Abbas, Clement Mzize, Kenned Musonda, Jesus Moloko.
Lengo la kuanza na hicho kikosi ni kuhakikisha timu inashambulia kwa kasi, inamiliki mpira na pia kukaba kwa wakati mmoja. Mzize akiingia dakika za mwisho atasaidia timu kwenye kuongeza mashambulizi. Maana hao Medeama kwenye ile mechi ya yao awali kule Ghana, walionesha dalili za kukata pumzi kwenye dakika za mwisho.
Napendekeza Hafiz Konkoni kuanza, kwa sababu anawafahamu zaidi hao Medeama kuliko hata Mzize au Musonda.
Aziz Kii mchezaji mkubwa. Uwepo wake kwenye mechi kama hiyo ya kufanya maamuzi, ni muhimu sana.
All in all, mechi hii ushindi ni lazima ili kufufua matumaini ya kusonga mbele. Naitakia ushindi mnono timu ya Wananchi Yanga.