Maneno mengi kwa wanaojifanya wachambuzi, lengo ni kuivuruga Yanga

vibertz

JF-Expert Member
Mar 15, 2022
1,375
2,513
Nimeona watu humu jukwaani, na mitandao mengine kumlaumu kocha wa Yanga kutofanya rotation.
Mshabiki wa Yanga mwenye akili timamu hawezi kulilia kocha afanye rotation kwenye mechi ngumu tena ni za klabu bingwa.
Mechi ngumu huchezwa na wachezaji wanaoaminika na kocha, lakini watu wanajifanya kukosoa eti kwanini Nkane, sijui Farid hawapangwi, je Nkane, Farid, Ngushi, n.k je wana quality ya kupambana dhidi ya Al Ahly? Wale Medeama na spidi ile wangeweza hao akina Ngushi?

Kuhusu rotation, Yanga bado wana michezo mingi sana mbeleni, kuna mechi za ligi kuu na mashindano ya Azam federation cup hivyo watakuja kupangwa kwenye mechi za huko mbeleni na sio kwenye ngumu za klabu bingwa eti umpumzishe Aucho halafu umuweke Mauya au sureboy, eti kisa rotation huo ni ujinga.

Yanga ina mechi ya ligi kuu tarehe 15 kisha tarehe 20 ina mechi ya klabu bingwa, hapo ndipo kwenye mazingira sahihi ya kufanya rotation kwa kocha ili kujipanga kwa mechi ya klabu bingwa. Kocha alikuwa muumini wa kufanya rotation tena alikuwa ni zaidi ya Nabi, kila mechi wanapata nafasi wachezaji tofauti tofauti kasoro Mshery peke yake hakuwahi pangwa ila akaja kudhihirisha kuwa kumbe sio wachezaji wote wa Yanga wana quality ya kucheza Yanga. Kikosi cha pili cha Yanga kimeshindwa kumfunga hata Ihefu iliyokuwa mkiani. Kile kipigo kimemfanya kocha akose imani na wachezaji wengine.

Haya malalamiko yanakuja kwavile Yanga haipati matokeo, ila kwa watu wanaojua mpira tulijua fika kuwa Yanga inashida ya straika wa maana. Kwa mpira unaochezwa Yanga kwasasa kama kungekuwa na straika wa maana, mpaka sasa timu ingekuwa na point sita na sidhani kama haya maneno ya kocha hafanyi rotation sijui maneno ya kocha hana mbinu yangekuwepo. Yanga ya mzize, Musonda na Konkoni ni changamoto kwa Gamond.
Binafsi sioni kasoro ya Gamondi mpaka sasa, timu haina straika wa maana na pia huwezi kufanya rotation kwenye mechi ngumu unayohitaji matokeo. Wenzetu wakimpumzisha mtu anaingia mtu mwenye quality sawa nae au kumzidi. Ila pale Yanga ni nani anaweza kuvaa viatu vya watu kama Pacome, Aucho, Yao, Bacca, Diarra, Max, Lomalisa, kwa ufasaha?
 
Nimeona watu humu jukwaani, na mitandao mengine kumlaumu kocha wa Yanga kutofanya rotation.
Mshabiki wa Yanga mwenye akili timamu hawezi kulilia kocha afanye rotation kwenye mechi ngumu tena ni za klabu bingwa.
Mechi ngumu huchezwa na wachezaji wanaoaminika na kocha, lakini watu wanajifanya kukosoa eti kwanini Nkane, sijui Farid hawapangwi, je Nkane, Farid, Ngushi, n.k je wana quality ya kupambana dhidi ya Al Ahly? Wale Medeama na spidi ile wangeweza hao akina Ngushi?

Kuhusu rotation, Yanga bado wana michezo mingi sana mbeleni, kuna mechi za ligi kuu na mashindano ya Azam federation cup hivyo watakuja kupangwa kwenye mechi za huko mbeleni na sio kwenye ngumu za klabu bingwa eti umpumzishe Aucho halafu umuweke Mauya au sureboy, eti kisa rotation huo ni ujinga.

Yanga ina mechi ya ligi kuu tarehe 15 kisha tarehe 20 ina mechi ya klabu bingwa, hapo ndipo kwenye mazingira sahihi ya kufanya rotation kwa kocha ili kujipanga kwa mechi ya klabu bingwa. Kocha alikuwa muumini wa kufanya rotation tena alikuwa ni zaidi ya Nabi, kila mechi wanapata nafasi wachezaji tofauti tofauti kasoro Mshery peke yake hakuwahi pangwa ila akaja kudhihirisha kuwa kumbe sio wachezaji wote wa Yanga wana quality ya kucheza Yanga. Kikosi cha pili cha Yanga kimeshindwa kumfunga hata Ihefu iliyokuwa mkiani. Kile kipigo kimemfanya kocha akose imani na wachezaji wengine.

Haya malalamiko yanakuja kwavile Yanga haipati matokeo, ila kwa watu wanaojua mpira tulijua fika kuwa Yanga inashida ya straika wa maana. Kwa mpira unaochezwa Yanga kwasasa kama kungekuwa na straika wa maana, mpaka sasa timu ingekuwa na point sita na sidhani kama haya maneno ya kocha hafanyi rotation sijui maneno ya kocha hana mbinu yangekuwepo. Yanga ya mzize, Musonda na Konkoni ni changamoto kwa Gamond.
Binafsi sioni kasoro ya Gamondi mpaka sasa, timu haina straika wa maana na pia huwezi kufanya rotation kwenye mechi ngumu unayohitaji matokeo. Wenzetu wakimpumzisha mtu anaingia mtu mwenye quality sawa nae au kumzidi. Ila pale Yanga ni nani anaweza kuvaa viatu vya watu kama Pacome, Aucho, Yao, Bacca, Diarra, Max, Lomalisa, kwa ufasaha?
Na wewe unaamini Tanzania kuna Wachambuzi wa soka? Ni hao hao Waliosema Robertinho alichukua Muda mrefu kupata first eleven. Kwa hiyo kocha akipata first eleven anaiafanyia rotation ili kupata second eleven au kupata nini?
 
Nimeona watu humu jukwaani, na mitandao mengine kumlaumu kocha wa Yanga kutofanya rotation.
Mshabiki wa Yanga mwenye akili timamu hawezi kulilia kocha afanye rotation kwenye mechi ngumu tena ni za klabu bingwa.
Mechi ngumu huchezwa na wachezaji wanaoaminika na kocha, lakini watu wanajifanya kukosoa eti kwanini Nkane, sijui Farid hawapangwi, je Nkane, Farid, Ngushi, n.k je wana quality ya kupambana dhidi ya Al Ahly? Wale Medeama na spidi ile wangeweza hao akina Ngushi?

Kuhusu rotation, Yanga bado wana michezo mingi sana mbeleni, kuna mechi za ligi kuu na mashindano ya Azam federation cup hivyo watakuja kupangwa kwenye mechi za huko mbeleni na sio kwenye ngumu za klabu bingwa eti umpumzishe Aucho halafu umuweke Mauya au sureboy, eti kisa rotation huo ni ujinga.

Yanga ina mechi ya ligi kuu tarehe 15 kisha tarehe 20 ina mechi ya klabu bingwa, hapo ndipo kwenye mazingira sahihi ya kufanya rotation kwa kocha ili kujipanga kwa mechi ya klabu bingwa. Kocha alikuwa muumini wa kufanya rotation tena alikuwa ni zaidi ya Nabi, kila mechi wanapata nafasi wachezaji tofauti tofauti kasoro Mshery peke yake hakuwahi pangwa ila akaja kudhihirisha kuwa kumbe sio wachezaji wote wa Yanga wana quality ya kucheza Yanga. Kikosi cha pili cha Yanga kimeshindwa kumfunga hata Ihefu iliyokuwa mkiani. Kile kipigo kimemfanya kocha akose imani na wachezaji wengine.

Haya malalamiko yanakuja kwavile Yanga haipati matokeo, ila kwa watu wanaojua mpira tulijua fika kuwa Yanga inashida ya straika wa maana. Kwa mpira unaochezwa Yanga kwasasa kama kungekuwa na straika wa maana, mpaka sasa timu ingekuwa na point sita na sidhani kama haya maneno ya kocha hafanyi rotation sijui maneno ya kocha hana mbinu yangekuwepo. Yanga ya mzize, Musonda na Konkoni ni changamoto kwa Gamond.
Binafsi sioni kasoro ya Gamondi mpaka sasa, timu haina straika wa maana na pia huwezi kufanya rotation kwenye mechi ngumu unayohitaji matokeo. Wenzetu wakimpumzisha mtu anaingia mtu mwenye quality sawa nae au kumzidi. Ila pale Yanga ni nani anaweza kuvaa viatu vya watu kama Pacome, Aucho, Yao, Bacca, Diarra, Max, Lomalisa, kwa ufasaha?
umeongea kwa hasira japo ni ukweli mtupu...
 
Na wewe unaamini Tanzania kuna Wachambuzi wa soka? Ni hao hao Waliosema Robertinho alichukua Muda mrefu kupata first eleven. Kwa hiyo kocha akipata first eleven anaiafanyia rotation ili kupata second eleven au kupata nini?
Wapo wachambuzi mahiri tu kuna Deleted01 NALIA NGWENA kavulata hawa ni baadhi tu ya wachambuzi bora wa JF wanataka Gamond angefanya rotation kwenye mechi za klabu bingwa. Mimi najuaga rotation hufanywa kwenye mechi nyepesi ila kumbe nilikuwa nimekariri vibaya aisee. Kumbe mechi ya juzi ya Medeama, Gamondi angemuweka nje Aucho halafu Sureboy na Mudathir au Sureboy na Mauya wangepiga kazi ili kuwapa nafasi wachezaji wengine. Dah wabongo hatari kwa ghubu, ni mwendo wa lawama na kukosoa tu kazi za watu.
 
Mna timu nzuri ila mna safu butu ya ushambuliaji, mzimu wa Mayele utawaandama sana. Ongeeni vizuri na sisi tuwape hata Boko.
Sisi tuna tatizo moja tu la umaliziaji?:vipi timu yako mliyokuwa mnajisifia kuwa mmeiba namba sita lakini leo kaja na kafichwa na Mkude, vipi mna matatizo yapi? Game mbili goal 0 halafu mmekuwa timu ya kupelekewa moto haswa muda wote roho juu, vipi nyie mmekamilika?
Mashabiki wa Yanga huwa mna jazba sana. Mnaona kila mtu anayeongelea timu yenu anaiongelea kwa nia mbaya halafu baadae mnakuja kuongea maneno yale yale mliyokuwa mnayapinga.
 
Mashabiki wa Yanga huwa mna jazba sana. Mnaona kila mtu anayeongelea timu yenu anaiongelea kwa nia mbaya halafu baadae mnakuja kuongea maneno yale yale mliyokuwa mnayapinga.
Huo uzi ulikuwa unachangia (ulioni quote)ulikuwa ni wa nani?
Ulikuwa Unazungumzia mapungufu yapi ya Yanga?
Halafu ulichoongea wewe kinatofauti gani na kilichokuwa kimeelezewa?
Mwisho kuhusu
Hiyo comment uliyojibiwa maanake ukaangaike na timu yenu, unakuja kushauri Yanga kama vile nyie timu yenu mko imara. Huo uzi ulikuwa mara tu baada ya mechi ya ngao ya jamii kuisha kwa penati. Na mwisho wa siku mkamtimua kocha wenu maanake hali yenu haikuwa shwari.
 
Huo uzi ulikuwa unachangia (ulioni quote)ulikuwa ni wa nani?
Ulikuwa Unazungumzia mapungufu yapi ya Yanga?
Halafu ulichoongea wewe kinatofauti gani na kilichokuwa kimeelezewa?
Mwisho kuhusu
Hiyo comment uliyojibiwa maanake ukaangaike na timu yenu, unakuja kushauri Yanga kama vile nyie timu yenu mko imara. Huo uzi ulikuwa mara tu baada ya mechi ya ngao ya jamii kuisha kwa penati. Na mwisho wa siku mkamtimua kocha wenu maanake hali yenu haikuwa shwari.
Yanga wametumia shortcut kukusanya kikosi cha AS Vita na ni faida ya misimu miwili. Kizazi hiki cha kina Mayele, Lomalisa na Bangala kinafikia ukingoni unaona jinsi wachezaji wameshachoka pamoja na rotation zinazofanyika. Baada ya msimu ujao Yanga itapata shida kwa sababu sidhani kama hawa kina Musonda, Mzize ni replacement za kiwango cha kina Mayele.
Pitia na hii, tena hii ndiyo ya nyuma zaidi mwezi wa 4. Nataka tu kukuonyesha kuwa haya baadhi tumewaambia zamani ila wewe ni mmoja wa watu ulikuwa unabisha kwa hoja za ajabu ukidhani unalinda brand ya timu yako. Yaani kujibu hoja ya safu yenu butu ya ushambuliaji ulikuja na hoja eti Mkude kamfunika Ngoma kwenye ngao. Kwanza haikuwa kweli na nilikujibu pale pale na pili leo Mkude yuko wapi na Ngoma yuko wapi katika viwango vya sasa?

Halafu kingine punguza kuuliza maswali katika comment zako, toa hoja ujibiwe kwa hoja maana nashindwa kujibu ukiweka rundo la maswali yasiyo na muelekeo.
 
Na wewe unaamini Tanzania kuna Wachambuzi wa soka? Ni hao hao Waliosema Robertinho alichukua Muda mrefu kupata first eleven. Kwa hiyo kocha akipata first eleven anaiafanyia rotation ili kupata second eleven au kupata nini?
Wachambuzi waliobaki unaweza kuwasikiliza ni mbwaduke, muro , sekilojo na kiemba hao wengine hakuna kitu ni njaa tupu.

Naangalia Geoff Lea anasema Nabi alikuwa anacheza soka la counter attack tofauti na Gamondi Ila amesahau au Hana data yanga imefanya counter attack ngapi toka gamondi ameanza kufundisha .

Lea amesahau timu yake ya simba ilifungwa magoli zaidi ya matatu na counter attack ya yanga , vilevile amesahau Nabi alikuwa na striker wa aina gani na sasa gamondi
Ana striker wa aina gani .
 
Pitia na hii, tena hii ndiyo ya nyuma zaidi mwezi wa 4. Nataka tu kukuonyesha kuwa haya baadhi tumewaambia zamani ila wewe ni mmoja wa watu ulikuwa unabisha kwa hoja za ajabu ukidhani unalinda brand ya timu yako. Yaani kujibu hoja ya safu yenu butu ya ushambuliaji ulikuja na hoja eti Mkude kamfunika Ngoma kwenye ngao. Kwanza haikuwa kweli na nilikujibu pale pale na pili leo Mkude yuko wapi na Ngoma yuko wapi katika viwango vya sasa?

Halafu kingine punguza kuuliza maswali katika comment zako, toa hoja ujibiwe kwa hoja maana nashindwa kujibu ukiweka rundo la maswali yasiyo na muelekeo.
Maswali kwangu ndio kipimo changu cha kujua mtu nayejadiliana nae ana akili kiasi gani navuelewa kiasi gani. Mtu anayeogopa maswali huwa ni mweupe kichwani ndio wale huwa wanajificha migongoni mwa watu ili wasionekane wakaulizwa maswali.
 
Maswali kwangu ndio kipimo changu cha kujua mtu nayejadiliana nae ana akili kiasi gani navuelewa kiasi gani. Mtu anayeogopa maswali huwa ni mweupe kichwani ndio wale huwa wanajificha migongoni mwa watu ili wasionekane wakaulizwa maswali.
Acha maneno mengi, jibu hoja
 
Acha maneno mengi, jibu hoja
Najibu vipi hoja wakati msingi wa hoja yako ni huu uzi wangu wa mwezi wa nane baada ya kuisha ngao ya jamii?

Mashabiki tuwasapoti wachezaji wetu pamoja na viongozi na benchi la ufundi pamoja na matokeo ya leo ambao niliainisha mapungufu ya timu ya Yanga na wewe ulini quote nikakujibu.

Nakuuliza maswali hapa unakuja kuleta majibu uliyokuwa unabishana na member mwingine anayeitwa Labani kwenye uzi mwingine tofauti ambao sijashiriki ku comment chochote kwenye huo uzi Simba Kimataifa Msimu Ujao: Is it road to another hell or new era of glory?

Aisee huwa sipotezagi muda kubishana na mtu asiyejua kustick kwenye hoja, na asiyejua misingi wa hoja na kujibu maswali ya hoja ya msingi. Huyo uliye mquote kwenye huo uzi ndiye uliyepaswa kumuuliza kwasababu ndiye uliyekuwa unajadiliana nae. Kama ni mimi basi stick kwenye uzi tuliokuwa tunajadiliana na kisha ukajibu maswali yangu namba 8.
 
Najibu vipi hoja wakati msingi wa hoja yako ni huu uzi wangu wa mwezi wa nane baada ya kuisha ngao ya jamii?

Mashabiki tuwasapoti wachezaji wetu pamoja na viongozi na benchi la ufundi pamoja na matokeo ya leo ambao niliainisha mapungufu ya timu ya Yanga na wewe ulini quote nikakujibu.

Nakuuliza maswali hapa unakuja kuleta majibu uliyokuwa unabishana na member mwingine anayeitwa Labani kwenye uzi mwingine tofauti ambao sijashiriki ku comment chochote kwenye huo uzi Simba Kimataifa Msimu Ujao: Is it road to another hell or new era of glory?

Aisee huwa sipotezagi muda kubishana na mtu asiyejua kustick kwenye hoja, na asiyejua misingi wa hoja na kujibu maswali ya hoja ya msingi. Huyo uliye mquote kwenye huo uzi ndiye uliyepaswa kumuuliza kwasababu ndiye uliyekuwa unajadiliana nae. Kama ni mimi basi stick kwenye uzi tuliokuwa tunajadiliana na kisha ukajibu maswali yangu namba 8.
:oops: :oops: Nilichofanya mimi ni kuwakumbusha madhaifu yenu kama mashabiki linapokuja suala zima la kuitetea timu yenu pale watu wanapotoa maoni yao. Nimequote hizo post mbili kuonyesha mifano hai ya jinsi mnavyopokeaga maoni ya watu.
 
Nimeona watu humu jukwaani, na mitandao mengine kumlaumu kocha wa Yanga kutofanya rotation.
Mshabiki wa Yanga mwenye akili timamu hawezi kulilia kocha afanye rotation kwenye mechi ngumu tena ni za klabu bingwa.
Mechi ngumu huchezwa na wachezaji wanaoaminika na kocha, lakini watu wanajifanya kukosoa eti kwanini Nkane, sijui Farid hawapangwi, je Nkane, Farid, Ngushi, n.k je wana quality ya kupambana dhidi ya Al Ahly? Wale Medeama na spidi ile wangeweza hao akina Ngushi?

Kuhusu rotation, Yanga bado wana michezo mingi sana mbeleni, kuna mechi za ligi kuu na mashindano ya Azam federation cup hivyo watakuja kupangwa kwenye mechi za huko mbeleni na sio kwenye ngumu za klabu bingwa eti umpumzishe Aucho halafu umuweke Mauya au sureboy, eti kisa rotation huo ni ujinga.

Yanga ina mechi ya ligi kuu tarehe 15 kisha tarehe 20 ina mechi ya klabu bingwa, hapo ndipo kwenye mazingira sahihi ya kufanya rotation kwa kocha ili kujipanga kwa mechi ya klabu bingwa. Kocha alikuwa muumini wa kufanya rotation tena alikuwa ni zaidi ya Nabi, kila mechi wanapata nafasi wachezaji tofauti tofauti kasoro Mshery peke yake hakuwahi pangwa ila akaja kudhihirisha kuwa kumbe sio wachezaji wote wa Yanga wana quality ya kucheza Yanga. Kikosi cha pili cha Yanga kimeshindwa kumfunga hata Ihefu iliyokuwa mkiani. Kile kipigo kimemfanya kocha akose imani na wachezaji wengine.

Haya malalamiko yanakuja kwavile Yanga haipati matokeo, ila kwa watu wanaojua mpira tulijua fika kuwa Yanga inashida ya straika wa maana. Kwa mpira unaochezwa Yanga kwasasa kama kungekuwa na straika wa maana, mpaka sasa timu ingekuwa na point sita na sidhani kama haya maneno ya kocha hafanyi rotation sijui maneno ya kocha hana mbinu yangekuwepo. Yanga ya mzize, Musonda na Konkoni ni changamoto kwa Gamond.
Binafsi sioni kasoro ya Gamondi mpaka sasa, timu haina straika wa maana na pia huwezi kufanya rotation kwenye mechi ngumu unayohitaji matokeo. Wenzetu wakimpumzisha mtu anaingia mtu mwenye quality sawa nae au kumzidi. Ila pale Yanga ni nani anaweza kuvaa viatu vya watu kama Pacome, Aucho, Yao, Bacca, Diarra, Max, Lomalisa, kwa ufasaha?
Umesema vizuri sana..
 
Mimi nilichogundua kwa kocha Garmondi, ni mzito kwenye kufanya mabadiliko, lakini pia hana Plan B wakati mchezo unaendelea. Na tofauti yake kubwa na Profesa Nabi ndiyo iko hapa.
 
Mimi nilichogundua kwa kocha Garmondi, ni mzito kwenye kufanya mabadiliko, lakini pia hana Plan B wakati mchezo unaendelea. Na tofauti yake kubwa na Profesa Nabi ndiyo iko hapa.
Swala sio mzito, ni kwamba haamini katika kwa waliopo benchi kama wanaweza kumletea matokeo.
Nabi alikuwa ana plan B ni kweli ila plan zake hutokana na namna ya kumtumia Mayele ili kupata matokeo. Yaani unaunda mipango na kuumiza kichwa akijua kuna mtu wa maana mbele. Sasa mnataka Gamondi aumize kichwa kwa target man yupi? Musonda, Konkoni au Mzize? Pengine labda Pacome au max wakacheze kama straika sio?
 
Nimeona watu humu jukwaani, na mitandao mengine kumlaumu kocha wa Yanga kutofanya rotation.
Mshabiki wa Yanga mwenye akili timamu hawezi kulilia kocha afanye rotation kwenye mechi ngumu tena ni za klabu bingwa.
Mechi ngumu huchezwa na wachezaji wanaoaminika na kocha, lakini watu wanajifanya kukosoa eti kwanini Nkane, sijui Farid hawapangwi, je Nkane, Farid, Ngushi, n.k je wana quality ya kupambana dhidi ya Al Ahly? Wale Medeama na spidi ile wangeweza hao akina Ngushi?

Kuhusu rotation, Yanga bado wana michezo mingi sana mbeleni, kuna mechi za ligi kuu na mashindano ya Azam federation cup hivyo watakuja kupangwa kwenye mechi za huko mbeleni na sio kwenye ngumu za klabu bingwa eti umpumzishe Aucho halafu umuweke Mauya au sureboy, eti kisa rotation huo ni ujinga.

Yanga ina mechi ya ligi kuu tarehe 15 kisha tarehe 20 ina mechi ya klabu bingwa, hapo ndipo kwenye mazingira sahihi ya kufanya rotation kwa kocha ili kujipanga kwa mechi ya klabu bingwa. Kocha alikuwa muumini wa kufanya rotation tena alikuwa ni zaidi ya Nabi, kila mechi wanapata nafasi wachezaji tofauti tofauti kasoro Mshery peke yake hakuwahi pangwa ila akaja kudhihirisha kuwa kumbe sio wachezaji wote wa Yanga wana quality ya kucheza Yanga. Kikosi cha pili cha Yanga kimeshindwa kumfunga hata Ihefu iliyokuwa mkiani. Kile kipigo kimemfanya kocha akose imani na wachezaji wengine.

Haya malalamiko yanakuja kwavile Yanga haipati matokeo, ila kwa watu wanaojua mpira tulijua fika kuwa Yanga inashida ya straika wa maana. Kwa mpira unaochezwa Yanga kwasasa kama kungekuwa na straika wa maana, mpaka sasa timu ingekuwa na point sita na sidhani kama haya maneno ya kocha hafanyi rotation sijui maneno ya kocha hana mbinu yangekuwepo. Yanga ya mzize, Musonda na Konkoni ni changamoto kwa Gamond.
Binafsi sioni kasoro ya Gamondi mpaka sasa, timu haina straika wa maana na pia huwezi kufanya rotation kwenye mechi ngumu unayohitaji matokeo. Wenzetu wakimpumzisha mtu anaingia mtu mwenye quality sawa nae au kumzidi. Ila pale Yanga ni nani anaweza kuvaa viatu vya watu kama Pacome, Aucho, Yao, Bacca, Diarra, Max, Lomalisa, kwa ufasaha?
Good thinking
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom