fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,022
- 5,000
mkuu mtu anayekaribia kuchukua masters anaweza kuringishia kacheti ka form 4Ujumbe wa jamaa ni kuwa tufanye kazi Kwa bidiii tusitegemeee mteremko katika mafanikio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mtu anayekaribia kuchukua masters anaweza kuringishia kacheti ka form 4Ujumbe wa jamaa ni kuwa tufanye kazi Kwa bidiii tusitegemeee mteremko katika mafanikio
vp na kwenye ndoa unapata hizo AAAAAAAA?Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
Mkuu huyo bill Gate hela kwa kiasi kikubwa ameiwekeza kwenye kutatua matatizo ya kijamii kupitia Elimu, tafiti za kisayansi kwake kusoma ni muhimu sanaThermometer ina degree 100 na kazi yake inaishia kwapani tu.
Leo nimekudharau sana sikujuwa kama wewe ni mjinga kiasi hiki.
Bakhressa na Billgates wana hata degree?
Kwahio umetuona sie mabwege sasa, kila mtu akileta gamba lake hapa si patakuwa hapatoshi!
Jinsia yako tafadhalvp na kwenye ndoa unapata hizo AAAAAAAA?
Concept yake kwenye Uzi ni kuwa watu tufanye kazi Kwa bidiii tusitegemeee miujizaHivyo hivyo watu wote si lazima wawe wasomi wa daraja la kwanza . Kama ambavyo si lazima watu wote kuwa matajiri wakubwa.
Lakini bado nakupa hongera kwa kazi ulioifanya. Hawa wa kubeti ni mfumo na utandawazi umewafikisha hapo. Usiwadharau
Ha ha ha hamkuu mtu anayekaribia kuchukua masters anaweza kuringishia kacheti ka form 4
umeshafanya ugunduzi wa nini kupitia elimu yako mkuu
Nimeisha yaona mapovuSubiri povu ndugu kuna watu hawana zuri kwa wengine...
Hii ni kuwatia hasira wadogo zetuKwahio umetuona sie mabwege sasa, kila mtu akileta gamba lake hapa si patakuwa hapatoshi!
Bahati mbaya mademu huwa sipendi sanaMkuu Nakukubali sana sana Wewe sio tuu una mabanda Bali una Exposure pia,Pia Nakumbuka Shuleni Jamaa kama wewe walikuwa wanatuchukulia watoto wakali kweli....angalia usije kutuchukulia Wadada wetu wakali wa hapa Jf Mkuu hahaha
Mkuu pia Mwandiko wako naufananisha na lemutuz akili kubwa!
dume la mbeguJinsia yako tafadhal
Mwanaume hawezi kuuliza swali hilo. Jitafakaridume la mbegu
Sio nakaribia niko mwishonimkuu mtu anayekaribia kuchukua masters anaweza kuringishia kacheti ka form 4
Wapi huko?Huko vizuri
Hongera kwa juhudi zako.Nilipata f tatu zingine d ila na uhakika kabisa kwenye kumiliki pesa utakuja kunifikia cku nikifa hapo pia cjui kwa sababu nishaengeneza msingi wa kuziendeleza nikiondoka miongoni mwa watanzania wenye maisha nafuu sikosi top 50
hahah kaka ukute ana D flat form six hua si poa ukizinguaHebu bandika na cha form 6