Mkuu Nakukubali sana sana Wewe sio tuu una mabanda Bali una Exposure pia,Pia Nakumbuka Shuleni Jamaa kama wewe walikuwa wanatuchukulia watoto wakali kweli....angalia usije kutuchukulia Wadada wetu wakali wa hapa Jf Mkuu hahaha
Mkuu pia Mwandiko wako naufananisha na lemutuz akili kubwa!
Mkuu pia Mwandiko wako naufananisha na lemutuz akili kubwa!
Watu wenye mtazamo huo wanafikra potofu. Hata MO dewji amekuza mara dufu biashara ya baba yake baada ya kutoka shule