Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
mtoa mada ni wakati sasa wa kumcompliment mkeo na masifa kedekede,unauchunaga sana au unamcritisize sana ,that made her felt unwanted,not sexy......sasa mwambia 'darling una wowowo zuri nataka unichezee peke yangu ndani sio watu wote waone' kama ana akili atakuwa kapata ujumbe:sleepy:
I wish ningezaliwa miaka 70 iliyoisha ili leo ningekua namalizia hiki kibarua kigumu cha kuishi kwenye hii dunia!