punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Mkuu ungesema ulimpatia msikitini au Kanisani halafu ndo anafanya hivyo ningeshangaa, lkn inavyoonekana wewe na yeye ni wa type hiyo ya club, na alichofanya kinaendana na mazingira ya club, hupendi hama mabondeni! Mimi huwa nashindwa kushangaa... viwanja vyako ni bar, unampata mwenza huko hlf baadaye unakuja kulalamika kuwa mwenzako chapombe sana! Huwezi kupata sega la asali kwenye kiota cha mwewe, na palipo na siafu humkuti nyoka.