Hata mi naamin yupo na uzoefu wa kutosha,xo czani kama atatuangusha kwnye hilo!!!Hahahaha nataka aikague kwanza aangalie kama tunaweza kuifanya iwe kubwa kuliko zote Africa make naona huo ujuzi wa kuzitambua kubwa duniani kabarikiwa. 😅😅
Zote nilizopost ni permanent. Hizi sio hizo merry go round zinazofungwa mara moja kwa mwaka. Hizi zinajengwa na kukaa hapo mileleHiyo ilikuwepo long time sana Mnazi mmoja, ilikuwa inaitwa lunar park au Waswahili tuliita mabembea walikuwa wanafunga kila mwaka, miaka zaidi ya 30 iliyopita, ...
Na wewe hizi siasa zitakuua..kha!Tanzania tuna kiwanja cha ndege cha kimataifa huko kijijini ndanindani chato
Tuonyeshe na USA Eye..🤣🤣🤣Shetani nilikuambia usinimention. Halafu hii sio bembea ya watoto. Hii inaitwa Kenyan eye. Pia kuna london eye. Dar slum eye iko wapi? Sasa nani ndio mshamba?
Tazama london eye inavyovutia
View attachment 1590770View attachment 1590771View attachment 1590784
Mulisaa karibu sana. Umepotea sana Geza Ulole alitudanganya kwamba umefariki. Nafurahi kukuona. Ukitaka kutazama ya USA nenda post #14 utazame Las Vegas eye. Ya Dar Slum ipo kweli?Tuonyeshe na USA Eye..🤣🤣🤣
hata sabasaba pia ilkuwepo muda sana haya mambo dah wakenya banaHiyo ilikuwepo long time sana Mnazi mmoja, ilikuwa inaitwa lunar park au Waswahili tuliita mabembea walikuwa wanafunga kila mwaka, miaka zaidi ya 30 iliyopita
Akili ndogo ufikili juu ya mambo madogo madogo. Sasa Mimi hiyo inanisaidia Nini? Muwekezaji binafsi yeyote anaweza kuamua kuwekeza kwenye ilo dude.Mulisaa karibu sana. Umepotea sana Geza Ulole alitudanganya kwamba umefariki. Nafurahi kukuona. Ukitaka kutazama ya USA nenda post #14 utazame Las Vegas eye. Ya Dar Slum ipo kweli?
ila wakenya washamba sanaShetani nilikuambia usinimention. Halafu hii sio bembea ya watoto. Hii inaitwa Kenyan eye. Pia kuna london eye. Dar slum eye iko wapi? Sasa nani ndio mshamba?
Tazama london eye inavyovutia
View attachment 1590770View attachment 1590771View attachment 1590784
Hii ni ujinga gani umeweka hapa hehehe. Hebu angalia picha niliyoweka kisha ulinganishe ni ujinga uliyopost.Hapa panaitwa kariakoo Park Zanzibar Tanzania. Nyie wakenya mna mambo ya kitoto sana.
View attachment 1590927View attachment 1590928View attachment 1590929View attachment 1590930
Unapost plastic merry go round ya watoto kisha unailinganisha na Ferris wheel? Wajinga sana nyie.Hapa panaitwa kariakoo Park Zanzibar Tanzania. Nyie wakenya mna mambo ya kitoto sana.
View attachment 1590927View attachment 1590928View attachment 1590929View attachment 1590930
Hakuna tofauti kijana.Hii ni ujinga gani umeweka hapa hehehe. Hebu angalia picha niliyoweka kisha ulinganishe ni ujinga uliyopost.
Acha ulimbukeni, ferris wheel na merry-go round, wapi na wapi?Hakuna tofauti kijana.
Tofauti yake ni aina ya camera tu. 🤣 🤣 🤣
Ferris wheel inajengwa kwa chuma sio plastiki. Ferris wheel huwa ni kubwa hata kushinda jengo la ghorofa. Pia Ferris wheel lina rooms nyingi ambazo watu sita au zaidi wanaweza kuingia ndani. Hiyo plastiki uliyopost hata kuku haiwezi kutoshea ndani.Hakuna tofauti kijana.
Tofauti yake ni aina ya camera tu. 🤣 🤣 🤣