Hiki kidude (Ferris wheel) Watanzania huwa wanakionea tu kwenye TV

Tony254

JF-Expert Member
May 11, 2017
16,017
16,427
Hiki kidude kinaitwa Ferris wheel na Malazy huwa wanakionea tu kwenye runinga kwa sababu wao hawana. Poleni sana. Kujeni Kenya mtalii.

Ebii_nyXsAIAI0-.jpeg
EOqGbaIWsAEG1h9.jpeg
D1zXd8oWoAAvTTd.jpeg
 
Kumekucha Sasa Hivi
Kenya Ujanjaujanja Tu, Hongera Sana Kuipata Hiyo
 
Hivi ninyi wakunya ushamba mnaanza kuacha lini? Mtu mzima unaturingishia bembea za watoto wadogo

Ndio maana nilikuambia nataka kukupa ajira ya uhouseboy ikutoe tongotongo
Shetani nilikuambia usinimention. Halafu hii sio bembea ya watoto. Hii inaitwa Kenyan eye. Pia kuna london eye. Dar slum eye iko wapi? Sasa nani ndio mshamba?
Tazama london eye inavyovutia
images (25).jpeg
images (24).jpeg
images (26).jpeg
 
Shetani nilikuambia usinimention. Halafu hii sio bembea ya watoto. Hii inaitwa Kenyan eye. Pia kuna london eye. Dar slum eye iko wapi? Sasa nani ndio mshamba?
Tazama london eye inavyovutia
View attachment 1590770View attachment 1590771View attachment 1590784
Co kila kitu mnaiga tu hao wana maana yao, utakuta hyo ni kielelezo cha kumuabudu Lucifer ss nyie mkaiga pasipo kujua maana yake na ndiyo maana mabalaa hayawaishi kwa kupenda kuiga iga hata ujinga.

Lini kenya mtakuwa unique km Tanzania? Mnaiga kila kitu aiseee daahh, mastesheni ya treni mnaiga, kila kitu mnaiga huu ni ujinga na aibu kwa EA.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom