Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani nilikuambia usinimention. Halafu hii sio bembea ya watoto. Hii inaitwa Kenyan eye. Pia kuna london eye. Dar slum eye iko wapi? Sasa nani ndio mshamba?Hivi ninyi wakunya ushamba mnaanza kuacha lini? Mtu mzima unaturingishia bembea za watoto wadogo
Ndio maana nilikuambia nataka kukupa ajira ya uhouseboy ikutoe tongotongo
Hahahaha kama ni eye 1 basi Tanzania tumeamua kuijenga katikati ya mapaja yako kwa nyuma 😅😅😅😅Shetani nilikuambia usinimention. Halafu hii sio bembea ya watoto. Hii inaitwa Kenyan eye. Pia kuna london eye. Dar slum eye iko wapi? Sasa nani ndio mshamba?
Tazama london eye inavyovutia
View attachment 1590770View attachment 1590771View attachment 1590784
Co kila kitu mnaiga tu hao wana maana yao, utakuta hyo ni kielelezo cha kumuabudu Lucifer ss nyie mkaiga pasipo kujua maana yake na ndiyo maana mabalaa hayawaishi kwa kupenda kuiga iga hata ujinga.Shetani nilikuambia usinimention. Halafu hii sio bembea ya watoto. Hii inaitwa Kenyan eye. Pia kuna london eye. Dar slum eye iko wapi? Sasa nani ndio mshamba?
Tazama london eye inavyovutia
View attachment 1590770View attachment 1590771View attachment 1590784
hhaahh mi naomba niwe interviewerHahahaha kama ni eye 1 basi Tanzania tumeamua kuijenga katikati ya mapaja yako kwa nyuma 😅😅😅😅
Sasa lini unakuja kwenye interview? 🤔😁
Hahahaha nataka aikague kwanza aangalie kama tunaweza kuifanya iwe kubwa kuliko zote Africa make naona huo ujuzi wa kuzitambua kubwa duniani kabarikiwa. 😅😅hhaahh mi naomba niwe interviewer