Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,084
- 1,259
Umecheza na merry-go round. Ferris wheel ni jitu lingine kabisa bwana.nimecheza nacho sana hicho Luna Park hapa-hapa TZ
Umecheza na merry-go round. Ferris wheel ni jitu lingine kabisa bwana.nimecheza nacho sana hicho Luna Park hapa-hapa TZ
Ni kitu kingine ukifananisha na kipi au cha wapi?Umecheza na merry-go round, feris wheel ni jitu lingine kabisa bwana.
Hiki kidude kinaitwa Ferris wheel na Malazy huwa wanakionea tu kwenye runinga kwa sababu wao hawana. Poleni sana. Kujeni Kenya mtalii.
Sasa mara chuma mara plastic.Ferris wheel inajengwa kwa chuma sio plastiki. Ferris wheel huwa ni kubwa hata kushinda jengo la ghorofa. Pia Ferris wheel lina rooms nyingi ambazo watu sita au zaidi wanaweza kuingia ndani. Hiyo plastiki uliyopost hata kuku haiwezi kutoshea ndani.
Ferris wheel ina rooms kadhaa ambayo watu wanaingia ndani na kutazama city inavyofanana. Huwa ni refu kama jumba la ghorofa kumi. Ukiwa ndani ya chumba kimoja cha Ferris wheel unaweza kutazama Dar Slum yote.ni kitu kingine ukifananisha na kipi au cha wapi??
Wacha nimtag BakhresaHiki kidude kinaitwa Ferris wheel na Malazy huwa wanakionea tu kwenye runinga kwa sababu wao hawana. Poleni sana. Kujeni Kenya mtalii.
Umeshaelezwa hapo kwenye bandiko la 41,kwanini mna vichwa vigumu hivi?ni kitu kingine ukifananisha na kipi au cha wapi??
Kwanini huamini kuwa nimeipanda hiyo Ferris Wheel?Ferris wheel ina rooms kadhaa ambayo watu wanaingia ndani na kutazama city inavyofanana. Huwa ni refu kama jumba la ghorofa kumi. Ukiwa ndani ya chumba kimoja cha Ferris wheel unaweza kutazama Dar Slum yote.
kichwa yako laini ehh?Umeshaelezwa hapo kwenye bandiko la 41,kwanini mna vichwa vigumu hivi?
That $h!t was in Dar during the 70s .Hiki kidude kinaitwa Ferris wheel na Malazy huwa wanakionea tu kwenye runinga kwa sababu wao hawana. Poleni sana. Kujeni Kenya mtalii.
Hii ni gani umepost hapa? Hata mtu hawezi kutazama nusu ya Dar akiwa ndani. Pia mtu mzima hawezi kutoshea ndani ya hicho kiplastiki. Linganisha hicho kiplastiki cha watoto na hii mashine ya watu wazima ambayo inatumika kutazama Dubai nzima.Sasa mara chuma mara plastic.
Hapa Funy View attachment 1590948View attachment 1590949City Dar es salaam
Ewe Daudi, wewe ni mmoja wa watu/roboti/ID/bot ambao huwa nawaheshimu sana humu,kulingana na jinsi unavyochangia kila siku humu,sasa sikutarajia maswali kama haya,eehe leo uliamkia upande upi wa kitanda? Au ni gongo umelinywa asubuhi kuu?kichwa yako laini ehh?
Where does your definition come from!?Ferris wheel ina rooms kadhaa ambayo watu wanaingia ndani na kutazama city inavyofanana. Huwa ni refu kama jumba la ghorofa kumi. Ukiwa ndani ya chumba kimoja cha Ferris wheel unaweza kutazama Dar Slum yote.
Kubwa kuliko ghorofa? Ghorofa gn inayozungumzia wwFerris wheel inajengwa kwa chuma sio plastiki. Ferris wheel huwa ni kubwa hata kushinda jengo la ghorofa. Pia Ferris wheel lina rooms nyingi ambazo watu sita au zaidi wanaweza kuingia ndani. Hiyo plastiki uliyopost hata kuku haiwezi kutoshea ndani.
Kijana hayo mambo ni ya kawaida sana. Sijajua kwanini unaona big deal.Hii ni mavi gani umepost hapa? Hata mtu hawezi kutazama nusu ya Dar akiwa ndani. Pia mtu mzima hawezi kutoshea ndani ya hicho kiplastiki. Linganisha hicho kiplastiki cha watoto na hii mashine ya watu wazima ambayo inatumika kutazama Dubai nzima.
View attachment 1590956
Wewe unaongea kuhusu Merry go round. The first Ferris wheel was the London eye and it was built more recently. So you are lying. There was no Ferris wheel anywhere in the world in the 1970s. Waongo sana nyieThat $h!t was in Dar during the 70s.
wala hata usipoteze muda kuniheshimu. sitahili heshima yoyote.Ewe Daudi, wewe ni mmoja wa watu/roboti/ID/bot ambao huwa nawaheshimu sana humu,kulingana na jinsi unavyochangia kila siku humu,sasa sikutarajia maswali kama haya,eehe leo uliamkia upande upi wa kitanda?....au ni gongo umelinywa asubuhi kuu ?
Boss, This is worth a full Thread? ama ulifika two rivers juzi? find a job bwana you are very idleHii ni mavi gani umepost hapa? Hata mtu hawezi kutazama nusu ya Dar akiwa ndani. Pia mtu mzima hawezi kutoshea ndani ya hicho kiplastiki. Linganisha hicho kiplastiki cha watoto na hii mashine ya watu wazima ambayo inatumika kutazama Dubai nzima.
View attachment 1590956