Hiki chama ni cha kidini?

Hiki chama ni cha kidini?

Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Pumbavu
 
Hivi kweli utapata haki pasipo na amani? Mimi nadhani amani kwanza kisha haki labda tukubaliane kwamba amani ipo,

Na amani kama ipo basi na haki ipo
Sema siasa ni kama mpira, kila anaefungwa hakubali na atatoa kila sababu za kweli na za uongo

Kuhusu bakwata nijuavyo ni taasisi iliyoanzishwa na serika pamoja na kanisa na ndio sio waislam wote wanaikubali

Sio kwasababu nimewasema wakristo na hicho chama mkafikiri natetea kwasababu ya uisla, no mie natetea uadilifu na amani,
Haki ije na wajibu coz hakuna haki bila wajibu na wengi wanataka haki lakini hawafanyi wajibu wao,
Mfano kila mtu anadai matibabu buee, shule bure na barabara nzuri huduma nzuri ila hakuna anaetimiza wajibu wake kwa mfani wa kulipa kodi stahiki kwa wafanyabiashara, wachuuzi pia na hakuna anaetimiza wajibu wake kwa kulinda miundo mbinu na kufichua wezi wa miundo mbinu, basi ilimradi watu wanasema na wao wanasema
Yaani oye oye wengi ni oye oye
Wizi wa kura toka 2019, 2020 na 2024 na kuua watu ni haki??

Kuua watu kwenye chaguzi ndio haki?

Mtu kusema hatoshiriki uchaguzi Kuna shida gani yaani mnataka watu waendelee kuuawa kwa sababu ya chaguzi za kuhuni

Hakuna mtu makini awe pastor, mwanasiasa, padri au mwananchi wa kawaida anaweza kukubali uhuni unaofanywa na CCM

Bora tusipige kula wajichague wenyewe watawale kuliko kuendelea kuua watu sababu ya madaraka!!
 
Divide and Rule...

Huku watu mnapigana wenyewe kwa wenyewe wakati makupe wanabadilishana kunyonya damu...

The only way ya kuweza kufanikisha haki na maisha ya wabangaizaji ni kuacha ku politicize issue (mabaya yakemewe no matter yanafanywa na nani)
 
Asante kwa jibu zuri, bado nakusanya maoni

..ili chama kiwe cha kidini inabidi kiwe kimelalia ktk misingi ya kutetea masuala ya KIIMANI ya dini husika, huku kikiwatupa mkono watu wa dini nyingine.

..hakuna wakati wowote ule Chadema ilitetea mambo ya kiimani ya dini moja, dhidi ya dini nyingine.

..hata Reforms wanazozipigania sasa hivi ikiwa zitatekelezwa zitawanufaisha Watanzania wa imani zote.

..pia Watanzania tunapaswa kuelewa kuwa suala la Reforms ktk siasa, muasisi wake sio Chadema, bali alikuwa Raisi Ally Hassan Mwinyi, akichagizwa na ripoti ya Jaji Mkuu Francis Nyalali.
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Yaani kama hizi ndio brain za jf basi tuna safari ndefu sana.
 
Wizi wa kura toka 2019, 2020 na 2024 na kuua watu ni haki??

Kuua watu kwenye chaguzi ndio haki?

Mtu kusema hatoshiriki uchaguzi Kuna shida gani yaani mnataka watu waendelee kuuawa kwa sababu ya chaguzi za kuhuni

Hakuna mtu makini awe pastor, mwanasiasa, padri au mwananchi wa kawaida anaweza kukubali uhuni unaofanywa na CCM

Bora tusipige kula wajichagie wenyewe watawale kuliko kuendelea kuua watu sababu ya madaraka!!
Usipige kura wewe, ila usihamasishe wengine, ni uhaini, mkishtakiwa mnalalamika
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
CHADEMA Ndyo zao halafu wanalialia sana wanataka huruma
 
Elewa code!

Ukiona TEC wanazungumza ujue wenye Dola ndio wanazungumza kupitia wao!!

Ukiona nyaraka zinasomwa na viongozi wa dini kama ule wa do world ujue wenye Dola hawajapendezwa na mwenyekiti yupo hatiani ama arekebishe au ajiandae kuondolewa kitini Kwa namna ambayo itaonekana inafaa!!

Utawala wa jpm umenifunza mengi sana,na procedures no zile zile!!

Unakumbuka mchezo uliotumika kuusambaratisha wanamtandao enzi za kikwete!!?jinsi padri Dr. Slaa alivyotumika kuumaliza mtandao wa kikwete Kwa kumuondoa Lowasa kwenye system!?

Unafikiri ilikua bahati mbaya!!?

Kuna jambo Moja tu naliogopa nalo ni mwenyekiti atakapoona aondoke kitini na Lisu!!unanielewa!!?mashekh kuhukumiwa kunyongwa sio kwa bahati mbaya nadhani ni wake up call kwamba anaweza kuondoka na kichwa Cha mtu!!nadhani system itakua pro active kwenye hilo coz mtu anapopoteza madaraka hatotaka ayapoteze kilelemama lazima na na yeye ataamua kuwaachia majeraha wale waliomtuma chambo Cha process nzimae ya no reform no election!

Mawazo TU haya!!
 
Lazima wakemee dhambi kwa nguvu zao zote, tumechoshwa na uhuni
 
Back
Top Bottom