mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,488
- 2,979
- Thread starter
- #81
We unafkiri wakiwa chadema hawatafanya hivyo? Hakuna malaika hapa sote watuWahi milembe
We unafkiri wakiwa chadema hawatafanya hivyo? Hakuna malaika hapa sote watuWahi milembe
PumbavuKwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?
Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,
Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin
Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Wewe ni wakili?Una maswali yaliyokwenda shule .Palikuwa na tume pale ya uchaguzi?
Walishindana na chama gani?
Wizi wa kura toka 2019, 2020 na 2024 na kuua watu ni haki??Hivi kweli utapata haki pasipo na amani? Mimi nadhani amani kwanza kisha haki labda tukubaliane kwamba amani ipo,
Na amani kama ipo basi na haki ipo
Sema siasa ni kama mpira, kila anaefungwa hakubali na atatoa kila sababu za kweli na za uongo
Kuhusu bakwata nijuavyo ni taasisi iliyoanzishwa na serika pamoja na kanisa na ndio sio waislam wote wanaikubali
Sio kwasababu nimewasema wakristo na hicho chama mkafikiri natetea kwasababu ya uisla, no mie natetea uadilifu na amani,
Haki ije na wajibu coz hakuna haki bila wajibu na wengi wanataka haki lakini hawafanyi wajibu wao,
Mfano kila mtu anadai matibabu buee, shule bure na barabara nzuri huduma nzuri ila hakuna anaetimiza wajibu wake kwa mfani wa kulipa kodi stahiki kwa wafanyabiashara, wachuuzi pia na hakuna anaetimiza wajibu wake kwa kulinda miundo mbinu na kufichua wezi wa miundo mbinu, basi ilimradi watu wanasema na wao wanasema
Yaani oye oye wengi ni oye oye
Hoja ipi hapo?Mkishindwa hoja, au hoja ikiwa ngumu mnakimbilia matusi, ok sawa hiyo nayo ni mbinu na ndio mbinu zenu hizo,
"Tufanye fujo inchi isitawalike nk nk nk
Asante kwa jibu zuri, bado nakusanya maoni
Kama CHADEMA wenyewe wanataka TUME HURU na KATIBA MPYA iweje useme wao wanataka kuiba chaguzi?!We unafkiri wakiwa chadema hawatafanya hivyo? Hakuna malaika hapa sote watu
Yaani kama hizi ndio brain za jf basi tuna safari ndefu sana.Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?
Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,
Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin
Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Usipige kura wewe, ila usihamasishe wengine, ni uhaini, mkishtakiwa mnalalamikaWizi wa kura toka 2019, 2020 na 2024 na kuua watu ni haki??
Kuua watu kwenye chaguzi ndio haki?
Mtu kusema hatoshiriki uchaguzi Kuna shida gani yaani mnataka watu waendelee kuuawa kwa sababu ya chaguzi za kuhuni
Hakuna mtu makini awe pastor, mwanasiasa, padri au mwananchi wa kawaida anaweza kukubali uhuni unaofanywa na CCM
Bora tusipige kula wajichagie wenyewe watawale kuliko kuendelea kuua watu sababu ya madaraka!!
Hapo usa, kenya wana time na katiba mpya na malalamiko hayeshiKama CHADEMA wenyewe wanataka TUME HURU na KATIBA MPYA iweje useme wao wanataka kuiba chaguzi?!
Kama umeishiwa na HOJA please pumzika.
CHADEMA Ndyo zao halafu wanalialia sana wanataka hurumaKwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?
Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,
Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin
Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Kuna uhaini gani kuwaamasisha wanachama wa chama changu kutopiga kura?Usipige kura wewe, ila usihamasishe wengine, ni uhaini, mkishtakiwa mnalalamika
Huwezi kufananisha na hizi chafuzi za CCM.Hapo usa, kenya wana time na katiba mpya na malalamiko hayeshi
Kipi hicho ,pumbavu sio tusi , nyie maccm mtafundishwa mpaka lini, akili yenu mbona ipo chini sana?Ndio mnachoweza hicho
Halafu mnataka inchi
Kumzuia mtu au raia yeyote kutekeleza haki yake kwa namna yeyote ni kosa kisheria na kina adhabuKuna uhaini gani kuwaamasisha wanachama wa chama changu kutopiga kura?
Nakuomba uniwekee kifungu Cha Sheria hapa
Si ije tu kama ya Kenya, unawashwa washwa nini sasaHapo usa, kenya wana time na katiba mpya na malalamiko hayeshi