Dadi Barnea
JF-Expert Member
- Nov 30, 2024
- 653
- 1,305
Ni chama cha watu enlightened, sasa enlightenment haipo upande wenu maana hampendi elimu kutwa kucha kukimbizana na ndoa na viandazi mkononi na vipande vya ndiziKwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?
Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,
Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin
Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida