Hiki chama ni cha kidini?

Hiki chama ni cha kidini?

Wizi wa kura toka 2019, 2020 na 2024 na kuua watu ni haki??

Kuua watu kwenye chaguzi ndio haki?

Mtu kusema hatoshiriki uchaguzi Kuna shida gani yaani mnataka watu waendelee kuuawa kwa sababu ya chaguzi za kuhuni

Hakuna mtu makini awe pastor, mwanasiasa, padri au mwananchi wa kawaida anaweza kukubali uhuni unaofanywa na CCM

Bora tusipige kula wajichague wenyewe watawale kuliko kuendelea kuua watu sababu ya madaraka!!
Tatizo mlisema mtakinukisha.Tatizo sio kutoshiriki.Usishiriki uchaguzi lakini usifanye fujo ,usimzuie anayataka kupiga kura.Kumzuia na kumfanyia fujo anayetaka kupiga kura sio haki.
 
Elewa code!

Ukiona TEC wanazungumza ujue wenye Dola ndio wanazungumza kupitia wao!!

Ukiona nyaraka zinasomwa na viongozi wa dini kama ule wa do world ujue wenye Dola hawajapendezwa na mwenyekiti yupo hatiani ama arekebishe au ajiandae kuondolewa kitini Kwa namna ambayo itaonekana inafaa!!

Utawala wa jpm umenifunza mengi sana,na procedures no zile zile!!

Unakumbuka mchezo uliotumika kuusambaratisha wanamtandao enzi za kikwete!!?jinsi padri Dr. Slaa alivyotumika kuumaliza mtandao wa kikwete Kwa kumuondoa Lowasa kwenye system!?

Unafikiri ilikua bahati mbaya!!?

Kuna jambo Moja tu naliogopa nalo ni mwenyekiti atakapoona aondoke kitini na Lisu!!unanielewa!!?mashekh kuhukumiwa kunyongwa sio kwa bahati mbaya nadhani ni wake up call kwamba anaweza kuondoka na kichwa Cha mtu!!nadhani system itakua pro active kwenye hilo coz mtu anapopoteza madaraka hatotaka ayapoteze kilelemama lazima na na yeye ataamua kuwaachia majeraha wale waliomtuma chambo Cha process nzimae ya no reform no election!

Mawazo TU haya!!
Kwa nilivyokuelewa ni umekiri kwamba chadema ni chama cha kidini kupitia ufahamu wa kwamba inchi inaendeshwa na kanisa

Hongera kwa kushiriki na kujibu
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Uzi wako ni wa kijinga
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Siyo viongozi wa dini, sema viongozi wa RC, RC ni kanisa baguzi sana halafu ina arrogance flani, inajiona ndio yenye wafuasi wengi, inafikiri linaogopwa ukwl ni kuwa hakuna anayewajali. Wameshazoeleka hawana ht aibu kila Rais akiwa muislam hawatuliagi ni nyaraka. Bahati nzuri nchi hii inawafahamu, siku hizi wanapuuzwa ni sawa na mbwa asiye na meno. Wanajiaibisha tu bora wangetulia. Waombe hekima na maarifa ya Kimungu
 
Kwa nilivyokuelewa ni umekiri kwamba chadema ni chama cha kidini kupitia ufahamu wa kwamba inchi inaendeshwa na kanisa

Hongera kwa kushiriki na kujibu
Yaani we jamaa!!
Dini ndio zilianzisha vyama vyote unavyoviona na hatma ya huko tuendako inaamuliwa kanisani na misikitini!!

Chadema na upinzani hutumika TU kama ccm inavyotumika na wao!waliamua ccm ndio iaminike halafu wapinzani wawe wapiga kelele Ili ccm isiharibu zaidi !!

Wakati wa jpm walipiga kelele,wakati wa mwinyi kelele zilipigwa pia n.k!!!
Ishu ya udini IPO ndani ya CCM na upinzani Kwa ujumla sio upinzani pekee!!
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Rais dhaifu akishindwa kuongoza Kwa weledi daima hukimbilia kujificha kwenye kivuli cha udini akitumia machawa kutoka dini yake
 
Back
Top Bottom