Hiki chama ni cha kidini?

Hiki chama ni cha kidini?

Wewe ndiye mdini kwanini wengine hawajaona kwa jicho la udini, kinywa cha mtu hutamka yaujazayo moyo wake. Bakwata inaunga mkono CCM kwa hiyo tuseme CCM ni chama cha Kiislamu? Tumia akili hiyo hiyo kidogo uliyobakishiwa.
Na ndio maana wakatoliki wanaunga mkono chadema?
 
Kwa nijuavyo bakwata ni taasisi ya serikali na pengine ni kweli kwamba bakwata imeanzishwa na kusimamiwa na kanisa na mimi siikubali bakwata, wasiwasi wenu ndio unawatesa

Swali langu liko wazi kabisa kwa kuwa mumeshaelewa ni chama gani na dini gani so unaweza kusema tu ni yes au no
Ndiyo maana nimekushauri tuanze kwanza na Bakwata. Au unataka kusema kama Bakwata huikubali, hiyo dini nyingine ndiyo unaikubali?
 
Wakatoliki wanaunga mkono uwepo wa amani na haki kwenye nchi. Na siyo kuhubiri tu kuhusu amani, huku haki ya wananchi muchagua viongozi wanao wataka, ikiendelea kudhulumiwa na wahuni wachache.
Ccm imeleta amani inchi hii mpaka inamwagika, na penye amani ndi penye haki ila wakatoliki wamezoea fujo na ndio wakanzisha na kudhamini mauaji ya kimbari na hata kongo sasa wanakazana kuua watu, n afrika ya kati ndio wanaua sana ndugu zetu, ila siku vikianza na sisi hapa tutawashughulikia kweli bwashee

Chadema ni wakatoliki watupu
 
Ccm imeleta amani inchi hii mpaka inamwagika, na penye amani ndi penye haki ila wakatoliki wamezoea fujo na ndio wakanzisha na kudhamini mauaji ya kimbari na hata kongo sasa wanakazana kuua watu, n afrika ya kati ndio wanaua sana ndugu zetu, ila siku vikianza na sisi hapa tutawashughulikia kweli bwashee

Chadema ni wakatoliki watupu
Isije tu ikawa ninabishana hapa na kitoto cha 2010+
Kama akili yako inakuambia eti ccm imeleta amani kwenye hii nchi! Basi ni ushahidi tosha wewe ni hamnazo.
 
Najua kuna idara zenu maalum za kuhandle haya mambo na naona hapa mumetumwa kuja kuipoteza hoja ila najua ujumbe umeshafika na sitachoka kuwakumbusha

Swali liko pale pale je hiki ni chama cha kidini?
 
Isije tu ikawa ninabishana hapa na kitoto cha 2010+
Kama akili yako inakuambia eti ccm imeleta amani kwenye hii nchi! Basi ni ushahidi tosha wewe ni hamnazo.
Unataka kusema ni chadema ndio imeleta?
Sasa hapo nani mtoto
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Kwani mufti anasemaje??
 
Hao waislam wako wapi! Mbona kwenye huu uzi wako, hata CHAWA tu wasiojua kutofautisha kati kizuri na kibaya; wameshindwa kukuunga mkono.

Kwa hiyo wewe endelea tu kufurahisha genge. Nikiendelea kubishana na mjinga, nitaonekana na mimi ni mjinga kama wewe tu.
CHIEF PRIEST jamaa yako kala kona

Nimeuliza swali mimi wala sikutaka kuungwa mkono, yeyote anaweza kujibu

Swali: je chama kile ni cha kidini?
 
Kwanini matamko yao yanaungwa mkono na viongozi wa dini?

Ni either wanaanza wao kusema au kutoa tamko na halafu viongozi wa dini flani wanaunga mkono na kusisitiza au wananza viongozi wa dini flani kisha wao wanaunga mkono na kusisitiza,

Tena hao viongozi wa hicho chama wanatoa matamko ya kuamrisha serikali na wala sio kushauri au kupendekeza
Yaani ni amri tu kwanini lakin

Waungwana msifute hii, acheni tujadili tupeane faida
Ndugu, lazima utakuwa na tatizo la akili. Kama ungekuwa na akili timamu lazima ungekujua kuwa hapa Tanzania hakuna chama kinachoungwa mkono au kukataliwa na dini moja.

Kuna wachungaji, manabii, maaskofu na kuna mashekhe pia wanaoimba wimbo wa CCM, 'tulinde amani' (ie hata kama hakuna haki). Kwa uchache, umesikia tamko la Malasusa na shekhe mkuu wa BAKWATA, wakiimba huo wimbo.

Lakini wapo viongozi wa dini, maaskofu, wachungaji, manabii, mashekhe, wanaungana na watanzania walio wengi kuwa huwezi kuongelea Amani, bila kuongrlea HAKI. Hawa wanaungana na wananchi wengi wenye akili timamu, wasio wanafiki, wanaoipenda nchi yao, wanaoona wazi kuwa mifumo yetu ya udhulumaji haki iliyotamalaki kwenye nchi hii, ni tishio kwa amani yetu, tukitaka amani ya kweli ni lazima tufanyie maboresho ya sheria na mifumo inayotengeneza mazingira ya kuwadhumuru wananchi. SHURA YA MAIMAMU, TEC, Maaskofu, wachungaji, manabii na mashekhe, mmoja mmoja wamesimama kwenye msingi huu.

Na hakika, yeyote ambaye hataki kurekebisha na kubora mifumo yetu ambayo ni ya kuwadhulumu wananchi mamalaka yao, ni mashetani na maibilisi wakubwa.

Nchi inataka haki, haitaki kuendelea na ushetani unaofurahiwa na tale maibilisi ya CCM.
 
Hao waislam wako wapi! Mbona kwenye huu uzi wako, hata CHAWA tu wasiojua kutofautisha kati kizuri na kibaya; wameshindwa kukuunga mkono.

Kwa hiyo wewe endelea tu kufurahisha genge. Nikiendelea kubishana na mjinga, nitaonekana na mimi ni mjinga kama wewe tu.
Umenipunguzia like moja,
Nina elfu mbili plus unaweza kuzipunguza pia ila ukweli ni swali lipi pale pale,
 
Back
Top Bottom