....pale alipomuona Bikira Maria !Malaika uliwaona wapi?
....naona unajichanganya tu ! ChemtrailKwa mtu anayemjua Mungu wa kweli,mavazi sio ishu.Jambo la msingi ni kuvaa mavazi yanayositiri mwili.Ukiona mtu anang'ang'ania kuvaa mavazi ya aina fulani kwa kisingizio cha dini ujue mtu huyo kiroho ni mtupu,kwa maana nyingine hamjui Mungu wa kweli.
Kwa mtu anayemjua Mungu wa kweli,mavazi sio ishu.Jambo la msingi ni kuvaa mavazi yanayositiri mwili.Ukiona mtu anang'ang'ania kuvaa mavazi ya aina fulani kwa kisingizio cha dini ujue mtu huyo kiroho ni mtupu,kwa maana nyingine hamjui Mungu wa kweli.
kwani Mungu gani anayelazimisha watu?Mungu wa Kweli huwa halazimishi watu, na ndiyo maana alipomuumba Adam alimruhusu pia kuwa huru ktk kumuamini, na kumuabudu, na ndiyo maana alipokosea aliweka mpango kabambe wa kumkomboa kizazi cha Adam kupitia Yesu Kristo. Hivyo ukiona kitu kama kulazimisha ujue hapo shetani anahusika. Na ndiyo maana kwa wakristo na shule zao wanatoa uhuru wa kuamini na kuabudu.
Somalia: Islamic supremacists murder Christian woman for refusing to wear veilPolisi ufaransa wakilazimisha mama wa \kiislaam avue Hijjab !
View attachment 433871
naona umekuwa islamic preacher.hongera yakoView attachment 434160
Pilot wa Kike wa Ndege za Kijeshi wa Pakistan
hawa vipi wamejisitiri au wamevaa ?? Chemtrail
Leo ndo nimejua kuwa uso niuchiKwanza kabla ya kuendelea na suala hili la kwanini kuna double standards. Mie naona suala kubwa hapo ni hijabu. wengi wetu labda hatujui maana hata ya hijabu ila tunakurupuka tu kuanza ubishi. HIJABU ni vazi analovaa mwanamke ili kuficha uchi wake. Sehemu zinazotakiwa kuonekana ni uso na viganja vya mikono.
kwa kifupi hijabu haina dini fulani wala fulani. Hijabu ni wajibu wa kila mwanamke au mkristo ama muislamu. Sasa hizo shule zinazojiita za kikristo kwanini haziwalazimishi watoto wa kikistro kuvaa hijabu? Nadhani hilo mdio swali muhumu kujiuliza
That's true broHijab zivaliwe msikitini tu basi Hata kwenye public gathering zipigwe marufuku kabisa
me sipendi...huwa nawajibu me si Sheikh bana..halafu wanajustify kwa maneno uliyosemaWatakupa na "justification" tu, kwamba sheikh maana yake mwanaume mtu mzima!! Wananipaga raha sana hawa watu![]()
![]()
![]()
...at last kuna kitu umekiona !naona umekuwa islamic preacher.hongera yako
Dhambi ni nguruwe tu ila uzinzi na kufuga majini kwako safi?
Ni haki yako...at last kuna kitu umekiona !
Mbona naona kama vile hujaelewa nilichoandika. Hebu acha kukurupuka soma vizuri uelewe nilichosema.Leo ndo nimejua kuwa uso niuchi