wala sina tatizo na hayo mavazi hata wakiziba na uso mzima .kama utaratibu wa shule kukubali.Mavazi pia ni utamaduni, na kama mtu hajavunja sheria.
Chuo cha ualimu marangu mtoni, jengo la utawala lina msalaba. Uongozi wa wanafunzi waislam uliwahi kugoma wakishinikiza msalaba uliopo jengo la utawala utolewe. Mkuu wa chuo aliwaambia selikari imeazima majengo tu hivyo kama hawawezi kusoma pale watafute sehemu nyingine.
Nimetamani sana kupata michango yenu kuhusu jambo hili
Shule za dini ni seminary za dini husika, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pale ninapoona double standard ktk kuvaa hijab kwa watoto wa kiislam ktk seminary za Ki-kristo.
Mtoto wa kikristo akijiunga kwenye shule inayomilikiwa na dini ya kiislam analazimishwa avae hijab lakini mtoto wa kiislam anapojiunga na seminary za kikristo pia analazimisha kuvaa hijab na iwapo sheria ya shule itamkataza serikali inaingilia kati kwamba hilo ni swala la imani. Je swala la imani linaegemea upande mmoja?
Haki itendeke kote
Nashindwa kuelewa wakristo nyinyi dini. Yenu. IPO wapi non maana ya ibada kwenu ninj maana ya mila na destur nini mmejifunza kutoka kwa yesu kuna mtu alisema ukitaka kuwa mfuas wa yesu sio usikilize maneno. Yake Bali jaribu kuwa kama yeye kwa kiwango kile mungu amekupa nashangaa mtu linapokuja swala la mazish yesu alizikwa na sanda wanasema sio mila zetu Marian mama Yake yesu anafahamika kama bikira maria naye mpaka kuna watu wameeka sala Yake ila anapovaa hijab bado tunasema mila za wayahudDid you see her when she was with other people? Do you know her culture and tradition? where is it written in the Bible concerning the dress code of Mary?
Malaika uliwaona wapi?View attachment 434163
Kama Malaika !
Mungu wa Kweli huwa halazimishi watu, na ndiyo maana alipomuumba Adam alimruhusu pia kuwa huru ktk kumuamini, na kumuabudu, na ndiyo maana alipokosea aliweka mpango kabambe wa kumkomboa kizazi cha Adam kupitia Yesu Kristo. Hivyo ukiona kitu kama kulazimisha ujue hapo shetani anahusika. Na ndiyo maana kwa wakristo na shule zao wanatoa uhuru wa kuamini na kuabudu.Nimetamani sana kupata michango yenu kuhusu jambo hili
Shule za dini ni seminary za dini husika, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pale ninapoona double standard ktk kuvaa hijab kwa watoto wa kiislam ktk seminary za Ki-kristo.
Mtoto wa kikristo akijiunga kwenye shule inayomilikiwa na dini ya kiislam analazimishwa avae hijab lakini mtoto wa kiislam anapojiunga na seminary za kikristo pia analazimisha kuvaa hijab na iwapo sheria ya shule itamkataza serikali inaingilia kati kwamba hilo ni swala la imani. Je swala la imani linaegemea upande mmoja?
Haki itendeke kote