Pita, achia msemo maarufu wa kishule unaoukumbuka (mwanafunzi/mwalimu/mzazi)

Avatar

JF-Expert Member
Mar 7, 2012
11,127
11,908
Wakuu...

Habari ya jumamosi tulivu hapo ulipo??

Umeshapata chai????

Sasa sikiliza nikuambie,

Najua ulishapita shule, iwe chekechea, vidudu, msingi, sekondari hata chuoni.

Kama utakua unakumbuka vizuri, tulikua na:
1. Majina ya utani ambayo iwe mwalimu au mwanafunzi kutaniwa

2. Misemo ya kiutani au ya kiukweli ambayo ni maarufu tulikua tukiitumia katika mambo ya ufaulu, ulipaji ada na kadhalika

3. Au hata sehemu yoyote ambayo inajihusisha na elimu kwa ujumla..


Sasa kwanini nimeandika hivi??

Ni hivi, leo nilipo amka asubuhi, nikawa nimekumbuka sana enzi nasomesha.

Ilikuwa ikifika kipindi cha ulipaji ada mambo yanakua moto sana utasikia

"January hii bwana hakuna hela"

Sasa naomba wakati tukiendelea kuvinjari mapumziko

Dondosha utani wako unaoukumbuka kwenye kada ya mambo ya kishule ...

Niko hapa nasubiri kusoma unachokikumbuka

1.. 2.. 3... twende kazi
 

Attachments

  • IMG-20230908-WA0001.jpg
    IMG-20230908-WA0001.jpg
    68.4 KB · Views: 10
...Pale mmetoka kwenye mtihan wa mathe... Mara unaskia wakali wa mathe wanabishana "swali la 6 jibu lilikuwa 3", mwingine anasema "jibu lilikuwa -3"... Wakati huo wewe umepata 264
 
...Pale mmetoka kwenye mtihan wa mathe... Mara unaskia wakali wa mathe wanabishana "swali la 6 jibu lilikuwa 3", mwingine anasema "jibu lilikuwa -3"... Wakati huo wewe umepata 264
Inauma sana.. unaishia kulia kimoyomoyo...

Kimyaaa
 
Mbona akina flan walikua wanafaulu sana , sasahv wananini,.......hapo tunaliwazana baada ya kufel mtihan
 
...Pale mmetoka kwenye mtihan wa mathe... Mara unaskia wakali wa mathe wanabishana "swali la 6 jibu lilikuwa 3", mwingine anasema "jibu lilikuwa -3"... Wakati huo wewe umepata 264
 
Back
Top Bottom