Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
Wakuu...
Habari ya jumamosi tulivu hapo ulipo??
Umeshapata chai????
Sasa sikiliza nikuambie,
Najua ulishapita shule, iwe chekechea, vidudu, msingi, sekondari hata chuoni.
Kama utakua unakumbuka vizuri, tulikua na:
1. Majina ya utani ambayo iwe mwalimu au mwanafunzi kutaniwa
2. Misemo ya kiutani au ya kiukweli ambayo ni maarufu tulikua tukiitumia katika mambo ya ufaulu, ulipaji ada na kadhalika
3. Au hata sehemu yoyote ambayo inajihusisha na elimu kwa ujumla..
Sasa kwanini nimeandika hivi??
Ni hivi, leo nilipo amka asubuhi, nikawa nimekumbuka sana enzi nasomesha.
Ilikuwa ikifika kipindi cha ulipaji ada mambo yanakua moto sana utasikia
"January hii bwana hakuna hela"
Sasa naomba wakati tukiendelea kuvinjari mapumziko
Dondosha utani wako unaoukumbuka kwenye kada ya mambo ya kishule ...
Niko hapa nasubiri kusoma unachokikumbuka
1.. 2.. 3... twende kazi
Habari ya jumamosi tulivu hapo ulipo??
Umeshapata chai????
Sasa sikiliza nikuambie,
Najua ulishapita shule, iwe chekechea, vidudu, msingi, sekondari hata chuoni.
Kama utakua unakumbuka vizuri, tulikua na:
1. Majina ya utani ambayo iwe mwalimu au mwanafunzi kutaniwa
2. Misemo ya kiutani au ya kiukweli ambayo ni maarufu tulikua tukiitumia katika mambo ya ufaulu, ulipaji ada na kadhalika
3. Au hata sehemu yoyote ambayo inajihusisha na elimu kwa ujumla..
Sasa kwanini nimeandika hivi??
Ni hivi, leo nilipo amka asubuhi, nikawa nimekumbuka sana enzi nasomesha.
Ilikuwa ikifika kipindi cha ulipaji ada mambo yanakua moto sana utasikia
"January hii bwana hakuna hela"
Sasa naomba wakati tukiendelea kuvinjari mapumziko
Dondosha utani wako unaoukumbuka kwenye kada ya mambo ya kishule ...
Niko hapa nasubiri kusoma unachokikumbuka
1.. 2.. 3... twende kazi