Hii tabia ya kutukanwa Hayati Magufuli na wasaka vyeo kwa Samia ukiendelea tunawaonya tutakipasua CCM humu mitandaoni

Na ndo kafa yeye katuacha.
CCM ilikuwa na utamaduni wa kuheshimiana, yeye ndo kaja kaanzisha tabia ya kutukana viongozi wastaafu, rejea kina Musiba, Hapi....sasa kibao kimemgeukia alale Kwa kutulia huko kaburini ale mitusi.
Huna wafu huko kwenye ukoo wako ama huwa hamfi kwenu?!
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Wasaliti wa magufuli hadi kumuomba msamaha wanadiriki kuhoji integrity yake baada ya yeye kufa na kujipendekeza kwa mama ili kupewa cheo. Kuna huyu nape tunamuonya. Kuna january kajipendekeza hadi kapewa cheo kwa connection tunazijua. Kuna membe. Wacha waendelee kama hatujakipasua kidebe hiki ccm. Mjue uimara wa ccm ni kuwaepuka wanafiki na kutetea maslahi ya umma. Vinginevyo tutakipasua.
 
Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Umemaliza kila kitu.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
BIG UP
 
Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
ukisema hivyo ndio familia inapata mahitaji. Sasa funza wanamfaidi tu huko ardhini
 
Kutesa kwa zamu jamani watu tuliogopa hata kumtaja Rais wetu hazarani....ukisikia hodi home kwako na. Wac wac mtupu wasiojulikana sasa hivi tuna amani.... Mungu sio bwege ati.....kiko wp eehh?

TZ iko pale pale na tunasonga mbele chini ya mama yetu Samia....hakuna viroba koko beach....hakuna wasiojulikana hakuna kubambikiwa kesi.. hakuna uporaji wa pesa za wa Tanzania..... hakuna task force.... hakuna maelekezo toka kwa mfalme njoozi....peace and love now....mtuache.... ukweli ndio huo...tuliteswa Sanaa
 
Kweli alikuwa mshamba.
Wajanja ni wale wanaoyaacha mafisadi yajimwambafai na kuzurumu hadi kuuwa RAIA masikini

Dhalimu mwenyewe alikuwa muuaji, na hajawahi kupambana na ufisadi, bali matumizi ya neno fisadi.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Wewe jamaa unafikiri kwa kutumia nini?
Badala ya kukipambania chama ambacho kipo,unampambani magufuli ambae hayupo!!

Duuh! Ammaa akili ni nywele!

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Ukimuona mtu anamsifia magufuli Ujue ni mnufaika wa wizi wa 1.5tn

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa ni dhalimu na mshamba wa kutupa, tunashukuru Mungu Kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
Sasa Mungu wako mbona hajakuondolea ccm inayokupa stress kila siku?
 
Kwa kunisaidia onyesha barabara yoyote aliyojenga kwa mshahara wake.


Ameanza na mchafu zaidi.
Waliobaki wasafi?

Sasa unalialia kitu gani humu?
Mpaka mnasusia uchaguzi tena uchaguzi mdogo?
 
Si
Waliobaki wasafi?

Sasa unalialia kitu gani humu?
Mpaka mnasusia uchaguzi tena uchaguzi mdogo?
Si wasafi, ila sio makatili kama yeye. Hatushiriki ukhanithi na hilo halina mjadala. Kapikeni idadi ya wapiga kura kuongopea umma kuwa mnakubalika.
 
Si

Si wasafi, ila sio makatili kama yeye. Hatushiriki ukhanithi na hilo halina mjadala. Kapikeni idadi ya wapiga kura kuongopea umma kuwa mnakubalika.
Siyo wakatili kama yeye!

Sasa mnaogopa nini kushiriki uchaguzi? Katili wenu si hayupo?
 
Hatushiriki tunataka mshinde vizuri, ww unapoteza nini?
Kwa hiyo nyie hamtaki kushinda?

Muda ni mwalimu mzuri, 2025 sijui mtamsingizia nani mtakapopata kipigo cha mbwa koko maama dhalimu wenu wa kumbebeshea zigo hayupo
 
Wasaliti wa magufuli hadi kumuomba msamaha wanadiriki kuhoji integrity yake baada ya yeye kufa na kujipendekeza kwa mama ili kupewa cheo. Kuna huyu nape tunamuonya. Kuna january kajipendekeza hadi kapewa cheo kwa connection tunazijua. Kuna membe. Wacha waendelee kama hatujakipasua kidebe hiki ccm. Mjue uimara wa ccm ni kuwaepuka wanafiki na kutetea maslahi ya umma. Vinginevyo tutakipasua.
" ...uimara wa CCM ni kuwaepuka wanafiki..."
Sasa hapo chama si kitaepuka wanachama wake wote na kutokuwa na hata mfagizi wa ofisi ya tawi!!!???
 
Kwa hiyo nyie hamtaki kushinda?

Muda ni mwalimu mzuri, 2025 sijui mtamsingizia nani mtakapopata kipigo cha mbwa koko maama dhalimu wenu wa kumbebeshea zigo hayupo

Hakuna ccm ya kushinda tena kwa kishindo kwa uchaguzi halali nchi hii. Hilo hata utembee uchi nchi nzima. Hiki sio kizazi cha hicho chama cha kizee. Na kwa taarifa yako bila tume huru ya uchaguzi, hakuna mtu mwenye akili timamu atashiriki huo upuuzi. Na mkilogwa tu mkakubali tume huru ya uchaguzi huo ndio utakuwa mwisho wa ccm kuwa na maamuzi ya kipuuzi kwenye nchi hii.
 
Back
Top Bottom