Hii tabia ya kutukanwa Hayati Magufuli na wasaka vyeo kwa Samia ukiendelea tunawaonya tutakipasua CCM humu mitandaoni

jitombashisho

JF-Expert Member
Jun 11, 2020
667
2,242
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.

Magufuli hatukanwi, analezwa jinsi alivyokuwa
 
Vipi haya mawazo hayakuwa yako wakati wasaka vyeo wa mwendazake wakimtukana Kikwete? Ila hata hivyo hayanihusu, wacha wenye nyumba muendelee kutafunana.
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
 
Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Well.mwizi au jambazi hawa waliminywa Sawa sawa
 
Wewe kinyago hata kama huguswi na hao waliouwawa au kupotea fahamu wana watoto,wenza, wazazi, wajomba, mashangazi, marafiki walioguswa na madhila hayo.
Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.
Mawazo ya taahira mwendazake yalikuwa ni kuutokomeza ukanda wa pwani, kaskazini masharaki na nyanda za juu kusini kwenye shimo la ufukara
 
CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!

Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.

Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.

Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!

Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.

Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!

Endeleeni.

Huyo unayemtetea alikuwa dhalimu, Na hakuna ccm yoyote unayoitetea huku jamvini zaidi ya kutetea ukatili na uhayawani wake. Na hiyo ccm unayojifanya unaitetea haipo bali ni nguvu ya dola tu ndio pona yenu.
 
Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...

Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..

Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...

Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Alikuwa ni dhalimu na mshamba wa kutupa, tunashukuru Mungu Kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
 
Back
Top Bottom