Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

[emoji10][emoji846][emoji846][emoji846]
Usiku sio salama kwa ligi.

Si rahisi kuona zaidi ya 200M, ukiwa speed zaidi ya 100kph, ni ngumu kukwepa hatari ya ghafla.

Usishindane na watu wa magazeti, hao wanapita hiyo njia kila siku tena usiku. Wanaifahamu vizuri sana.

Na usiku kuna ajali nyingi sana za uzembe na kukosa umakini.

Kuwa makini, usishindane na usiemjua.
 
Hizo ni kama 600km? Kwahio ulikuwa unatembea wastani wa 100kph?
Yah..but hapo atakua alikua hafuati alama za barabarani, Kama vivuko, sehemu zenye upepo, makazi ya watu, sehemu zisizoruhusiwa kuovertake, speed limit etc
 
Na mashine yako iwe ya ukweli, na unaofanya nao ligi wawe na mashine nzuri.
Kuna muda uko speed 180km/h, lakini unashangaa kuna mjinga anakuovertake, sio mchezo!!! kwanini mnapenda ligi? [emoji3]
Achana na Toyota bob, hamna rally hapo
 
Hizo ni kama 600km? Kwahio ulikuwa unatembea wastani wa 100kph?
Yes.
Km 600 zinazidi kidogo.
Speed ilikuwa average kuna sehemu nilikuwa naenda hadi 140km.
Mambo yalibadilika kidogo nilivyofika Njia Panda ya himo hadi Arusha magari barabarani yalikuwa mengi + speed limits nyingi.
Kuna sehemu speed limit ya 50 inadumu hata kwa Km 30.
 
Back
Top Bottom