Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Kwahiyo zile zinazodisplay at dashboard let say kisahani kizima ni 180 ni zaidi ya hizo?

Hujaelewa ninachomaanisha mamy
Nachomaanisha, japan kutokana na sheria zao lazima gari iwe na odometer ya 180kmph, yaan iwe limited isizid 180kmph( japo unaweza itoa kama fundi anajua)

Ukiona gari za japan zimezidi apo, lets say STI ni wanalipia ili kupata vibali
Ndo mana unaweza kuta ZX VX za ikuru zinasoma 280 uku za mitaani zinasoma 180
Crown athlete ukicheki internet wanasema top speed yake ni 260 wakat dashboard ni 180
Wakat audi a4 top speed yake ni 230 ila kwenye dashboard ina adi 280 (kmph)

Ko inategemea na sheria ya nchi mkuu
 
Watery unajua STI ni nini? Unatakiwa ujue sio kila Subaru ni STI halafu uje ujibu swali la wa kupuliza

Ayo ni mambo ambayo mtu wa kawaida hawez kujua, mtu anajua subaru impeza either iwe STI au iwe ya kawaida yote anaona ni ileile
Ko kuniuliza mim ambae najua tofaut ni kujipotezea mda, muulize anaesema iko slow ndo utajipatia jib sahihi
 
Ayo ni mambo ambayo mtu wa kawaida hawez kujua, mtu anajua subaru impeza either iwe STI au iwe ya kawaida yote anaona ni ileile
Ko kuniuliza mim ambae najua tofaut ni kujipotezea mda, muulize anaesema iko slow ndo utajipatia jib sahihi
Huwezi kujua kila kitu. Hakuna STI isio na Turbo. Ungejua STI ni nini usingesema 'STI isio na Turbo'
 
Ni jambo linawezekana hata nilipoenda songea niliwahi sikia kuna mwamba aliitwa Giriki aliwahi fika songea saa 10 jioni...na ailiwekwa ndani wiki nzima.Kipindi hiko hakuna tochi kama sasa sheria hazibani kama sasa kwahiyo usibishe mkuu inawezekana.
Unasema uliwahi sikia maana yake hujawahi thibitisha! Kwa nini tusiite hizo ni stori tu
 
Mnasema Toyota hamna kitu?
 
The engines can do more but the car is electronically limited to 180kmph according to japan law.

Angalia post ya juu. Kuna mtu ameweka picha akiwa na Crown 180kmph ipo kwenye 4000 rpm wakati inaredline at 6500rpm

Maana yake hata akanyage mafuta vipi engine haitaenda zaidi ya 4000rpm kwasababu ya electronic speed limiter.

Ila ukiiondoa hiyo electronic limit, gari itafika mpaka red line 6500rpm at max gear utajikuta kwenye 220 kmph.
Kumbe hiyo Japan law unaweza iondoa

Sikujlijuaga hili
 
Hujaelewa ninachomaanisha mamy
Nachomaanisha, japan kutokana na sheria zao lazima gari iwe na odometer ya 180kmph, yaan iwe limited isizid 180kmph( japo unaweza itoa kama fundi anajua)

Ukiona gari za japan zimezidi apo, lets say STI ni wanalipia ili kupata vibali
Ndo mana unaweza kuta ZX VX za ikuru zinasoma 280 uku za mitaani zinasoma 180
Crown athlete ukicheki internet wanasema top speed yake ni 260 wakat dashboard ni 180
Wakat audi a4 top speed yake ni 230 ila kwenye dashboard ina adi 280 (kmph)

Ko inategemea na sheria ya nchi mkuu
Sawa nimekuelewa
 
Ok hapa Dodoma mm nakutana na za POSTA nyekundu zikishaashusha kwa Forts na pale Guardian zinapitia parcel POSTA zinageuza Dar siku ya pili hizi, mpaka dereva wao mmoja alipata ajali nikagundua
hivi kumbe Makampuni ya magazeti yanapeleka tofauti au ni parcel zote pamoja
Mwananchi saizi gari zao za gazeti zinabeba na Parcel. Wamefungua kampuni ya kusafirisha mizigo ukituma jioni asubuhi mzigo umefika.

Inaitwa Mwananchi Courier.
 
Mbona gari yako hujasema, au ni bata vuzi
mkuu umenikumbusha batavuzi,,,pikipiki yenye mapedeli km baiskeli,,,kuna kamoja mtaani kwetu kipindi hicho miaka ya 1992,tulikuwaga tunakapiga mande mtaa mzima,,,kalikua cha mshkaj mmoja pale kitaa
 
Ulilishwa maneno labda kama lilianzia mikumi
Mbona zamani ilikuwa kawaida, mwaka 98 kabla ya ratiba na tochi Mbeya Dar tumefika saa 8.30 mchana. Na kuna mabasi yalikuwa na uwezo wa kurudi, tatizo lilikuwa askari. Mwaka 2005, Mbeya Dar na Hekima tumeingia Ubungo saa 10 jioni, by saa 4 asubuhi tulikuwa tunakula Ilula, saa 8 mchana tupo Morogoro. Sio story, zamani watu walikuwa wanatembea. Ndio zikaja speed governor, tochi na wakamaliza na ratiba.

Kwa gari binafsi, tushatoka Mbeya 11 jioni tukaingia Dar saa 6 usiku; na kuna siku niko na IT tumetoka Mlandizi saa 5 usiku by 11.30 tuko Mbeya.
 
Jf inafurahisha,kuna kipindi tulifanya ligi ya Mwanza to Dodoma yalikuwa magari manne tote V8 sasa sisi tulikuwa vijana watatu na dingi mmoja amevuka 50yrs,mzee tulimpeleka mbaya,, ila utu uzima dawa yule dingi baada ya kuona ligi sio ya kitoto alituovertake wote akatembeza V8 tukawa hatumuoni,huko mbele akaingia machakani akaficha gari sisi tukapita mafuta mabaya tukimtafuta yeye huku nyuma akatoka machakani na kutembea mwendo wake anaoutaka yeye. Yaani tulishindwa hata kula Singida hatuamini kilichotokea,dingi alitukuta Dodoma akatucheka na kujiona wa hovyooo
Ha ha ha ha ha....
 
Back
Top Bottom