Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,911
- 15,258
Private car hapana, labda iwe gari imeibiwa.Yeye ni private car na sio ya Magazeti.
Private car hapana, labda iwe gari imeibiwa.Yeye ni private car na sio ya Magazeti.
Miaka ya 2015 kuna jamaa alikuwa anaitwa Mangi(Mtoto wa meneja TRA) aliendesha gari L/C Prado ilikuwa imeibiwa Vwawa mpaka Songwe umbali wa kama km 47 kwa kutumia dakika 15 na akaiacha hapo baada ya mafuta kukata.Yeye ni private car na sio ya Magazeti.
Maana yake huyo jamaa on average speed yake ilikua 3.1km/min na maana yake alikua ana-cover metre 52/second(yaani kwa sekunde 1 gari inakua imekimbia imemaliza umbali wa nusu ya uwanja wa mpira).Miaka ya 2015 kuna jamaa alikuwa anaitwa Mangi(Mtoto wa meneja TRA) aliendesha gari L/C Prado ilikuwa imeibiwa Vwawa mpaka Songwe umbali wa kama km 47 kwa kutumia dakika 15 na akaiacha hapo baada ya mafuta kukata.
Huyu Chalii wa R alikuwa maarufu sana kwa kuchezea gari na spidi.
47km/0.25h=188kphMaana yake huyo jamaa on average speed yake ilikua 3.1km/min na maana yake alikua ana-cover metre 52/second(yaani kwa sekunde 1 gari inakua imekimbia imemaliza umbali wa nusu ya uwanja wa mpira).
How is that possible boss?
Inawezekana kwa sababu ukiwa unatoka Vwawa kwa barabara ya Tunduma/Zambia kwenda Mbeya eneo alilopita na gari sehemu kubwa ni miteremko.Maana yake huyo jamaa on average speed yake ilikua 3.1km/min na maana yake alikua ana-cover metre 52/second(yaani kwa sekunde 1 gari inakua imekimbia imemaliza umbali wa nusu ya uwanja wa mpira).
How is that possible boss?
Umbali nimekadiria hizo km 47 maana kitambo nimepita huko.47km/0.25h=188kph
Kwa maan hii jamaa alikuwa anaendesha 188kph kwa ile Prado, sijui ni zile za Kichagga au hizi zenye macho kama paka!
Kwahiyo zile zinazodisplay at dashboard let say kisahani kizima ni 180 ni zaidi ya hizo?Odometer ni kipimo tu cha speed, ila haimaanish ndo top speed, magar mengi ya japan yanakimbia sana kuliko ya germany ila mengi yana kuwa limited kutokana na sheria za japan
The engines can do more but the car is electronically limited to 180kmph according to japan law.Kwahiyo zile zinazodisplay at dashboard let say kisahani kizima ni 180 ni zaidi ya hizo?
Hii ndio effect ya electronic speed limiter according to sheria ya japan ambako ndio tunanunua magari.Ligi za barabarani ndio ilikuwa michezo yangu but toka nimeoa na kuwa na familia nimepunguza manake naogopa kupasua nyanya/kupata ajali.....
Hereinbelow is one of my race nikiwa na Crown Athlete....
I was a dumb mthefcker racer...
[emoji23][emoji23][emoji23] usitudanganye bhana labda kama ni Mbeya ya IringaKama anaendesha gari za gazeti inawezekana.
Mimi nina jamaa alikuwa akiendesha gari kutoka Dar kwenda Mbeya kwa masaa 7:30 mpk 8.
Ni kutoa speed governer tu, tunning ni kuongezea vitu ili gar iwe na nguv
Watery unajua STI ni nini? Unatakiwa ujue sio kila Subaru ni STI halafu uje ujibu swali la wa kupuliza
Yeah, zipo nyingi tu, zilizo na turbo ni zilizotoboka kwenye bonet ya mbele
wa kupuliza STI ndio IST ?Hahah kuna cruiser ya polisi ilijaribu kuikimbiza STI aisee jamaa alikua anampigia chafya hapo nyuma hatari.
Unabisha kaulize muda wanaotumia waendesha gari za gazeti Dar Kwenda Mbeya kisha uje upinge hapa.[emoji23][emoji23][emoji23] usitudanganye bhana labda kama ni Mbeya ya Iringa
asibishe kabisa, Magazeti ya kesho yanachapishwa leo na saa 4 usiku gari zimeondoka zote lafajiri wapo Arusha Singida, Mbeya Tabora wanasoma magazeti, hizo gari ni ACHA KABISA na zinarudi tena Dar siku hiyo hiyo kuchukua tenaUnabisha kaulize muda wanaotumia waendesha gari za gazeti Dar Kwenda Mbeya kisha uje upinge hapa.