Hii tabia sio kabisa wadau

Hii tabia sio kabisa wadau

Kwi kwi kwi kwi lol!!!! kitendo chake cha kuja kwenye mualiko wa Dinner unakichukuliaje? Kuna kesi kama hii ilitokea lakini hawa walikuwa wapenzi tayari. Mrembo akatia timu ya warembo sita kwenye mualiko. Njemba kuona vile ikatoa manoti ya kumtosha mrembo wake kasha ikasepa. Mrembo aibu tele kwa warembo wenzake. Baada ya kufuatilia na kujua kulikoni njemba kufanya vile. Njemba akamwambia mie nilikualika wewe iweje uje na rafiki zako chungu nzima? Mrembo akaomba samahani na kudai njemba hakuwa na sababu ya kuondoka bali kumwambia tu na hivyo yeye angewaambia marafiki zake wajiondoe katika mualiko ule.




Utahamaje nae wakati hakutaki, angekutaka asingeleta jeshi lake
 
Last edited by a moderator:
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! kitendo chake cha kuja kwenye mualiko wa Dinner unakichukuliaje? Kuna kesi kama hii ilitokea lakini hawa walikuwa wapenzi tayari. Mrembo akatia timu ya warembo sita kwenye mualiko. Njemba kuona vile ikatoa manoti ya kumtosha mrembo wake kasha ikasepa. Mrembo aibu tele kwa warembo wenzake. Baada ya kufuatilia na kujua kulikoni njemba kufanya vile. Njemba akamwambia mie nilikualika wewe iweje uje na rafiki zako chungu nzima? Mrembo akaomba samahani na kudai njemba hakuwa na sababu ya kuondoka bali kumwambia tu na hivyo yeye angewaambia marafiki zake wajiondoe katika mualiko ule.

Huyo alikuja kukomesha sema alikutana na manoti akachange mawazo
mtu unaempenda hawezi kukuita ukamuendea na kundi la watu kama mnaenda kuzika
kweli nakuambia......!!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwi kwi kwi kwi lol!!!! kitendo chake cha kuja kwenye mualiko wa Dinner unakichukuliaje? Kuna kesi kama hii ilitokea lakini hawa walikuwa wapenzi tayari. Mrembo akatia timu ya warembo sita kwenye mualiko. Njemba kuona vile ikatoa manoti ya kumtosha mrembo wake kasha ikasepa. Mrembo aibu tele kwa warembo wenzake. Baada ya kufuatilia na kujua kulikoni njemba kufanya vile. Njemba akamwambia mie nilikualika wewe iweje uje na rafiki zako chungu nzima? Mrembo akaomba samahani na kudai njemba hakuwa na sababu ya kuondoka bali kumwambia tu na hivyo yeye angewaambia marafiki zake wajiondoe katika mualiko ule.




Proffesor anasema ... inakera sanaaaa brother
 
Last edited by a moderator:
Sasa umeshaongea na mrembo kwamba hukupenda alichokifanya? Au umeamua kufa na tai shingoni kwa kuogopa ukimwambia anaweza kusepa na kukutangaza? mwanaume mwenyewe bahili kupita kiasi!!! lol!!!

Proffesor anasema ... inakera sanaaaa brother
 
Sasa umeshaongea na mrembo kwamba hukupenda alichokifanya? Au umeamua kufa na tai shingoni kwa kuogopa ukimwambia anaweza kusepa na kukutangaza? mwanaume mwenyewe bahili kupita kiasi!!! lol!!!

Proffesor anasema. ... Hakuna haja ya kuongea naye tena mkuuuuu wakati anajua kbsa kwamba alicho kifanya sio sahihi kabsa. .!! Kwa sasa naamua kumpotezea taratibu. .!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya banaaa kila la heri katika kumpotezea taratibu, kumbuka kosa moja haliachi mrembo, hasa kama umempenda kwa moyo wako wote.




Proffesor anasema. ... Hakuna haja ya kuongea naye tena mkuuuuu wakati anajua kbsa kwamba alicho kifanya sio sahihi kabsa. .!! Kwa sasa naamua kumpotezea taratibu. .!!
 
Last edited by a moderator:
Haya banaaa kila la heri katika kumpotezea taratibu, kumbuka kosa moja haliachi mrembo, hasa kama umempenda kwa moyo wako wote.




Proffesor anasema ... so mkuuuuu ungekuwa wewe ungevumilia hiyo mambo... wengine tuna count vitu vidogo. .!!
 
Last edited by a moderator:
...Ndiyo maana nikakwambia kosa moja haliachi mrembo, ndio naweza kusamehe lakini kosa hili lisijirudie tena.

Proffesor anasema ... so mkuuuuu ungekuwa wewe ungevumilia hiyo mambo... wengine tuna count vitu vidogo. .!!
 
Kiufupi hakuhitaji, hujamvutia na ameanza kukuchuna. Na amekujia na hao wenzie ili hata kumtongoza ushindwe kabisaa. Walikuwa wanakunywa nini? Senene au St.Anna?
 
Kiufupi hakuhitaji, hujamvutia na ameanza kukuchuna. Na amekujia na hao wenzie ili hata kumtongoza ushindwe kabisaa. Walikuwa wanakunywa nini? Senene au St.Anna?
Proffesor anasema. ... st anna , dompo, savanna dry , fubu na fayrouz ....!!! Ki ukwel walinikomoa aiseeee
 
Proffesor anasema. ... st anna , dompo, savanna dry , fubu na fayrouz ....!!! Ki ukwel walinikomoa aiseeee
Sikupi pole maana huo ni uzoefu. Getting experience is very expensive Kamanda. Sema mwisho wa wasichana kama hao ipo siku utakutana nae amechoka hadi utamuonea huruma na atakuwa anakutafuta yeye. Wewe kata mawasiliano kiustaarabu ibaki salamu tu. Akitaka kukuona mwambie upo busy maana anaweza kufulia at anytime akaona akuchune kwa mpesa. Kiufupi upo busy na hutumii e-money
 
Sikupi pole maana huo ni uzoefu. Getting experience is very expensive Kamanda. Sema mwisho wa wasichana kama hao ipo siku utakutana nae amechoka hadi utamuonea huruma na atakuwa anakutafuta yeye. Wewe kata mawasiliano kiustaarabu ibaki salamu tu. Akitaka kukuona mwambie upo busy maana anaweza kufulia at anytime akaona akuchune kwa mpesa. Kiufupi upo busy na hutumii e-money

Proffesor anasema. ... Thanks brother .. ushaur wako mzur . Thanks again. .
 
Back
Top Bottom