Hii tabia sio kabisa wadau

Hii tabia sio kabisa wadau

Unahamia meza nyingine na mrembo wako, unamwambia awaambie mashoga zake katika mualiko wa dinner hawakuwemo. Hii ndio itakomesha hizi tabia za kishenzi.




Huko ni kukosa ustaarabu..! Mdada yeyeote aliyestaarabika hawezi kufanya hivyo viroja..!
 
Last edited by a moderator:
Mamamaaaeeeh!! Watoto wa Kigogo ndiyo wamekubuhu kwa tabia hii, halafu wanabugia pombe hao hatari kabisa!! Ningekuwa mimi ningekumbukia enzi za usela wangu!! Unalipa bili ya uliyemwalika tuu, hao wengine waseme na bajeti yao

Proffesor anasema. .. Mkuuuuu nilinyong'onyea sana hiyo jana
 
He he he kuna jamaa mmoja nishawahi kumwendea na mashost zangu 6 na mie wa 7
tulikula kama paka wa bar, jamaa alininyamazia tangu siku hiyo
Esimermi huruma watoto wa wenzenu....si umwambie tu haumtaki asikufuatilie kuliko kukomoana na kuharibiana bajeti..
 
He he he kuna jamaa mmoja nishawahi kumwendea na mashost zangu 6 na mie wa 7
tulikula kama paka wa bar, jamaa alininyamazia tangu siku hiyo

Proffesor anasema. .. sasa kwann ulifanya hivyo. .?? Kuna sababu gan msichana kufanya hivyo. .??
 
Kama ulijifanya kujishaua una hela kwa kumweleza mipango mingi ambayo haimhusu lazima watakuja wengi tu ku-test kile ulichokuwa unamwambia though wengine wanakuja wengi kwa sababu za kusalama tu hasa kama mazingira ya kukutana kwenu ni ya kwenye daladala lakini kama mmekutana kwenye event flani mkawa mna-share experience zenu au mazingira ya kukutana kwenu yamesababishwa na marafiki wenu hapo hawezi kuja na kundi kwa kuwa ana sehemu ya kufanya reference kuhusu wewe
 
Esimermi huruma watoto wa wenzenu....si umwambie tu haumtaki asikufuatilie kuliko kukomoana na kuharibiana bajeti..
Nyie si ving'ang'a....
mkikataliwa mnakomaa mnahisi eti ni mambo ya "usinikubali haraka"
nisikubali haraka nini nikisema sitaki ni sitaki
UKINIKOMALIA NAKUKOMALIA!!!
 
Proffesor anasema. .. sasa kwann ulifanya hivyo. .?? Kuna sababu gan msichana kufanya hivyo. .??

Alinitongoza nikakataa ananikomalia tena binti wa watu mdogo tu bado navaa sketi ya marinda
form two hiyo, ananifata hadi canteen ya shule, ananirubuni na ki siemen mie
nifanyeje sasa?
 
Unahamia meza nyingine na mrembo wako, unamwambia awaambie mashoga zake katika mualiko wa dinner hawakuwemo. Hii ndio itakomesha hizi tabia za kishenzi.



Proffesor anasema .... of course nilivyo ona tu ile team mawazo yangu yote yaka hama nikawa nawaza mfuko utaweza.. sema now days banks wamerahisisha.. from bank account to m-pesa..
 
Last edited by a moderator:
Kwani me nashindwa kuwatongoza wote kwa wakati mmoja? Ila hapo kutoa offer ndo sijui itatokea lini
Hujataitiwa wewe, jamaa mmoja nae alijifanya hana adabu kama jogoo kumpanda hadi mama ake
kanitokea mi na sista angu, tukamfanyia NIITE TUJE
bahati yake alikuwa na gazeti alifunika uso wake hadi tunaondoka
tuliagiza pale bar hadi bikini walizopitisha ma chinga tulichukua
 
Hujataitiwa wewe, jamaa mmoja nae alijifanya hana adabu kama jogoo kumpanda hadi mama ake
kanitokea mi na sista angu, tukamfanyia NIITE TUJE
bahati yake alikuwa na gazeti alifunika uso wake hadi tunaondoka
tuliagiza pale bar hadi bikini walizopitisha ma chinga tulichukua

Hahahah siku moja nitajaribu
 
Unahamia meza nyingine na mrembo wako, unamwambia awaambie mashoga zake katika mualiko wa dinner hawakuwemo. Hii ndio itakomesha hizi tabia za kishenzi.


Utahamaje nae wakati hakutaki, angekutaka asingeleta jeshi lake
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Haaa haa haaa , pole sana ndugu yangu , miwanawake mingine bhana , sijui ikoje. Unakuta umelitoa out , linataka vitu vya ghari. Fyuuuuuu
 
Kama ulijifanya kujishaua una hela kwa kumweleza mipango mingi ambayo haimhusu lazima watakuja wengi tu ku-test kile ulichokuwa unamwambia though wengine wanakuja wengi kwa sababu za kusalama tu hasa kama mazingira ya kukutana kwenu ni ya kwenye daladala lakini kama mmekutana kwenye event flani mkawa mna-share experience zenu au mazingira ya kukutana kwenu yamesababishwa na marafiki wenu hapo hawezi kuja na kundi kwa kuwa ana sehemu ya kufanya reference kuhusu wewe

Proffesor anasema. .. usalama upi mkuuuuu. . ????
 
Back
Top Bottom