utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
hahahaha jiandae hakikisha waleti imejaa
Utanifanya hiyo siku nibebe hotpot kutoka home, tunapiga ugali kama 2kgs no soda no juice
hahahaha jiandae hakikisha waleti imejaa
Utanifanya hiyo siku nibebe hotpot kutoka home, tunapiga ugali kama 2kgs no soda no juice
huu ubahili too much mchaga ana afadhali lol
Hahahahahhaha, unajuaje kama mimi sio mchaga? Aikamae
hujakaa kichaga aikamae ni salamu au
Hahahaha niambie polepole kama nimekosea
hahahhaha wote tuko jela
Me mpare bana
kumbeeeee nilikuwa sijui
50%....................Unakubali?
50%....................
.
mateso mengine yakisenge+nyaji sana......
ila kuna makauzu wanawakomesha...
Mimi ninamashaka na uprof. wa huyu jamaa sijui alipewa chini ya bahari?Hahahaaaaaaa!! Pole proffessor but ninamashaka na wewe, kama ulijitutumua kama kabila fulani ivi ndo maana aliarika team!!
yaani natamani mwanamke anifanyie hivyo.....mmoja alijaribu..
naona watu kibao wanaongozana ..nikasimama nikawauliza mnaenda wapi?
walipokaa tu ...nikaaanza ongea na simu hadi nje..nduki.....ha haaaa...
now natamani mno mwingine anafanyie hivyo......nina dawa nimeitayarisha wataenda simulia...
Proffesor anasema. .. usalama upi mkuuuuu. . ????