Hii tabia sio kabisa wadau

Hii tabia sio kabisa wadau

inategemea imeingia na gia gani kwa uyo manzi.km ulijifanya una chapaa lazma wakukamue.chezea mabint w mjini wewe?utaumia bure acha ubishoo

Kwenye bajaji mtu anaingia na gia ya Scania. Mjini shule.
 
Hahahhh hivi wewe ni Proffesor ma-ukwelii ama?

Huyu ni La profeseri hahahaaa!! Hiyo ni dalili ya kwanza kuwa huyo mwanamke unayemfukuzia ni guberi halikufai hata kidogo!!! Angekuwa mstaarabu angukupa alert mapema kuwa atakuwa na kampani
 
Last edited by a moderator:
Hiyo inaitwa NIITE TUJE
ukiona dem anakufanyia hivo chapa lapa hupendwi hapo wakikaa wanakonyezana tu
wanakuchamba kwenye vimeseji "shost jamaa yako yupo yupo tu kama paka wa balozi kantangaze"

Nikweli au?
 
inategemea imeingia na gia gani kwa uyo manzi.km ulijifanya una chapaa lazma wakukamue.chezea mabint w mjini wewe?utaumia bure acha ubishoo

Proffesor anasema..... me nmeingia kawaida kbsa. . Au kwa vile nili mwambia me Proffesor ndo maana wakaja wa nne. .??
 
Hiyo inaitwa NIITE TUJE
ukiona dem anakufanyia hivo chapa lapa hupendwi hapo wakikaa wanakonyezana tu
wanakuchamba kwenye vimeseji "shost jamaa yako yupo yupo tu kama paka wa balozi kantangaze"

Mamamaaaeeeh!! Watoto wa Kigogo ndiyo wamekubuhu kwa tabia hii, halafu wanabugia pombe hao hatari kabisa!! Ningekuwa mimi ningekumbukia enzi za usela wangu!! Unalipa bili ya uliyemwalika tuu, hao wengine waseme na bajeti yao
 
Huko ni kukosa ustaarabu..! Mdada yeyeote aliyestaarabika hawezi kufanya hivyo viroja..!

Proffesor anasema ... ki ukwel hiyo jana nilishangaa sanaaaa. . Because haijawah kunitokea ..
 
Hiyo inaitwa NIITE TUJE
ukiona dem anakufanyia hivo chapa lapa hupendwi hapo wakikaa wanakonyezana tu
wanakuchamba kwenye vimeseji "shost jamaa yako yupo yupo tu kama paka wa balozi kantangaze"

Proffesor anasema ...ndo first time jana nili ona kitu kaa hicho.. hata zile story nilizo taka kupiga nika shindwa ..!!
 
Prof umeingizwa king kirahisi hivyo, unatia mashaka, Utakua prof. Kapu... ww si bure. Pole sana, next time chukua namba zangu wakija wengi niite na mm nitawaita wengine wawili ngoma droo
 
Huyu ni La profeseri hahahaaa!! Hiyo ni dalili ya kwanza kuwa huyo mwanamke unayemfukuzia ni guberi halikufai hata kidogo!!! Angekuwa mstaarabu angukupa alert mapema kuwa atakuwa na kampani

Proffesor anasema .... kwa tabia ya jana tu Nshaanza kumwona sio kabsa. .kama sio M-Pesa hali ilikuwa mbaya..
 
Proffesor anasema. .... Unamwalika msichana ( ndo na mfukuzia ) anakuja na wenzake wa tatu jumla wanakuwa wa nne sio kabisa wadau. . Jana nimemwalika msichana mmoja ambaye na mfukuzia for dinner. . Duhhhhh si wakaja wa 4 dahhh kidogo niabike isingekuwa hiz M-pesa nngeaibika hiyo jana.. hii tabia kwa wasichana sio kabisa aiseeee. . Ikumbukwe mtu unakuwa na bajet ya 1siku hiyo ..

unachukua kanga wa uswahilini unategemea nini?
 
Mamamaaaeeeh!! Watoto wa Kigogo ndiyo wamekubuhu kwa tabia hii, halafu wanabugia pombe hao hatari kabisa!! Ningekuwa mimi ningekumbukia enzi za usela wangu!! Unalipa bili ya uliyemwalika tuu, hao wengine waseme na bajeti yao
He he he kuna jamaa mmoja nishawahi kumwendea na mashost zangu 6 na mie wa 7
tulikula kama paka wa bar, jamaa alininyamazia tangu siku hiyo
 
Hiyo inaitwa NIITE TUJE
ukiona dem anakufanyia hivo chapa lapa hupendwi hapo wakikaa wanakonyezana tu
wanakuchamba kwenye vimeseji "shost jamaa yako yupo yupo tu kama paka wa balozi kantangaze"

Ha ha ha ha ha mbavu Zangu......du watu mna majibu hadi raha.....
 
Back
Top Bottom