tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,216
hahahaha Proffesor umeskia uku.......lazima ukomeshwe kwanza, af labda baadae sana ndo utakomesha...Ndo hivo hadi ubahatishe kukomesha ushakomeshwa
Last edited by a moderator:
hahahaha Proffesor umeskia uku.......lazima ukomeshwe kwanza, af labda baadae sana ndo utakomesha...Ndo hivo hadi ubahatishe kukomesha ushakomeshwa
Utajaribu nini?
Sasa unataka umtoe mtu out akaagize spaleta?Haaa haa haaa , pole sana ndugu yangu , miwanawake mingine bhana , sijui ikoje. Unakuta umelitoa out , linataka vitu vya ghari. Fyuuuuuu
Hiyo inaitwa NIITE TUJE
ukiona dem anakufanyia hivo chapa lapa hupendwi hapo wakikaa wanakonyezana tu
wanakuchamba kwenye vimeseji "shost jamaa yako yupo yupo tu kama paka wa balozi kantangaze"
Inategemea na jeshi lake lipo vipiNitajaribu kumpa demu offer ya dinner kama profesor, kwani wanaweza kumaliza bei gani?
Kumbeeee hapo nimekusoma
Alinitongoza nikakataa ananikomalia tena binti wa watu mdogo tu bado navaa sketi ya marinda
form two hiyo, ananifata hadi canteen ya shule, ananirubuni na ki siemen mie
nifanyeje sasa?
wengine tunawazoesha wenyeye, unajifanya chekibob kumbe huna lolote.......ptyuuuu kwa stail hii atakama mkabashingo lzma ukabweshingoHaaa haa haaa , pole sana ndugu yangu , miwanawake mingine bhana , sijui ikoje. Unakuta umelitoa out , linataka vitu vya ghari. Fyuuuuuu
Inategemea na jeshi lake lipo vipi
kama ni ka dent bahati yako make utalipia vichips
kama ni makwekwerekwe ya town shem utakoma....
Hujataitiwa wewe, jamaa mmoja nae alijifanya hana adabu kama jogoo kumpanda hadi mama ake
kanitokea mi na sista angu, tukamfanyia NIITE TUJE
bahati yake alikuwa na gazeti alifunika uso wake hadi tunaondoka
tuliagiza pale bar hadi bikini walizopitisha ma chinga tulichukua
kusoma hamjui, hata picha?
Haaa haa haaa , pole sana ndugu yangu , miwanawake mingine bhana , sijui ikoje. Unakuta umelitoa out , linataka vitu vya ghari. Fyuuuuuu
He he he kuna jamaa mmoja nishawahi kumwendea na mashost zangu 6 na mie wa 7
tulikula kama paka wa bar, jamaa alininyamazia tangu siku hiyo
Sio tu kunitafuta, tulipishana barabarani hakunisalimia tena....Proffesor anasema. ... watu 6 na wewe wa 7 .. hiyo n zaid ya kukomoa Evelyn Salt. .nahis hakukutafuta tena.
Ukaona umemkomoa sana? Au ulimwambia mtakuja saba??
Kuna siku na mie nilikomeshwa weee hata spaleta sikulambaProffesor anasema. .. we Evelyn m zaid ya noma
Hahahaaaaaaa!! Pole proffessor but ninamashaka na wewe, kama ulijitutumua kama kabila fulani ivi ndo maana aliarika team!!
Kuna siku na mie nilikomeshwa weee hata spaleta sikulamba
nauli nikanyimwa nilitembea kwa mguu moja mbili mpaka home
nilifika nimechoka ulimi nimeutoa nje kama wa mbwa, home msosi umeisha
sitasahau wallah....chozi lilinilenga!!!