jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Hii staili ya kucheza si mchezo, na kwa anaefahamu staili hii inaitwaje asisite kutupa ufahamu na sisi.
Huyu kijana ananusa ugoro niniiiiiiiiiiii kasheshe kweli bongo yetu....Hii staili ya kucheza si mchezo, na kwa anaefahamu staili hii inaitwaje asisite kutupa ufahamu na sisi.
Ibada gani hiyo una peruzi na kudadis jf threads?Hebu jamani mwenzenu nipo ibadani si msubiri kwanza?