Getwell soonHayo ni maneno ya bidada bi harusi mtarajiwa (aliyenyimwa tunyama nyama) kwa muweme mtarajiwa baada ya kumnunulia simu.
Kila zawadi huja na masharti yake.... japo me sipendi sana masharti.... jambo jema ni lile linalofanywa kwa hiyari na sio kwa lazima.....
Kaka kazi unayo
Ila mwenzenu week hii nzima naumwa sema tu ya jf hayanipitii. Mniombee
View attachment 2485447
Kwakweli chikondee wengi wana visirani vya ajabu, eti nielezeee nyokooo🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka wa watu namuonea huruma...ukumbi kimyaaa
MsungooooHilo la kujaa picha zake cha mtoto kubwa zaidi ni la kuwafokea wazazi na wageni waalikwa kuwa waache kelele[emoji23]View attachment 2485482
Huyu bi harusi hafai aisee kimtu chenyewe sasa, putuuuHilo la kujaa picha zake cha mtoto kubwa zaidi ni la kuwafokea wazazi na wageni waalikwa kuwa waache kelele[emoji23]View attachment 2485482
Kichefuchefu binti hana maadili na sijui km hiyo ndoa bado ipoNaskia ni mtoto wa mwenye gari za luwinzo
Unyalukolo moja hyoo