Eberi Manya
Member
- Feb 16, 2018
- 35
- 41
- Thread starter
- #81
Sikio la kufa, halisiikii dawa.
Hii si Tanzania salama tena pa kuishi,
Damu iliyomwagika Kinondoni haitawaacha salama wauaji na mawakala wao waliowatuma.
Uvumilivu kwa Tanzania sasa inaelekea mwisho,, ubaguzi sasa baina ya makabila na vyama ni dhahiri.
Ni nani aliyewaambieni ninyi tume ya uchaguzi na mkurugenzi wa Kinondoni kuwa wenye haki ya kupewa hati ya viapo ni CCM tu?? Kwani vyama vingine havina haki hiyo?? Mbona sheria iko wazi??
Kwanini mnatumia ubaguzi huo waziwazi?? Kwanini mnaleta machafuko na kuondoa amani katika nchi hii?? Kwa mauaji haya yaliyotokea na kuua na kujeruhi watu, nani yupo salama??
Kwanini tume ya uchaguzi na wakurugenzi/wasimamizi wa uchaguzi mnavuruga uchaguzi?? Uchaguzi huu mnavuruga kwa maslahi ya nani??
Damu hiyo iliyomwagika haitawaacha salama hakika,,mtadaiwa juu yenu wenyewe na vizazi vyenu.
Na ninyi polisi,,miguu yenu na mikono yenu imejaa damu, wote mliohusika katika kuwapiga watu wasiokuwa na hatia, damu hiyo itadaiwa mikononi mwenu na juu ya familia na vizazi vyenu.
Mungu na awalipizie maradufu kwa damu hiyo mliyoimwaga isiyokuwa na hatia,,
Mungu na awalaani wote mliohusika katika kuua na kumwaga damu isiyokuwa na hatia,,,hamtabaki salama hakika daima,,,,.
Ukweli mchungu eeehkwa chuki mnayo pandikizwa na mwenye kiti wenu NI halali yako kuyasema haya uliyo yasema
umeambiwa alikuwa kwenye daladala. ulitaka asiende shule? Akili zenu zimelala. Au unaona raha mwenzio kukatishwa uhai. Acheni chuki. Jaribu kuwa hata na roho ya huruma ya kinafki tu.Watu wengine wanaponzwa na viherehere vyao tu.
Du!! Duwa kali sana hii, si ya kesema Amiin.Hii si Tanzania salama tena pa kuishi,
Damu iliyomwagika Kinondoni haitawaacha salama wauaji na mawakala wao waliowatuma.
Uvumilivu kwa Tanzania sasa inaelekea mwisho,, ubaguzi sasa baina ya makabila na vyama ni dhahiri.
Ni nani aliyewaambieni ninyi tume ya uchaguzi na mkurugenzi wa Kinondoni kuwa wenye haki ya kupewa hati ya viapo ni CCM tu?? Kwani vyama vingine havina haki hiyo?? Mbona sheria iko wazi??
Kwanini mnatumia ubaguzi huo waziwazi?? Kwanini mnaleta machafuko na kuondoa amani katika nchi hii?? Kwa mauaji haya yaliyotokea na kuua na kujeruhi watu, nani yupo salama??
Kwanini tume ya uchaguzi na wakurugenzi/wasimamizi wa uchaguzi mnavuruga uchaguzi?? Uchaguzi huu mnavuruga kwa maslahi ya nani??
Damu hiyo iliyomwagika haitawaacha salama hakika,,mtadaiwa juu yenu wenyewe na vizazi vyenu.
Na ninyi polisi,,miguu yenu na mikono yenu imejaa damu, wote mliohusika katika kuwapiga watu wasiokuwa na hatia, damu hiyo itadaiwa mikononi mwenu na juu ya familia na vizazi vyenu.
Mungu na awalipizie maradufu kwa damu hiyo mliyoimwaga isiyokuwa na hatia,,
Mungu na awalaani wote mliohusika katika kuua na kumwaga damu isiyokuwa na hatia,,,hamtabaki salama hakika daima,,,,.
Sijaambiwa alikuwa kwenye dalalala. mazingira ya tukio nayajua vizuri, kwa hiyo wewe uliyeambiwa kaa kimya tu.umeambiwa alikuwa kwenye daladala. ulitaka asiende shule? Akili zenu zimelala. Au unaona raha mwenzio kukatishwa uhai. Acheni chuki. Jaribu kuwa hata na roho ya huruma ya kinafki tu.
Badala ya kujibu hoja unatoa lugha za ovyo. Tatizo lenu mnabebeshwa mizingo iliyowazidi uwezo, mkiambiwa ukweli mnatukana.Hivi we darasa la ngapi? Bila shaka huenda hats chekechea hujagusa maana unaongea upumbavu
Kiuhalisia hakuna sababu yakufanya maandamano. Maandamano ambayo hayajengi, wala hayaleti mabadiliko. Kuna njia bora zaidi za kutatua matatizo, wala si maandamano ambamo ndani mwake wamejaa vibaka na majambaziHujaongelea tatizo la msingi kwanini maandamano?
Ok, aliyeuawa hakuwa sehemu ya maandamano, sasa mkosaji ni nani? kwa nini asilaumiwe aliyevuruga hali ya amani na kusababisha maisha ya majirani zake kuwa hatarini?ninyi watu mmeuvaa ushetani rasmi, ninyi sijui mnaabudu katika dini gani na medhehebu gani utu umewatoka kabisaa sababu tu ya kumfurahisha shetani mmoja.
Huyo aliyeuawa wala hakuwa kwenye msafara wa chadema ni mpita njia tu, itafika wakati ambapo furaha yenu hii itakuwa kilio na mtambue maisha ya mnao lingia sasa kwa kutoa uhai wa wenzenu kama mnachinja kuku huku mkiwa na.furaha iliyo tukuka mioyoni mwenu ni mafupi kuliko maisha ya umauti.
Wenae ccm minaonaga hamna timamu ata kdogo kunavijana huku wa ccm atamnapo jadili life yaani hainaga mapointi Kama majehu tuu hajui yanaenda wapi yanatoka wapi.CCM wanajitambua, wana kamati maalum kwa ajili ya taratibu za kisheria na miiko ya kisiasa. Ndio maana hata wanachama wao wanajulikana hadi kwa viongozi wa maeneo husika. Si hawa wa vyama vya sasa hivi hata hawajulikani wanalala wapi, na hata viongozi wao hawawafahamu.
Chadema kinachowaharibia ni baadhi ya viongozi wasiojua utaratibu, na kingingine ni hulka ya wanachama wake, bendera fuata upepo.
Mnahangaika sana kwa kila hali kutuletea machafuko hapa nchini sijui kwa manufaa ya nani? Ila mwisho wenu utakuwa mbaya sana. Rais yuko kimya kwa sababu anapata taarifa sahihi ya nini mnachokusudia kufanya. Muda ndio utaongea. Siku Rais atakapoamua kuongea sijui nyuso zenu mtazificha wapi!?Haya ni yale wanayofanyiwa live, imagine yale wanayofanyiwa huko mafichoni wale wanaotekwa! Achilia mbali wanaouwawa kinyama na watanzania wenzao! Na rais kimya!
Mwisho mbaya utakuja kwenu wanyanyasaji na wadhalilishaji. Mwisho wa wapigania haki ni haki! Jinga kabisa wewe.Mnahangaika sana kwa kila hali kutuletea machafuko hapa nchini sijui kwa manufaa ya nani? Ila mwisho wenu utakuwa mbaya sana. Rais yuko kimya kwa sababu anapata taarifa sahihi ya nini mnachokusudia kufanya. Muda ndio utaongea. Siku Rais atakapoamua kuongea sijui nyuso zenu mtazificha wapi!?
Jinga litajulikana hivi karibuni! Pampuyu wee.Mwisho mbaya utakuja kwenu wanyanyasaji na wadhalilishaji. Mwisho wa wapigania haki ni haki! Jinga kabisa wewe.
Unayaenzi machafuko bila kujua hatima yake,Watu wengine wanaponzwa na viherehere vyao tu.