Rekondoboshiki
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 228
- 281
Naombeni jina la huyo mkurugenzi tafadhali
Ktk hili nakataa hoja zako.Mtu akikaidi amri halali na apigwe tu.
Acheni kutetea uvunjivu wa amani. Fikiria kama nchi haitakuwa na utaratibu wa kuzuia watu kuandamana, kuna watu wengine wana vikundi vya vibaka watasingizia wanaandamana kumbe ni wezi.
Halafu jiulize unaowatetea wanapata faida gani kuandamana zaidi ya hasara, hapo kiongozi wao mbowe alikimbilia wapi badala ya kuwatetea watu wake?
Mamlaka lazimwa iheshimiwe mkuu
Tunamuhitaji atengue uteuzi wa huyo Mkurugenzi aliyesababisha kifo cha huyo mwanafunzi asiye na hatia mara mojaRais ataongea nini wakati kawatuma yeye?
Sana sana Rais ata m-promote.Tunamuhitaji atengue uteuzi wa huyo Mkurugenzi aliyesababisha kifo cha huyo mwanafunzi asiye na hatia mara moja
Asipofanya hivyo tutajua kuwa maagizo yote ya kuwanyima mawakala wa Chadema yalitoka kwake........
Na laana itawatafuna wote waliosababisha kifo hicho
Kwa kweli kabisa!Watu wengine wanaponzwa na viherehere vyao tu.
Mtu akikaidi amri halali na apigwe tu.
Acheni kutetea uvunjivu wa amani. Fikiria kama nchi haitakuwa na utaratibu wa kuzuia watu kuandamana, kuna watu wengine wana vikundi vya vibaka watasingizia wanaandamana kumbe ni wezi.
Halafu jiulize unaowatetea wanapata faida gani kuandamana zaidi ya hasara, hapo kiongozi wao mbowe alikimbilia wapi badala ya kuwatetea watu wake?
Mamlaka lazimwa iheshimiwe mkuu
Mkuu naona achna na huyo wa kijani. Jitu halina utu hiloKwanini ccm peke yenu ndo mlipewa hati za viapo?
Kwahiyo we ulitaka wafanyeje ili wapewe hizo fomu bila kuandamana? Usiropoke tu kwakuwa unajua kuropoka.Kuzuiliwa fomu sio kibali cha kufanya maandamano.
Hujaongelea tatizo la msingi kwanini maandamano?Mkuu, vyama vingi havijaanzia tanzania. Tanzania ni changa sana katika mfumo huu wa vyama vingi. Angalia nchi kama Afrika kusini, wana zaidi ya miaka mia moja wanao mfumo wa vyama vingi. Angalia marekani, angalia uingereza. Hata hivyo huko sio kuwa hawaandamani au kuandamana ni kwa hulka tu. kule kuna utararatibu na utaratibu unafuatwa.
Ni hatari sana kuvunja sheria za nchi kwa kisingizio cha vyama vingi. Kama kweli ni mzalendo basi utatii sheria tu. Vyama vingi haimaanishi sheria nyingi au taratibu nyingi. mfumo wa vyama vingi unaenda na mfumo wa sheria za nchi. Pasipo kuheshimu mamlaka na sheria hakika vyama vingi havitakuwa na manufaa bali nchi itageuka bwawa la vibaka tu.
Doh! Hii ni hasara kwa wanaume.
ningelikuwa ni mbowe kuanzia sasa ningewaambia wananchi kwamba polis ni adui zetu na sio rafiki zetu. popote walipo wasipewe ushirikiano. hali iliyofikia ni bora ifahamike moja...
Inaelezwa kwamba mwanafunzi aliyepigwa risasi na kufa hakuwa mmoja wa waandamanaji, alikuwa kwenye usafiri kwa safari zake binafsi.Hali ya usalama ni shwari kabisa tunasubiri tu kupiga kura. Nawatakia uchaguzi mwema
kwa chuki mnayo pandikizwa na mwenye kiti wenu NI halali yako kuyasema haya uliyo yasemaWakati fulani ni lazima nguvu itumike kwa mustakabali wa amani ya nchi. Embu fikiria haya manyumbu yakiachwa yafanywe yanavyo taka tutafika kweli kwa ukaidi wao. Enzi zile kina slaaa wali taka kuanza kufikia hatua ya kuwambia wananchi kwamba eti police ni wachache raia ni wengi siku wakiamua kwamba mnawapiga huku nawao wanawapiga majumbani kwenu itakuwa je? mambo kama hayo si hatari kwa usalama wa nchi yetu? Muheshimiwa raisi wetu hakupaswa kumpa hata ubalozi huyu. Wapigwe tu kama Wana kaidi hakuna namna police oyee
Mkuu wewe ndo umeongea pointi sasa, tunajua sana kulalamika Ila ku react ni sifuriSisi mi waoga, hakunacha ngoma kupasuka wala nini. Ccm wameshajua wanatawala nchi ya waoga na ndio maana wanafanya watakalo. Na wataendelea kutawala miaka nenda rudi labda mungu aamue mwenyew ila kwa uoga wetu huu hawatoki ng'oo.