Hii si Tanzania salama tena:

Hii si Tanzania salama tena:

Hii si Tanzania salama tena pa kuishi,
Damu iliyomwagika Kinondoni haitawaacha salama wauaji na mawakala wao waliowatuma.

Uvumilivu kwa Tanzania sasa inaelekea mwisho,, ubaguzi sasa baina ya makabila na vyama ni dhahiri.

Ni nani aliyewaambieni ninyi tume ya uchaguzi na mkurugenzi wa Kinondoni kuwa wenye haki ya kupewa hati ya viapo ni CCM tu?? Kwani vyama vingine havina haki hiyo?? Mbona sheria iko wazi??

Kwanini mnatumia ubaguzi huo waziwazi?? Kwanini mnaleta machafuko na kuondoa amani katika nchi hii?? Kwa mauaji haya yaliyotokea na kuua na kujeruhi watu, nani yupo salama??

Kwanini tume ya uchaguzi na wakurugenzi/wasimamizi wa uchaguzi mnavuruga uchaguzi?? Uchaguzi huu mnavuruga kwa maslahi ya nani??
Damu hiyo iliyomwagika haitawaacha salama hakika,,mtadaiwa juu yenu wenyewe na vizazi vyenu.

Na ninyi polisi,,miguu yenu na mikono yenu imejaa damu, wote mliohusika katika kuwapiga watu wasiokuwa na hatia, damu hiyo itadaiwa mikononi mwenu na juu ya familia na vizazi vyenu.

Mungu na awalipizie maradufu kwa damu hiyo mliyoimwaga isiyokuwa na hatia,,
Mungu na awalaani wote mliohusika katika kuua na kumwaga damu isiyokuwa na hatia,,,hamtabaki salama hakika daima,,,,.
Laana zipo na watu hulaaniwa kwa matendo yao maovu.
 
Laana zipo na watu hulaaniwa kwa matendo yao maovu.
Ila kwa kuwa NI WAKATI WA SHETANI KUTAMALAKI, WAFUASI WA IBILISI(CCM) WAMETIWA UPOFU.

But uzuri ni kwamba KARIBU KUNAPAMBAZUKA, ILE NURU YA KWELI ITALIANGAZIA TENA TAIFA LETU.
 
CCM inatawala kwa mtutu? Mbona imekuwa hivi? CCM is a den of vipers. Inaelekea wanataka watawale at any cost, hata kama itabidi wawaue watu kwanza ndio watawale maiti?

AIBU! AIBU! AIBU! CCM mnavunja kabisa heshima iliyokuwa nayo Tanzania.
Una ua Watu utalinda na kumtawala nani
 
Jitu lililoiharibu nchi yetu linafahamika
 
Msamaria, pole mwanangu. Akili zao haziko sawa, hawa. MITHALI 28:16. Kumbuka akili ni kama injini inayoendesha ile milango 5 maarufu ya fahamu. Kama kichwani kuna shida, ngozi haiwezi kuhisi, pua haiwezi kunusa, ulimi hauwezi kuonja, masikio hayawezi kusikia kelele za wenye nchi, na wala macho hayawezi kuona yanayoendelea. We're ruled by an abnormal president. So sad.
 
Hii si Tanzania salama tena pa kuishi,
Damu iliyomwagika Kinondoni haitawaacha salama wauaji na mawakala wao waliowatuma.

Uvumilivu kwa Tanzania sasa inaelekea mwisho,, ubaguzi sasa baina ya makabila na vyama ni dhahiri.

Ni nani aliyewaambieni ninyi tume ya uchaguzi na mkurugenzi wa Kinondoni kuwa wenye haki ya kupewa hati ya viapo ni CCM tu?? Kwani vyama vingine havina haki hiyo?? Mbona sheria iko wazi??

Kwanini mnatumia ubaguzi huo waziwazi?? Kwanini mnaleta machafuko na kuondoa amani katika nchi hii?? Kwa mauaji haya yaliyotokea na kuua na kujeruhi watu, nani yupo salama??

Kwanini tume ya uchaguzi na wakurugenzi/wasimamizi wa uchaguzi mnavuruga uchaguzi?? Uchaguzi huu mnavuruga kwa maslahi ya nani??
Damu hiyo iliyomwagika haitawaacha salama hakika,,mtadaiwa juu yenu wenyewe na vizazi vyenu.

Na ninyi polisi,,miguu yenu na mikono yenu imejaa damu, wote mliohusika katika kuwapiga watu wasiokuwa na hatia, damu hiyo itadaiwa mikononi mwenu na juu ya familia na vizazi vyenu.

Mungu na awalipizie maradufu kwa damu hiyo mliyoimwaga isiyokuwa na hatia,,
Mungu na awalaani wote mliohusika katika kuua na kumwaga damu isiyokuwa na hatia,,,hamtabaki salama hakika daima,,,,.
Unaandika ukiwa Tz ama umeandika ukiwa tayari upo nje ya taifa hili. Ona aibu kuandika pumba kama hizi wakati upo kitaaa unapiga soga aibu aibu yako
 
Hii si Tanzania salama tena pa kuishi,
Damu iliyomwagika Kinondoni haitawaacha salama wauaji na mawakala wao waliowatuma.

Uvumilivu kwa Tanzania sasa inaelekea mwisho,, ubaguzi sasa baina ya makabila na vyama ni dhahiri.

Ni nani aliyewaambieni ninyi tume ya uchaguzi na mkurugenzi wa Kinondoni kuwa wenye haki ya kupewa hati ya viapo ni CCM tu?? Kwani vyama vingine havina haki hiyo?? Mbona sheria iko wazi??

Kwanini mnatumia ubaguzi huo waziwazi?? Kwanini mnaleta machafuko na kuondoa amani katika nchi hii?? Kwa mauaji haya yaliyotokea na kuua na kujeruhi watu, nani yupo salama??

Kwanini tume ya uchaguzi na wakurugenzi/wasimamizi wa uchaguzi mnavuruga uchaguzi?? Uchaguzi huu mnavuruga kwa maslahi ya nani??
Damu hiyo iliyomwagika haitawaacha salama hakika,,mtadaiwa juu yenu wenyewe na vizazi vyenu.

Na ninyi polisi,,miguu yenu na mikono yenu imejaa damu, wote mliohusika katika kuwapiga watu wasiokuwa na hatia, damu hiyo itadaiwa mikononi mwenu na juu ya familia na vizazi vyenu.

Mungu na awalipizie maradufu kwa damu hiyo mliyoimwaga isiyokuwa na hatia,,
Mungu na awalaani wote mliohusika katika kuua na kumwaga damu isiyokuwa na hatia,,,hamtabaki salama hakika daima,,,,.
Tolea mbali upuuzi wako wewe,sio salama wakat watu tupo viwanja tunakula bata? Ibgekuwa si salama hata hizo paragraph ulizoandika upuuzi wako ungewahi? Nyie watu mnacheza sana na amani ya nchi,unalalama si salama na unaropoka unayoropoka kenge wewe
 
Back
Top Bottom