Siku zote mtu ambaye yuko single hua anaandamwa na kitu kinachoitwa stress zisizo na maana!!yaan ful hasira,wivu,chuki ni shiiiiida yaani mfano mzur cheki lifestyle ya ma-sister wengii huwaga na gubu!hzo ni side effect za kuwa single!! Double raha sana teena upate anayekupeeenda uUuuh!
ha ha ha shem hv kuulizwa kuna raha yake eeh??Mmmh we hujapenda kuulizwa kuna raha yake. Japo lol uhuru nao raha
ha ha ha shem hv kuulizwa kuna raha yake eeh??
mmh mie mwenzako nilishalazwa roho juu usiku wa manane!!
kila mara sms inaingia, baby naumwa kichwa!! mara ooh baby nimezidiwa!!
mmh, hapo mtoto wa watu anaishi kama km 15 kutoka nilipo!
kesho yake naamka, haraka haraka naenda kumjulia hali, aaargh, nikamkuta yu mzima wa afya tele!
jamani namuuliza honey vipi? homa imeisha?.. mtoto anajibu eti alikuwa ananitania!
dah, mbona nilichoka!
ila kweli shemejiSasa je, mtu unatoka unaingia mpenzi wako hajui ulikotoka wala unapoenda ina maana hajali we hata ukirudi usiku wa manane hajigusi kha lazima ujiulize huyu hana hata kawivu, siulizwi nlikotoka ila ikizidi sana ni maudhi mara mojamoja sio vibaya kuuliza
we acha kabisa usiseme hivyo nampenda farkhina mpaka napagawa yaani farkhina ni kila kitu kwangu jamani nampenda sana sana farkhina nakulavulavu mpenzi
Lol kwann ufikirie hivi au vile huu msemo umenifa imenifanya nione umenijudge way far bt all in kila kitu kipo sawa usikonde
Alikuwa anatafuta Attention yako na alikupata kweli.
Mapenz ni kama bidhaa za kichina