Hii picha ya Rais Kikwete inaongea mengi...

Hii picha ya Rais Kikwete inaongea mengi...

View attachment 460763

Confidende... yaani mtazamaji yeyote atasema tu hapo mwenyeji nani - self esteem
Supremacy - kwa picha tu unaweza kuhisi nani mwenye power
Ownership- jamaa aliown state, nchi ilikuwa mali yake so hakuona woga to share chochote alichohisi worth to be shared
Loyalty - huwezi jua kuwa hao ni wapinzani wake, walimsema kila dakika yet amekaa nao kama marafiki
wengine endeleeni, lkn hizi ni baadhi ya qualities za good leader!

Kikwete aliset standard ya juu sana, hatukujua kipindi kile!

Naam, nilikuwa nnayasema kama hayo kila siku na nnaendelea kusema kuwa hadi sasa hatujapatapo kuwa na Rais kama Kikwete toka Uhuru hadi leo hii.

Wengi hawakunielewa lakini nnahisi watanielewa tu.
 
Hahahahahaaaaa kweli Faiza unampenda Kikwete,hadi bongofleva unasikiliza?
Unafurahije sasa tunavyolia na kumkumbuka?

Hata hivyo... Kwa miaka hii mitano tutalia na kusaga meno tukiimba jina la Kikwete.
Hahahaaaaa
Mama kumbe na wewe unajua nyimbo za vijana!


Age is just numbers.

Ya Kikwete nisiijuwe?

Wachokonozi wamentumia.
 
Tanzania taifa lenye laana taifa lenye watu wanafki kuliko wote dunian taifa lenye raia wasiojitambua hawajui waliko toka hawajui walipo wala hawajui waendako wala hawajui wanachokitaka.
Kwa hali hii tutalialia sana na hakuna wa kutufuta machozi kwan tunachokililia hakijulikani
 
Hii picha bwana! Eti wanaokunywa juice ni upinzani tu, wale mawaziri wanawachora tu. Mungu aliwaona naamini.
 
Nimekumbuka maneno ya kumsifu spika mstaafu (mzee Sita) yaliyosemwa na Zito Kabwe. Nilishangaa zito alivyomsifu marehemu sita, wakati bungeni walimwita kibaraka wa serikali ya ccm. Kufa tu akaitwa baba wa wana ns kipenzi cha watu. Kaunafiki haka!!!
 
View attachment 460763

Confidende... yaani mtazamaji yeyote atasema tu hapo mwenyeji nani - self esteem
Supremacy - kwa picha tu unaweza kuhisi nani mwenye power
Ownership- jamaa aliown state, nchi ilikuwa mali yake so hakuona woga to share chochote alichohisi worth to be shared
Loyalty - huwezi jua kuwa hao ni wapinzani wake, walimsema kila dakika yet amekaa nao kama marafiki
wengine endeleeni, lkn hizi ni baadhi ya qualities za good leader!

Kikwete aliset standard ya juu sana, hatukujua kipindi kile!
Lo! kwakweli JK personality alijuamini, na hakuogopa eti wapinzani wakifanya mikutano itamuondolewa utawala wake bali alitawala kama kiongozi asiyeogopa hata wangemsema vibaya yeye alijua ni kiongozi wa watanzania wote, na alijua wazi uhalisia wa siasa kuwa mpinzani siku zote anakazi ya kuikosoa serikali na hiyo ndiyo siasa ya democracy, kwamba mikutano ya amani ya wapinzani haina chochote cha kumyumbisha hivyo ndivyo aliamini JK. Kwamba yeye ni kiongozi wa watanzaia wote wakiwemo na wapinzani wake, na hivyo anajukumu la kuwasaidia na kuwaskiliza pindi inapobidi.

Pia mawaziri wake walipojaribu kushauri achukue hatua zidi ya wapinzani wanaisema vibaya serikali yake, nakumbuka aliwaambia wazi kuwa "Kama wapinzani wanaisema vibaya serikali, nyinyi nendeni kwa wanachi mkawaambie mazuri inayofanya serikali. Elezeeni utekelezaji wa sera na mafanikio ya miradi inayotekelezwa, iliyokamilika, inayoendelea na itakayo tekelezwa siku za mbele, wakisema mabaya nyie semeni mazuri na wanachi wataona kwakuwa yanafanyika hukohuko mitaani" JK.
 
Kikwete bwana sijui aliwezaje...yan alikua.yupo fresh na wapinzani had wanakuja ikulu kunywa chai naye yani hamna ubabe sijui.vitisho siijui kuwekwa ndani ..mambo yaliyokua.yanaweza kujadilika.yalikua yanajadilika.vizuri.tu yale.ambayo.yalikua na utata yalikua yanaachwa pending
Walikua wanapigia mikelele na lugha kali lakin wala.alikua mzee kikwete alikua anatabasam halafu anawaita ikulu waje waongee nae huku wanajisevia na breakfast.haahaha
Huyu wa sasa sjui ametokea wapi
 
Kama mlihusika na uwepo wake pale basi atakaa huo muda mnaoutaka ila kama mnajua hamkuhusika kwa lolote wala chochote mtabakia kuwa kelele za mlango wa nyumba..tuliomuweka tumeshasema yes..no body can say no
Tatizo sio waliomuweka, wanaimnunulia hadi sabuni ni sisi wote. Na yawezekana wewe uliyemuweka mchango wako wa kodi ni mdogo sana katika kumtunza kuliko walio kataa.
 
Dah.. Hao hao wakamwita dhaifu....
"Naondoka mimi mliniita mpole...Nawaachia Chuma chenye kutoa cheche" - JK

[emoji13] [emoji13]
 
We Jamaa Mchokozi sana. Hii Picha wengi wanaonekana kwny Hii Picha hawapendi kuona tunatazama hii Picha
Kama kuna mtu kwenye picha hii hapendi ionwe na watu huyo Wa ajabu eti. Hii ni mojawapo kati ya picha bora za umoja Wa kitaifa na ustawi Wa demokrasia. Vyama vingi nchi moja.
 
We Jamaa Mchokozi sana. Hii Picha wengi wanaonekana kwny Hii Picha hawapendi kuona tunatazama hii Picha
Kama kuna mtu kwenye picha hii hapendi ionwe na watu huyo Wa ajabu eti. Hii ni mojawapo kati ya picha bora za umoja Wa kitaifa na ustawi Wa demokrasia. Vyama vingi nchi moja.
 
View attachment 460763

Confidende... yaani mtazamaji yeyote atasema tu hapo mwenyeji nani - self esteem
Supremacy - kwa picha tu unaweza kuhisi nani mwenye power
Ownership- jamaa aliown state, nchi ilikuwa mali yake so hakuona woga to share chochote alichohisi worth to be shared
Loyalty - huwezi jua kuwa hao ni wapinzani wake, walimsema kila dakika yet amekaa nao kama marafiki
wengine endeleeni, lkn hizi ni baadhi ya qualities za good leader!

Kikwete aliset standard ya juu sana, hatukujua kipindi kile!
Ha ha ha muulize mnyika, Je kikwete ni dhaifu? Akikupa jibu share na sie
 
Kikwete bwana sijui aliwezaje...yan alikua.yupo fresh na wapinzani had wanakuja ikulu kunywa chai naye yani hamna ubabe sijui.vitisho siijui kuwekwa ndani ..mambo yaliyokua.yanaweza kujadilika.yalikua yanajadilika.vizuri.tu yale.ambayo.yalikua na utata yalikua yanaachwa pending
Walikua wanapigia mikelele na lugha kali lakin wala.alikua mzee kikwete alikua anatabasam halafu anawaita ikulu waje waongee nae huku wanajisevia na breakfast.haahaha
Huyu wa sasa sjui ametokea wapi
Chadema walikuwa wanamuita mzee wa kuchekacheka sasa wanaisoma number
 
View attachment 460763

Confidende... yaani mtazamaji yeyote atasema tu hapo mwenyeji nani - self esteem
Supremacy - kwa picha tu unaweza kuhisi nani mwenye power
Ownership- jamaa aliown state, nchi ilikuwa mali yake so hakuona woga to share chochote alichohisi worth to be shared
Loyalty - huwezi jua kuwa hao ni wapinzani wake, walimsema kila dakika yet amekaa nao kama marafiki
wengine endeleeni, lkn hizi ni baadhi ya qualities za good leader!

Kikwete aliset standard ya juu sana, hatukujua kipindi kile!
Mnakumbuka shuka asubuhi!!!!!!
 
Inamaana alidanganya umma! Basi hakuna namna ashitakiwetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom