Hii picha ya Rais Kikwete inaongea mengi...

View attachment 460763

Confidende... yaani mtazamaji yeyote atasema tu hapo mwenyeji nani - self esteem
Supremacy - kwa picha tu unaweza kuhisi nani mwenye power
Ownership- jamaa aliown state, nchi ilikuwa mali yake so hakuona woga to share chochote alichohisi worth to be shared
Loyalty - huwezi jua kuwa hao ni wapinzani wake, walimsema kila dakika yet amekaa nao kama marafiki
wengine endeleeni, lkn hizi ni baadhi ya qualities za good leader!

Kikwete aliset standard ya juu sana, hatukujua kipindi kile!
..nini knakufanya uamini umejua sasa hivi??
 
Wanasiasa wanafiki sana hiyo ndo ilikuwa njia ya upinzani kujilinda wakiendelea na kula kodi za wananchi na hii ndo imepelekea mafisadi kuongezeka maana anae takiwa akemee anakula nao na ukiangalia sana utaona Vingi vilijificha
 
0845961a0b88dee8b7d890a592fcb567.jpg
 
Mkuu nambie na hii photo kikwete alikua n special one unaweza ongea mengi ila sio pale anapokuwep ni mtu ambaye aliheshimiwa bila shuruti na kila rika
 
Eti mtu anauliza ikulu mali ya mtu mmoja au ya watanzania? Jaribu kushika ukuta tu kama mali yako kama mtanzania
 
Wapinzani wa tanzania watu wa fursa wanachoongea sio wanachokitenda na baadhi yao wameshastukia tayari
 
Siasa za kuitwa ikulu na kunywa juice ya ukwaju, parachichi etc azipo na msitegeme kabisa mtakunywa juisi segedansi kwasababu hamna jipya na mmekariri...Tanzania hamna upinzani kuna wazee wa fursa tu
 
Cha ziada ambacho serikali ingekifanya pengine kingekua bora nikukutana na viongozi wa juu wa vyama pinzani hata maramoja kila mwezi ili kupata machache kutoka kwao na pengine ingeweza kuufanya uongozi kua bora zaidi lkn sio kukinzana nao.
 
Walisema hawataingia kwenye uchaguzi mkuu kwa Katiba hii na wakaenda mbali zaidi kudai kuwa Rais Kikwete ni mnafiki.

Ni nani hapa mnafiki?

Ambaye hakuyasimamia maneno yake au aliyewafanya wasisimamie maneno yao?


they have forgotten their own faeces
 
View attachment 460763

Confidende... yaani mtazamaji yeyote atasema tu hapo mwenyeji nani - self esteem
Supremacy - kwa picha tu unaweza kuhisi nani mwenye power
Ownership- jamaa aliown state, nchi ilikuwa mali yake so hakuona woga to share chochote alichohisi worth to be shared
Loyalty - huwezi jua kuwa hao ni wapinzani wake, walimsema kila dakika yet amekaa nao kama marafiki
wengine endeleeni, lkn hizi ni baadhi ya qualities za good leader!

Kikwete aliset standard ya juu sana, hatukujua kipindi kile!

Hapo nilipoweka mstari.

Hiyo ndo kasumba yetu waTanzania tulio wengi na ndo inadhihirisha unafiki wetu na kuonyesha kwamba njaa yetu inatupotezea umakini. Kwa hiyo tusishangae hata wanasiasa wanavyotuchezea akili.

Hata huyo Magufuli akitoka Madarakani yatakuwa haya haya. Pathetic!

Ndo maana wengine tumeamua ..tuhangaike na Huyu Huyu Pombe.....maana mwisho wa siku tunaonekana wasiojua wanataka nini kutoka kwa viongozi wao.
 
View attachment 460763

Confidende... yaani mtazamaji yeyote atasema tu hapo mwenyeji nani - self esteem
Supremacy - kwa picha tu unaweza kuhisi nani mwenye power
Ownership- jamaa aliown state, nchi ilikuwa mali yake so hakuona woga to share chochote alichohisi worth to be shared
Loyalty - huwezi jua kuwa hao ni wapinzani wake, walimsema kila dakika yet amekaa nao kama marafiki
wengine endeleeni, lkn hizi ni baadhi ya qualities za good leader!

Kikwete aliset standard ya juu sana, hatukujua kipindi kile!
Kama hii vile

images
images
images
 
Hapo nilipoweka mstari.

Hiyo ndo kasumba yetu waTanzania tulio wengi na ndo inadhihirisha unafiki wetu na kuonyesha kwamba njaa yetu inatupotezea umakini. Kwa hiyo tusishangae hata wanasiasa wanavyotuchezea akili.

Hata huyo Magufuli akitoka Madarakani yatakuwa haya haya. Pathetic!

Ndo maana wengine tumeamua ..tuhangaike na Huyu Huyu Pombe.....maana mwisho wa siku tunaonekana wasiojua wanataka nini kutoka kwa viongozi wao.
Bwana Masanja lengo la picha halikuwa hilo unalotaka kulileta wewe!
lakini ngoja nikuambie, JK anam-beat JPM kila kona ikiwemo eneo pendwa la JPM ambalo kudhibiti ufisadi.
hakuna anayejua kama ufisadi upo au la kwa sababu hakuna anayeruhusiwa ku-report chochote!
mfano ni hii kesi ya njaa, hadi sasa hakuna uhalisia, watu wanajificha kusema ni Mange, Lissu na Zitto kabwe tu wanaoweza kuiongelea serikali. so kwamba kudhibiti ufisadi kumefanikiwa au la hakuna anayeweza kujua. na hilo ndio eneo pekee labda JPM alikuwa anaweza kumfunika JK nalo liko doubtful, though kwangu JK alikuwa bora Zaidi naomba kuweka hoja: -

Udhibiti wa rasilimali na issues za accountability
alishindwa big time, ila bado he was much better kuliko huyu wa sasa. naomba kufafanua
  1. uhakiki wa kwanza na ku-centralize watumishi ni kazi iliyofanywa awamu ya 4
  2. kuongeza nguvu takukuru ni kazi ya awamu ya 4
  3. kuijenga ofisi ya CAG na kuiongezea uwezo, kuwatoa chini ya ofisi za halmashauri watumishi wa ofisi hiyo na kuiomba ofisi hiyo iripoti kwake moja kwa moja.
    • hapa JK alijenga mfumo imara labda ndio maana hata yeye walimuacha uchi!
serikali hii ya leo, haijengi mifumo na siku wakiondoka ofisi hazitorithiwa na hiyo ni hatari Zaidi. lakini kama waandishi au wanasiasa hawaruhusiwi kuisema serikali, je report ya CAG utaipata wapi.
awamu ya tano yenyewe ina mahakama ya mafisadi tu, sijui kama imeanza kazi au la!
so hata Hapa bado Nampa JK point nyingi Zaidi kuliko JPM

Back to topic, hiyo picha inapaswa itafsiriwe kwa upana wake tu, usiende nje ya hiyo picha, na mtego wake mkuu ni ule ushirikiano baina ya serikali na upinzani. baada ya uchaguzi Mbowe anakuwa kiongozi wa kiserikali na bungeni ana heshima yake kama kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani, sasa ukimnyima haki ya kufanya siasa nje ya kwao Kilimanjaro ukuu wake anautoa wapi?
kwanini anapewa gari ya serikali?
Sifa nilizoziambatanisha na picha hiyo niliziweka late baada ya kuona watu wanaenda nje ya tafsiri ya picha! ni kama wakati wa physical geography, haka kama unapajua mbagala, lkn ukiletewa picha ya mbagala we just tafsiri kile unachokiaona!
 
Age is just numbers.

Ya Kikwete nisiijuwe?

Wachokonozi wamentumia.
Nakumbuka Enzi zile ukitumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu uzuri wa Jk hawaelewi, Sasa hivi unakula tu pension, Jk anasifiwa mpaka Arusha mjini kwa Lema.

Kama Katiba ingeruhusu, huyu mzee angerudi Ikulu miaka ijayo hata bila chama cha siasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom