Hii pekee ipo Rwanda

Hii pekee ipo Rwanda

We ndo huijui nchi. Mleta mada yuko sahihi 100%. Doria ni polisi na jeshi kila baada ya mita chache na usiku wanaongezeka, disco kuna totoz wa ukweli ila pembeni ni askari na siraha, chakula ni nyama inauzwa kwa mapande na supu hawakati vidogovidogo, kwa sasa ukisema mi ni Mtz utasikia wanasema msalimie POMBE hawataji Magufuli, ukikuta wanacheza ngoma yao mademu wanakuja mnacheza nao we ni kunyonga mikono ikae kama pembe za ng'ombe wao, siku ya usafi kama umechelewa kutoka hotelini saa 11 imekula kwako mpaka saa 4, Tz iko saa moja mbele ya Rwanda...Bisha na hili.
Umekurupuka ndugu, mimi nimejibu post namba 57 ya totole isome vizuri. Narudia tena naijua ile nchi nje na ndani kuliko wewe.
 
Ila nimekukubali yani ndani ya siku mbili tu umeweza kunasa mambo yote hayo!! Alafu kwa nini hujagongewa muhuri wa Exit wakatu unarudi!
Niliuliza ila nikaambiwa muhuri wa Tanzania unatosha kwa exit.

Kiukweli hata mimi najishangaa ni muda mchache saana kujua hayo yote mkuu, naamini ningekuwa na camera ningetengeneza bonge la documentary.

Shukrani mkuu kwa kutambua kipaji changu cha uzurulaji na ufundi bomba. Ahaha
 
Habari wandugu!

Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.

Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!

Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!

Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo kila raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma. Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.

Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.

Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.

Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.

Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!

Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!

Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
Primus inapatikana pia, Congo DRC na Burundi.
 
Naungana na mtoa mada kuhusu security Kigali ni tight kinoma.

Mwaka jana nilikuwa kule, siku moja nilienda sehemu fulani panaitwa Nyabugogo, ndiyo ipo stand kuu ya mabasi. Nikawa nimekaa sehemu flani kwa shoe shine mara nikapokea simu kutoka home, nikawanaongea kwa muda, mara nikatoka pale kwenda penbeni kidogo, baadaye nikaends kwenye banda ya Mpesa. Kumbe movement hizo kuna jamaa ananifuatilia kwa makini zaidi baadae akagundua sina madhara yeyote akanisalimia na kuniuliza kama natoka TZ nikakubali, akaniomba kitambulisho, bahati nzuri nilikuwa nimetembea na gamba akaangalia kisha akasepa zake.
 
We ndo huijui nchi. Mleta mada yuko sahihi 100%. Mleta mada amesema kwamba Kigali wananchi wote wanajuana je ni sahihi? Mleta mada amesama kwamba wananchi wote wanaweza kuvaa nguo zinazofanana na za jeshi bila shida je ni sahihi? Kule ukiona raia alie vaa hivo ujue aidha demobilized au reserved army. Mleta mada amesema kua wanajeshi wanasimama kila baada ya mita tano je ni sahihi? Wale hawasimami in any specific distance ila wanaangalia angle in terms of security measures na hua wana simama sio chini ya 100mtrs isipokua katika maeneo machache.
 
doooh.. mkuu hngera.. umekla maixa
Asikwambie mtu nimekuwa na wakati mzuri saana Rwanda.

Halafu kwa bajeti ya kawaida sana kama sio ndogo maana pesa yetu inapanda kwa kasi ya ajabu siku mbili nyuma nilichange 1tsh kwa 0.37 then after two days later tshs ikapanda mpaka 0.4 nikapata hela nzuri.
 
Habari wandugu!

Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.

Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!

Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!

Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo idadi kubwa ya raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma iwe kofia pekee, au suruali, au shati au hata buti na hakuna police wala mjeshi anaehoji wazee wa usalama hawana maneno wao ni ulinzi tu kwa kwenda mbele.Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.

Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.

Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.

Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.

Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!

Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!

Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
😱😱😱!
 
Alaaa kumbe! Sasa ndo nafunguka maana that night ilikuwa ni maji tu kama vita vya maji maji..

I was a plumber that day maana nlikuwa na sababu mbili muhimu moja lilikuwa ni jukumu la kitaifa kuthibitisha kwamba Bongo tunazijua shoo pia. Nyingine ilikuwa mtoto alikuwa mkali kwa hiyo niliona kama golden chance kwa maantiki hizo hapo juu niliazimika kuwa fundi bomba makini for a while maana maji yalikuwa yanatoka uncontrorablly.

Ilikuwa ndo fantasy yangu kugegeda show yenye maji...nlikua naenjoy saana fundi bomba nikiyatekenya maji anavyokakamaa na kurusha kama water fountain.aaha!

Swali la kizushi kwanini watu wengi wanamiliki maji saana kule kwa Kagame?

Now I know...Kumbe plastic cover ndo kazi yake.
Mkuu nimecheka sana....Wenzio wanafanya Uta fit kabla yakwenda Nch za watu....kuhusu umiliki wa Kisima cha Maji huko Down sio Rwanda tu....hata humu Tanganyika hapo Kagera pia Sababu kubwa inasemekana ni ulaji waaina flan ya NDIZI
 
We jamaa una hasira saana, unaeza kata makofi hata wandugu. Hebu tupe kingine tuone kama kweli unaijua nchi!
Sina hasira mkuu ila sijapenda huyo jamaa aliponiita muongo. Kwa faida ya wengine labda wewe ndo uniulize ambayo huyajui nikufahamishe. Kutokana na nature ya kazi zangu nimezunguka kila angle ya ile nchi.
 
Mkuu nimecheka sana....Wenzio wanafanya Uta fit kabla yakwenda Nch za watu....kuhusu umiliki wa Kisima cha Maji huko Down sio Rwanda tu....hata humu Tanganyika hapo Kagera pia Sababu kubwa inasemekana ni ulaji waaina flan ya NDIZI
Hapo umenena mkuu! Ni kweli ukanda wenye ndizi unaweza kuwa na association na maji maji songea ya wale viumbe maana na kule kila nyumba ina udizi hata mmoja.

Sometime ni raha kukutana na surprise kutafiti sana mara nyingine hakuna vibe nzuri.
 
Ahahahhaa!! We jamaa ni mchizi. Eti koki zilizopasuka.

Ukiongea kiswahili tu pahali popote lazma ukapture attention ya watoto. Tena kiswahili ya Dar na sio ya Congo. Wanasema kiswahili ya Dar ni tamu zaidi ya ile ya Congo. Ukiwa unajua na ngeli wenyewe wanaamini utakuwa muwekezaji hivyo papuchi za kitusi zitakulaza na viatu.
Ha ha haaaaa.....Nimecheka kwa Sauti kama mwehu...Eti...Mwekezaji...kwa Uzi usije kufanya watanganyika kupigwa BAN kuingia huko....Kwahiyo mtu anaetamani mechi zakutosha akamwage Ngeli huko atakuwa Plumber wakudumu Asante
 
Licha ya hotel niliyofikia kuwa mzunguko wa club na pub nyingi zenyr kila sample bado sikuwa na kiraruraru saana nlikuwa calm and determined pia mwenye hamu ya kuona maajabu ya maji.

Ila nilishangaa baada ya kwenda kwa mshkaji wangu asubuhi na kukuta maji yamejaa na yametapakaa kila pahali pale chini na kiukweli sikuhisi kama yale maji yote yametoka kwa binadamu mpaka jamaa aliposema hii kitu Inaitwa "kunyaza" na maji ninayoyaona yametoka kwa mchuchu..was suprised! Nilihisi lazma atakuwa kalazwa kwa kupoteza maji mengi hivi..loh! Kweli tembea uone!
" KUNYANZA"
 
Sina hasira mkuu ila sijapenda huyo jamaa aliponiita muongo. Kwa faida ya wengine labda wewe ndo uniulize ambayo huyajui nikufahamishe. Kutokana na nature ya kazi zangu nimezunguka kila angle ya ile nchi.
Relax bro! We are having fun and enjoying friendly conversations..no fight tonight!

Nimetoka Rwanda kujifundisha kuvumiliana na kupendana..tunasema "urokundo" kwa hiyo tuvumiliane tu mkuu.
 
Back
Top Bottom