Hii pekee ipo Rwanda

Hii pekee ipo Rwanda

Dhuuu umenikumbuha mbali sana, Rwanda ndo nchi pekee niliona abiria wanapanda public transport kwa foleni
Rwanda ndo nchi pekee niliona ukipanda boda unapewa tissue flani hivi unaweka kichwani the unavaa ile helmet
Rwanda ndo nchi pekee nilishudia beki 3 wa kule ni vijana tena kabila la tusi

Rwanda ndo nchi pekee nilishangaa ukiwa na mahusiano na dem kwao lazima utambulike na karibia jiji lote wanawatambua sio zile mambo za huku kumiliki dem 3 (Kimara, Tabata Mbezi ukienda Mwz unao 2 BIG NO)

Rwanda ndo nchi pekee ukitongoza dem kuja umgonge sio leo wala kesho mpaka utambuliwe vizuri kwao na we historia yako ifahamike kwao tofauti na hapo kachukue wa kujiuza club
Rwanda ndo nchi pekee nilishangaa mke ana sauti na mamlaka kuliko mume
Rwanda pekee ndo niliacha gari nikapanda basi kwenda kulipa fine ya gari traffic anachukua bank slip tu
Kigari pekee ndo mji sijaona vitu wala bidhaa feki (na sijaona toyota noah na pikipiki sanlg)
Kigali pekee ndo mji mzuri na msafi kwa East Africa japo mji mdogo kwa ukubwa tofauti na Dar na Nairobi

Mambo ni mengi (hasa jumba la makumbusho) muda ni mchache
 
Habari wandugu!

Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.

Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!

Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!

Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo idadi kubwa ya raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma iwe kofia pekee, au suruali, au shati au hata buti na hakuna police wala mjeshi anaehoji wazee wa usalama hawana maneno wao ni ulinzi tu kwa kwenda mbele.Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.

Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.

Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.

Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.

Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!

Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!

Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
Kurwanda esp.pachigali is an enjoyable place, i wish my life get longer and longer ili niende tena may God bless me, nirefushie Maisha Mungu wangu nakupigia magoti nisaidie.
 
Kidogo niende Rwanda na Yanga basi tu nilikosa nauli ningeenda kuthibitisha haya ya huyu Mbaba.
 
Licha ya hotel niliyofikia kuwa mzunguko wa club na pub nyingi zenyr kila sample bado sikuwa na kiraruraru saana nlikuwa calm and determined pia mwenye hamu ya kuona maajabu ya maji.

Ila nilishangaa baada ya kwenda kwa mshkaji wangu asubuhi na kukuta maji yamejaa na yametapakaa kila pahali pale chini na kiukweli sikuhisi kama yale maji yote yametoka kwa binadamu mpaka jamaa aliposema hii kitu Inaitwa "kunyaza" na maji ninayoyaona yametoka kwa mchuchu..was suprised! Nilihisi lazma atakuwa kalazwa kwa kupoteza maji mengi hivi..loh! Kweli tembea uone!
Gharama ya nyumba za wageni.ikoje?
Hasa Self contained rooms?
 
Rwanda ni Tamu ukiwa na mambo za kawaida! Rwanda ya Moto mno ukiwa mtu ya Bitu Mingi! Sekunde tu wanazaa na wewe! Nchi nzima lao Moja! Kila pumzi unayovuta rwanda iko recorded! Kila utakachofanya kama Binaadamu yupo pembeni basi kipo ktk record! Mpaka siku utakayoondoka hapo! Ukienda dukani, ukichukua Manzi, unapolala, unapokula, usafiri, yaani kiufupi wale jamaa wana security moja haielezeki kwa wasiotaka kuelewa kwamba Ukiingia Rwanda uende na adabu zako Kamili. Hii sijaongea kwa kupepesa!
 
Habari wandugu!

Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.

Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!

Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!

Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo idadi kubwa ya raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma iwe kofia pekee, au suruali, au shati au hata buti na hakuna police wala mjeshi anaehoji wazee wa usalama hawana maneno wao ni ulinzi tu kwa kwenda mbele.Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.

Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.

Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.

Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.

Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!

Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!

Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
Loji zao Ni Bei gani mkuu. Gharama kula kawaida kuanzia Bei gani. I need Nika visit Rwanda. Ukienda siku chache Nina Imani hakuna haja ya viza labda mpakani uchukue karatasi. Naenda sex tours nikachenji mazingira
 
Nilimdadisi saana huyu jamaa nikajua ni raia anaeuza vocha tu kwani alivaa na kale kakizibao ka MTN.

Ikoje ya watanzania na waganda hii mkuu?
MKUU UWE NA AKILI HATA YA AKIBA UMEMUONA MTU KAVAA SARE ZA JESHI BADO UNAMUULIZA KAMA YEYE NI ASKARI KISA ANAUZA VOCHA !!!!! UMENITIA AIBU SIYO KILA KITU UTATAFUNIWA VINGINE JAZIA MWENYEWE RWANDA SECURITY YAO NI KALI SANA TOFAUTI NA UNAVYODHANI NA KURAHISISHA MAMBO, HUYO MREMBO ULIYEMCHUKUA PIA ALIKUWA KAZINI PANGETOSHA NINGEANDIKA KITU ALICHOKUULIZA NAWE UKAJIBU UKIDHANI NI MALAYA KUMBE Mhhh kalaghabhaho
 
Rwanda ni Tamu ukiwa na mambo za kawaida! Rwanda ya Moto mno ukiwa mtu ya Bitu Mingi! Sekunde tu wanazaa na wewe! Nchi nzima lao Moja! Kila pumzi unayovuta rwanda iko recorded! Kila utakachofanya kama Binaadamu yupo pembeni basi kipo ktk record! Mpaka siku utakayoondoka hapo! Ukienda dukani, ukichukua Manzi, unapolala, unapokula, usafiri, yaani kiufupi wale jamaa wana security moja haielezeki kwa wasiotaka kuelewa kwamba Ukiingia Rwanda uende na adabu zako Kamili. Hii sijaongea kwa kupepesa!
Yalishanipata mimi sitaki tena kurudi huo ulichokisema ni ukweli asilimia zote.
 
Back
Top Bottom