Hii pekee ipo Rwanda

Hii pekee ipo Rwanda

Karibu sana Mkuu. Yote ulo ya nena yana kaukweli isipokuwa hilo la raia kuvaa nguo za kijeshi. Nadhani huyo alikuwa Mjeshi pia.

Ongezea hizi mbili:

Ukisema wewe ni Mtz unafuatiliwa zaidi kuliko Mganda.

Askari polisi wako mitaani na field radio calls kama vile ni kwenye battle field.

Kwanini mtz anafuatiliwa zaidi ya wengine?,tusaidie mkuu.
 
Mleta mada umenikumbusha kwamba hawa jamaa hawajui kupika ila umenizidi ujanja mi niliogopa kuopoa mtutsi pale club kwa sababu askari wanakuwa wamevalia kivita kwenye maegesho ya magari na milangoni ila wenyeji wanakokota mitetea mbele yao bila woga, sasa umenipa mwanga ngoja tusubiri December inakuja.
Ule ulinzi si wa kawaida mpwa, ukiwa mgeni lazima ufahamu uvurugwe na confidence itikisike kiaina maana ni zaidi ya askari walioko frontline kule Cambodia kwa jinsi walivyojicamouflage na kizuri ukiwaona tu sio askari polisi wala askari jeshi wote wana physique na body za kiaskari kiukweli sijaona askari mwenye kitambi kwa muda wangu wote Rwanda na pia idadi kubwa ya askari ni vijana kati ya miaka 18-33 yrs cha kustaajabisha hawakai kwa muda wote wawapo doria au lindo.

Ukiwajua hawana shida maana huwa hawahoji wala kuharass mtu wao ni kuhakikisha wewe na huyo mchuchu mpo salama. Ni kama masanamu vile.
 
1. Rwanda itakuwa na askari wengi sana.

2. Yaelekea Kigali ina wakazi wachache sana. Kila mtu anamjua mtu fulani (kila mtu)?

3. Unamaanisha nini kusema kila raia anavaa nguo za kijeshi? Sasa nini kinatofautisha raia mvaa sare za jeshi na mwanajeshi halisi?

4. Hapa labda ungesema Kwa East Africa au Africa, lakini nina hakika ipo miji mingine duniani yenye sifa hii. Nimekaa mji mmoja US miezi zaidi ya sita bila kuona mfuko wa nailoni, karatasi, ganda la pipi, biskuti wala uchafu wowote barabarani au kwenye viunga

5. Duh! Wimbo wa Pressure wa mwaka 2007? Hawa jamaa walichelewa wapi kuusikia na kuusahau?

6. Mmh! Hii ngoja waje waseme wenyewe akina mchambawima1 na murutongore

7. Sasa ndugu ulitaka akuambieje? Au ndio ile tumeshazoea jibu la "wala, mimi wa kawaida sana, kwani haujaona warembo zaidi yangu..." ili upate pa kuendelezea?
Hayo yote ulioyataja hakuna kitu kama hicho. Mimi naijua ile nchi nje ndani.
 
Bt mkuu tarehe 28 ulitoa thread yako moja ikihoji KATI YA RWANDA NA KENYA ni wapi pahala sahihi kuhamia na kuishi,bt pia ukahoji taratibu kadhaa za kua huko, bt leo tarehe 5sept unadai ulikwenda na ulirejea(kutoka likizo)

UWIANO UPO WAPI,muda uliokaa uka arrange safari yako toka tarehe 28 aug,uliyoomba elimu humu,na kuarange safari , siku za safari,siku ulizokua huko na hatima kurejea tz na kutuanfikia mrejeshoo huu...me naona kama hii story ya kijiweni umeunga unga Rim ili kukamilisha kusudio lako @ humble africa
 
Ule ulinzi si wa kawaida mpwa, ukiwa mgeni lazima ufahamu uvurugwe na confidence itikisike kiaina maana ni zaidi ya askari walioko frontline kule Cambodia kwa jinsi walivyojicamouflage na kizuri ukiwaona tu sio askari polisi wala askari jeshi wote wana physique na body za kiaskari kiukweli sijaona askari mwenye kitambi kwa muda wangu wote Rwanda.

Ukiwajua hawana shida maana huwa hawahoji wala kuharass mtu wao ni kuhakikisha wewe na huyo mchuchu mpo salama. Ni kama masanamu vile.
Ni kweli siku nyingine niliona nijisogeze kwao nikawaambia mi Mtz vipi naweza kuingia Disco wakasema haina shida hata ukilala ila usilewe ukaleta fujo. Basi ile nimeingia tu aki na mama wafanyabiashara sokoni wakaleta fujo na ndani ya dakika 3-5 walijaa askari na siraha na redio zenye antena ndefu kama movie za Kimarekani na mimi mood ikaisha kabla lengo langu halijatimia....so funny Kigali raha.
 
Habari wandugu!

Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.

Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!

Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!

Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo kila raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma. Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.

Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.

Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.

Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.

Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!

Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!

Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
ulienda Car Wash?
 
Bt mkuu tarehe 28 ulitoa thread yako moja ikihoji KATI YA RWANDA NA KENYA ni wapi pahala sahihi kuhamia na kuishi,bt pia ukahoji taratibu kadhaa za kua huko, bt leo tarehe 5sept unadai ulikwenda na ulirejea(kutoka likizo)

UWIANO UPO WAPI,muda uliokaa uka arrange safari yako toka tarehe 28 aug,uliyoomba elimu humu,na kuarange safari , siku za safari,siku ulizokua huko na hatima kurejea tz na kutuanfikia mrejeshoo huu...me naona kama hii story ya kijiweni umeunga unga Rim ili kukamilisha kusudio lako @ humble africa
Sema na kaukurasa kangu hako kavisa Mpwa.

Rwanda kigali ni nchi ndogo na kwa namna nilivyokatembelea nimenasa hayo kwa haraka haraka mpwa.

Nimefika ila kuna dharula imejitokeza that's why nimekuja Mwanza then soon nitarudi nimalizie mautamu.
1473083201241.jpg
 
Habari wandugu!

Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.

Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!

Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!

Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo kila raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma. Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.

Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.

Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.

Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.

Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!

Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!

Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
Daaaaah Primus nimeikata sana hiyo maeneo ya Kibondo ...na Kakonko
 
Hayo yote ulioyataja hakuna kitu kama hicho. Mimi naijua ile nchi nje ndani.
We ndo huijui nchi. Mleta mada yuko sahihi 100%. Doria ni polisi na jeshi kila baada ya mita chache na usiku wanaongezeka, disco kuna totoz wa ukweli ila pembeni ni askari na siraha, chakula ni nyama inauzwa kwa mapande na supu hawakati vidogovidogo, kwa sasa ukisema mi ni Mtz utasikia wanasema msalimie POMBE hawataji Magufuli, ukikuta wanacheza ngoma yao mademu wanakuja mnacheza nao we ni kunyonga mikono ikae kama pembe za ng'ombe wao, siku ya usafi kama umechelewa kutoka hotelini saa 11 imekula kwako mpaka saa 4, Tz iko saa moja mbele ya Rwanda...Bisha na hili.
 
Habari wandugu!

Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.

Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!

Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!

Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo kila raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma. Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.

Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.

Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.

Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.

Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.


Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!

Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!

Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
Yale mambo yetu yaleeeeeee!
 
Sema na kaukurasa kangu hako kavisa Mpwa.

Rwanda kigali ni nchi ndogo na kwa namna nilivyokatembelea nimenasa hayo kwa haraka haraka mpwa.

Nimefika ila kuna dharula imejitokeza that's why nimekuja Mwanza then soon nitarudi nimalizie mautamu.View attachment 394122
Ila nimekukubali yani ndani ya siku mbili tu umeweza kunasa mambo yote hayo!! Alafu kwa nini hujagongewa muhuri wa Exit wakatu unarudi!
 
Habari wandugu!

Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.

Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!

Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!

Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.

Rwanda ndio nchi pekee ambayo kila raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma. Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.

Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.

Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.

Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.

Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!

Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!

Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
Sawa rafiki asante bwana!
 
Ni kwa sababu Tanzania kuna wakimbizi wengi wa kinyarwanda na ni mojawapo ya njia kuu ya wale ambao hawaiungi mkono serikali yao. Ukienda huko kua makini mana wale jamaa intelijensia yao maarufu DMI ni kali sana.
Duh! Shukrani best😀!
 
Licha ya hotel niliyofikia kuwa mzunguko wa club na pub nyingi zenyr kila sample bado sikuwa na kiraruraru saana nlikuwa calm and determined pia mwenye hamu ya kuona maajabu ya maji.

Ila nilishangaa baada ya kwenda kwa mshkaji wangu asubuhi na kukuta maji yamejaa na yametapakaa kila pahali pale chini na kiukweli sikuhisi kama yale maji yote yametoka kwa binadamu mpaka jamaa aliposema hii kitu Inaitwa "kunyaza" na maji ninayoyaona yametoka kwa mchuchu..was suprised! Nilihisi lazma atakuwa kalazwa kwa kupoteza maji mengi hivi..loh! Kweli tembea uone!
hapa nahisi imeongeza chumvi
 
Back
Top Bottom