tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,484
mzee umetishaaa, ngoja tumwambie braza magu atulete watoto wa kitutsiKwa kuongezea tu:
Kigali ndio mji pekee ambapo Askari polisi/wanajeshi wanapokua patrol iwe ya mchana au usiku wanajihami kwa silaha na radio call kama wako vitani frontline tena porini. Na hawakai chini au kwenye viti.
Gisenyi-Rwanda ni mji pekee duniani ukiongea kiswahili cha kitanzania watu hudhani wewe ni mwanajeshi. Na kama wewe unapenda mademu unawapata kirahisi bila kutumia gharama kubwa.
Kigali-Rwanda ni jiji pekee Africa ambapo mwizi hawe kuiba na kukimbia zaidi ya mita 100 bila kukamatwa akiwa hai au maiti.
Rwanda ni nchi pekee dunianiani ambapo raia wote wa nchi za Africa wanaingia bila viza.
Rwanda ni nchi pekee africa ambapo sheria za nchi zinaruhusu kila mwanandoa kumiliki mali alizochuma kabla ya ndoa na iwapo wataachana mali hizo mali hazimuhusu mwenza wake.
