Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
huo ni mwanzo tu wa huyo popular
Tih tih ni kama kuonja nyama ya binadamu; ukianza nasikia huachi!
huo ni mwanzo tu wa huyo popular
Real sikuona maana ya yeye kushiriki kwenye hilo tangazo, kwanza kimaadili sio vizuri, pili mimi ni mtu mtoa maamuzi mazito ofisini kwetu so life yangu huwa delicate sana.Mwisho wapo watu bwana na hio kazi ndo maana sikuwafuata wao kuwa wachumba, nilitaraji yeye kama muelewa ataheshimu wadhifa wangu na kufanya mambo kwa umakini.
mwache mtu apige kazi.kama ni wako ATAKUWA WAKO TU!lakini kama ni wa kuibiwa,hata umfungie ndani
mkuu naomba nikupinge... usijaribu sumu kwa kuionja
weeeeeeeeeee... acha kabisa hiyo kitu mazee!!! maisha yenyewe ya siku hizi haya bwana ni bora mtu kuweka vitu waziSi kama Virus na Ant-virus................
weeeeeeeeeee... acha kabisa hiyo kitu mazee!!! maisha yenyewe ya siku hizi haya bwana ni bora mtu kuweka vitu wazi
hukawii baada ya wiki unaanza kuambiwa kuna video ya sugu naenda kufanya shooting' sasa kama mtu una matarajio yako na mtazamo fualni ndio hapo unapigwa butwaa
Wana JF nisaidieni.Hivi unamchumba kisha akakuambia eti anashiriki kwenye tangazo la mfano sigara ukamshauri akakataa na wewe uko ofisi vyeti sana yenye heshima kweli kweli na yeye pia si haba ni msomi wa chuo kama Mzumbe.Hivi kweli ukimuambia achape lapa kuna makosa kweli.Naomba mawazo yenu jamani.
he!! una maana gani?Fafanua anashirikije?
wanandaa wakiwa uchi?
if under normal circumstance ni wizu wa kike
Jibu umelitafuta mwenyewe sasa malizia goli langoni.Wana JF nisaidieni.Hivi unamchumba kisha akakuambia eti anashiriki kwenye tangazo la mfano sigara ukamshauri akakataa na wewe uko ofisi vyeti sana yenye heshima kweli kweli na yeye pia si haba ni msomi wa chuo kama Mzumbe.Hivi kweli ukimuambia achape lapa kuna makosa kweli.Naomba mawazo yenu jamani.
Mapenzi ni kukubalia kusakrifaisi vitu vizuri upendavyo ilhali umpendezeshe mwenza wako.... Wengi hawaelewi hili ndo maana wanaburuzana hatimaye kutoana roho kwa presha