Hii ni moja ya kazi nzuri ya Hayati Magufuli

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,240
12,763
IMG_20220904_095040.jpg
 
Miaka 6 unajivunia kakiwanda kamoja ambako Nako kamekailika kwa kuwezeshwa na awamu ya 6..

As we speak by 2025 hakuna hata kilo moja ya sukari itaagizwa kutoka nje maana investor wa Kilbero sugar kaingiza zaidi ya bil.725 kwenye sukari na huyu wa Bakhessa nae anaanza awamu ya pili ya uwekezaji Ili kufikia full capacity..

Sio tuu Sukari bali hata mbolea za mazao hakuna hata mfuko mmja utaagizwa kutoka nje by huo mwaka..As we speak kiwanda cha intracom fertilizer cha dodoma kimeanza uzalishaji wa awali na Mwaka huu tunatumia mbolea hizo..

Kwenye viwanda usije mlinganisha SSH na JPM utaaibika bure.
 
Niliuzaga bei yake kwa kg1 ni tsh ngapi mpaka leo sijapata jibu humu

Ova
 
Yaani Tajiri apige kazi, aingize mtaji, alipe wafanyakazi, kisha credit ziende kwa rais kwa sababu kampa ardhi?
Kwa nini ampe mmoja na si wengi ili uwepo ushindani nchini?

Mkuu, kwani si huwa tunasema Serikali ina wajibu wa kutengeneza mazingira mazuri kwa wafanyabiashara/wawekezaji ili kukuza uchumi wa nchi!??

Sasa JPM ktk awamu yake moja ya jambo alilofanya ni kutoa motisha ktk sekta ya viwanda na huu ujenzi wa hiki kiwanda si tu alitoa ardhi bali alimpa exemption ktk baadhi ya maeneo ikiwemo uingizaji bure wa mitambo ya viwandani pasina kutozwa ushuru bandarini, exemption ya kodi kwa miaka kadhaa ya baada ya kuanza operation nk
Hata uzinduzi wa Hotel ya Verde (5 star hotel) miliki ya Bahkresa, JPM alialikwa na alitoa msisitizo kwamba Serikali yake inatoa vipaumbele kwa wawekezaji na hasa wazawa

Hvyo sisi wananchi hatuna budi kumpa kongole Mwamba JPM haya ni moja ya matunda yake ktk utawala wake, Kama ilivyokuwa kwa Kikwete alipomleta Dangote
 
Huo mradi ulikuwepo tangu miaka ya mwanzo ya Kikwete, JPM hata hausiki na chochote kile
Kabisa Wengi wamebaki Kusifia Magufuli tu.
Huu Mradi Upo Kabla Magufuli Hajaingia Madarakani.
Kipindi cha Kikwete Kuna Wananchi Waliamishwa Kupisha Huu Mradi Na Mipango Ya Ujenzi Ikaanza .
Mimi Nina Eneo Lipo Jirani Na Huu Mradi Na Mipaka Yake Imewekwa Miaka Mingi Sana
 
Mkimaliza muwashukuru wakoloni magavana waliosimamia ujenzi wa ikulu ya magogoni , reli , hospital , shule , ofisi za wakuu wa mikoa na wilaya (boma) , barabara, viwanda, mahakama na kadhalika.

Hawa siku yao ya kutambua kazi walizofanya ni lini.?
Hizo habari za kushukuru ni zako
 
Back
Top Bottom