Hii ni kwa wanawake tu,wanaume msiingie

Hii ni kwa wanawake tu,wanaume msiingie

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,333
Ngoja niwaambie sisi wanaume tulivyo ili ikusaidie sana kwenye maisha ya mapenzi.

Sisi wanaume wa kiafrica atupendi mwanamke atukubali haraka ina maana ukitongozwa na mtu ata kama umempenda,muoneshe kama umempenda ili awe na matumain lakin usimkubali haraka.

Sisi tunaamin ukikubali haraka basi utakuwa kicheche,mtuzungushe zungushe.Pia siku za kwanza kwanza msipende kutuomba hela sababu ukiomba hela mapema unaonekana ujatulia,alafu mkiomba hela muite sana neno sweet, etc.

Pia mjifunze kupetipet,kubembeleza,kutabasamu ata jitaidi kutuma msg nyingi kama nimekumiss ata kama hujammiss.Pia kukiwa na ugomvi usipanic bali kuwa mwepesi sana kuomba msamaha hapo mapenzi yatadumu.

Pia muonyeshe unampenda,mkifanya hivo na sisi tutawapenda sana wala kuachana kutashindwa.

Mwisho usiwe muda mwingine uko unachat kwenye simu sababu sisi tunaamini utakuwa unachat na wanaume ata kama atutouliza.
 
Sawa......na nyie sio mngoje mpaka tuwaombe pesa.......we nipe tu randomly........usihesabu.....kama umenipa jana na leo pia unaweza kunipa......ukiona sina raha niulize taratibu huku unanipa hela........ukinipigia niulize kama hela zimeisha.......asubuhi niulize leo nitataka sh ngapi.......jioni nikirudi hakikisha zile pesa za asubuhi kama zilitosha......alaaaaa
 
Sawa......na nyie sio mngoje mpaka tuwaombe pesa.......we nipe tu randomly........usihesabu.....kama umenipa jana na leo pia unaweza kunipa......ukiona sina raha niulize taratibu huku unanipa hela........ukinipigia niulize kama hela zimeisha.......asubuhi niulize leo nitataka sh ngapi.......jioni nikirudi hakikisha zile pesa za asubuhi kama zilitosha......alaaaaa

mim uwa naweka kwenye droo kama m 5.namwambia mchumba akiwa na shida asiniombe achukue tu daa harafu mwisho wa siku mnatutema
 
Sawa......na nyie sio mngoje mpaka tuwaombe pesa.......we nipe tu randomly........usihesabu.....kama umenipa jana na leo pia unaweza kunipa......ukiona sina raha niulize taratibu huku unanipa hela........ukinipigia niulize kama hela zimeisha.......asubuhi niulize leo nitataka sh ngapi.......jioni nikirudi hakikisha zile pesa za asubuhi kama zilitosha......alaaaaa
mwanamke wa kichaga utamjua tuu!!!
 
Sawa......na nyie sio mngoje mpaka tuwaombe pesa.......we nipe tu randomly........usihesabu.....kama umenipa jana na leo pia unaweza kunipa......ukiona sina raha niulize taratibu huku unanipa hela........ukinipigia niulize kama hela zimeisha.......asubuhi niulize leo nitataka sh ngapi.......jioni nikirudi hakikisha zile pesa za asubuhi kama zilitosha......alaaaaa
h
Wapenda pesa sana wewe. Kwa nini usiolewe na Benki????????
 
ngoja niwaambie sisi wanaume tulivyo ili ikusaidie sana kwenye maisha ya mapenzi.
sisi wanaume wa kiafrica atupendi mwanamke atukubali haraka ina maana ukitongozwa na mtu ata kama umempenda. muonyeshe kama umempenda ili awe na matumain lakin usimkubali haraka.sisi tunaamin ukikubali haraka basi utakuwa kicheche.mtuzungushe zungushe.
pia siku za kwanza kwanza msipende kutuomba ela sababu ukiomba ela mapema unaonekana ujatulia. harafu mkiomba ela muite sana neno sweet, etc.
pia mjifunze kupetipet. kubembeleza.kutabasamu ata jitaid kutuma msg nying kama nimekumiss ata kama ujatumiss.
pia kukiwa na ugomvi usipanic bali kuwa mwepesi sana kuomba msamaha apo mapenz yatadumu.
pia muonyeshe unampenda. mkifanya hivo na sisi tutawapenda sana wala kuachana kutashindwa.
mwisho usiwe muda mwingine uko unachat kwenye simu sababu sisi tunaamin utakuwa unachat na wanaume ata kama atutouliza.

Kwenye mahusiano PESA kwanza MAPENZI baadae. PESA ni lango la MAPENZI....
 
tatizo mambo huwa yanabadilika mkishaoana, kwenye uchumba wote mtajidai kumfurahisha mwenzake mkishaoana kila mtu anaona sasa nshampata atahangaika na wa nje hiyo ni kawaida ya binadamu, mkiwa wapenzi mwanaume atampa mschana hela hata kama hajaomba na saa ingine mwanamke atakataa ili asionekane anapenda hela sana na hapo kila mmoja atamwona mwenzake anafaa na wataoana sasa ngoja wakae mika 2-3 utaona kila sampuli ya tabia ya mwenzako, mlikuwa mnaenda wote kanisani itafika mahali kila mtu anaenda church kivyake, kila mtu anajinunulia nguo mwenyewe bila kumjali mwenzake ila dushe kitandani wanapeana.
Minaona tufuate maagizo ya muumba wetu kwamba mwanaume ndo kichwa cha familia atafue hela alishe na kusomesha familia mke atunze kwa hali na akzi za mikono yake basi, mengine urembo tuu
 
Sawa......na nyie sio mngoje mpaka tuwaombe pesa.......we nipe tu randomly........usihesabu.....kama umenipa jana na leo pia unaweza kunipa......ukiona sina raha niulize taratibu huku unanipa hela........ukinipigia niulize kama hela zimeisha.......asubuhi niulize leo nitataka sh ngapi.......jioni nikirudi hakikisha zile pesa za asubuhi kama zilitosha......alaaaaa

aaahaa yaani we Preta bhana, umenichekesha hadi nimeshindwa kujizuia kuandika kitu wakati wanaume tumepigwa stop kwenye uzi huu

loh, yaani kila sentensi inachekesha!!
 
yaliyokukuta wewe sio yatakayomkuta rijali mwezio

mapenzi hayakaririki

sidanganyike ng'oo!!!
 
Preta umeua
hawa viumbe hawa hawana formula
 
Last edited by a moderator:
Heeh. Mie akiniangalia angalia tu nakuuliza unanitaka? Una sh ngapiiii?

Mambo ya longolongo yashapitwa na wakati!
 
Back
Top Bottom