mkuu mambo ya kale sana haya.
Yaani 'kuzungushana' ndio mpango gani huo? Yaani utongoze wiki eti mwezi kwa lipi hilo?
Pole mkuu kama bado uko kwenye stage hii
Mimi nikimtaka mwanamke asiponiomba ela sirudi kwake...
Sawa......na nyie sio mngoje mpaka tuwaombe pesa.......we nipe tu randomly........usihesabu.....kama umenipa jana na leo pia unaweza kunipa......ukiona sina raha niulize taratibu huku unanipa hela........ukinipigia niulize kama hela zimeisha.......asubuhi niulize leo nitataka sh ngapi.......jioni nikirudi hakikisha zile pesa za asubuhi kama zilitosha......alaaaaa
Sawa......na nyie sio mngoje mpaka tuwaombe pesa.......we nipe tu randomly........usihesabu.....kama umenipa jana na leo pia unaweza kunipa......ukiona sina raha niulize taratibu huku unanipa hela........ukinipigia niulize kama hela zimeisha.......asubuhi niulize leo nitataka sh ngapi.......jioni nikirudi hakikisha zile pesa za asubuhi kama zilitosha......alaaaaa
hahhaha sasa kuna wanaume wanapenda uwafanyie hivyo, yaani ukiona mesage yake tu jua anataka pesa, akipiga simu,sweet nyingi nyingi, ila sentenssi ya mwisho anaomba pesa, mwanaume lijali kabisa umeamaua kwenda kwake kumtembelea, say kaja kukupokea airport na kigari chake, basi mnatoka airport mnapitia petro station anakuomba pesa umjazie petrol, ukifika nyumbani anakuomba pesa mkanunue vitu vya kupika, usiku ukiingia anakwambia tutoke, mkifika baa ulipie bill yoote, kesho ukiamka umpe pesa aende salon akanyoe, ukiamua kutoka kidogo(peke yako bila yeye) anakupa number ya voda umtumie jamaa yake mpesa eti alikopa eti huko njiani utakutana na vibanda vya mpesa, jamani mapenzi shughuli pevu
kwa hiyo hauna true love?