Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

Ina maana umri huo haujui kutukana?Nani alikufundisha?Na wenyewe si uhuni?Acha kuchaguachagua mambo.Utakwama! 😂😂😂
Wewe usichanguwe pia beba tu, sawa.
Na ustarabu na heshima ni kitu cha bure,
kwa nini utukane na uwe muhuni.
 
Don't take everything personal.It will probably haunt you.
 
images (1).jpeg
 
Watu wa hivyo wengi wao hua wana stress za maisha tu,hasira zao wanazimalizia kwa wengine wakifikiri kua hiyo ndio njia ya kutatua matatizo yao.
Zanzibar2014
Sorry lakini unawaelewa, mimi siwafahamu kabisa. Sijui lugha au culture tofauti. Niwanafiki mnoooo, sasa kama nimesema kitu sivyo au nimekosea si waseme tu but wananituka sasa.

Eti nimekuja kushow off, sasa ninashow off nini na nina ushamba fulani, kusema niko London au??

Kwani London ni nini kwa huko Tanzania??
Kwa sababu sijashow off kitu na ushamba kuhusu nini ??

Na hivi ndivyo walivyo mbali ya mtandao
Wacha nisema ni baadhi sio wote 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️
 
Back
Top Bottom