Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

Ila wanawake mnaipenda mitandao ya kijamii but ndio chanzo cha stress zenu na kuibua ya siyo na ulazima kwenye maisha yenu, mwataka kila mkionacho humo basi muendane nacho!!, social media sio kitu cha kukiweka akilini, uyaonayo huko beba lililo positive kwenye maisha yako but negative tupa kule!!, am not sure BT nahisi humu unatafuta stress za bure the way you act !!, ushauri wangu kwako kama itakupendeza, usiyaweke akilini ya humu ukishindwa futa hii account ya jf endelea na maisha yako usijitafutie msongo wa mawazo wa bure. Sorry kama ushauri wa utakuwaza!!
Huyu atakuwa Gentamycin[emoji16][emoji16]
 
Nimepata shoo hatujui kupanga maneno yakaeleweka wamekufanyaje matahira wa humu niambie nimsodoe nimnyee huyo shuwain humu ukiwapata watu wanaokuudhi tukana mpaka basi mpe Yale ya moyoni watu humu wanakuonea Gere unajitambua wanaotaka uwape na hawana hela humu ni maleLe mama wanaotaka Cha Bure wanatunzwa Malaya hao .


Kwanza wazeee zile mita zao zimelegea sijapata wakuvuana humu niliwachunguza nikajua ni mappp yamelegea unajua Yale makitu magumu magumu kulegea ndio hayooo
Jaman humu ndani na masheikh tumo
 
Watu wa hivyo wengi wao hua wana stress za maisha tu,hasira zao wanazimalizia kwa wengine wakifikiri kua hiyo ndio njia ya kutatua matatizo yao.
Zanzibar2014
Au shamba wanakusudia kuwa nakosea kujibu na najibu posts za watu??

Lakini ushamba kusema umekosea, au ushamba kujifanya unajua lakini hujui?!

I am sorry to come back to you again on this!

Mimi siwafahamu kabisa nakuuliza wewe unaka huku pia kama unawaelewa lakini ??
 
Back
Top Bottom