Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,829
- 110,082
Nimekusikia yaaani!! Na Pia mimi sio Mpemba 🙏🙏
Ok
Wewe u asili gani? mkojani, mtumbatu, mngazija, mshiraz, mhamidu....
Nimekusikia yaaani!! Na Pia mimi sio Mpemba 🙏🙏
Vile vile unasema kwanza nijifunze ndio nijibu kwa hiyo unataka nambia nisijibu mtu mpaka nijifunze. Ili nioneka nina tharau watu maoni yao. Kama sio mnyanyasaji ungenifahamisha kwa ustarabu tu sijakataa kujifunza.Sista, hivi unajua hili jukwaa wanaume wasingeanzisha thread lingekuwa limepoa sana maana ndio wapo wengi sana. Pia zipo mada zilizowakejeli wanaume pia, ila it's just a social media platform ila unataka ubebe grudge juu ya nani sasa wakati watu karibia wote huwajui humu. Ukiambiwa watu wengi humu wanandoa nazinaenda fresh tu hutaamini sema huku ni just social media huishi humu. A social media is a place where you can insult your professor without getting caught, ni mtandao wa kijamii wa kuchat tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami sijakufaham pia,ushafahamNifate tena sijakufahamu vizuri hapa
😀😀Comrade si ulikuwa unaomba msamaha, nini mbaya tena mkuu
Kuhusu nini ??Nami sijakufaham pia,ushafaham
Ok
Wewe u asili gani? mkojani, mtumbatu, mngazija, mshiraz, mhamidu....
Ok
Wewe u asili gani? mkojani, mtumbatu, mngazija, mshiraz, mhamidu....
Kwa hapa sidhani 🙏🙏Hujapata mume? Zanzibar2014
Nimewaona na la kusema sina lakini nimejifunza kabla ya kwenda nyumbani.Watu wa hivyo wengi wao hua wana stress za maisha tu,hasira zao wanazimalizia kwa wengine wakifikiri kua hiyo ndio njia ya kutatua matatizo yao.
Zanzibar2014
Wanajizungua wenyewe sio mimi kabisa
Napambania nini ??LOL 🙄😳
Mimi naongelea kuhukumiwa na kukejeliwa mimi, kama mtu hajui uliza kuliko ujuwaji mwingi wakati pengine yao yanawashinda.Ila wanawake wenzio wana-enjoy shoo😁 na huwaambii kitu kuhusu hili jukwaa.
Hata wewe ni suala la muda tu, utazoea na kuanza kufurahia.
Ukiona unauliza na kutoa dukuduku badala ya kukimbia, basi jua kwamba you are here to stay.
Mwishoni utaona kwamba hata wale uliokuwa unawashgaa ni wa kawaida tu maana mambo ya huku jukwaani huwa yanabaki huku huku.
Najifunza nini uhuni ??Kwa umri ulionao unapaswa uishi na watu wa aina kwa aina ili ujifunze zaidi.
Njoo DM mngoni anakutafuta yuko Manchester!!!!Mimi ni mchanganiko wa Uzungu, Asian na Uafrica.🙏🙏
Ina maana umri huo haujui kutukana?Nani alikufundisha?Na wenyewe si uhuni?Acha kuchaguachagua mambo.Utakwama! 😂😂😂Najifunza nini uhuni ??