Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

Zanzibar2014

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2022
Posts
743
Reaction score
591
Najua kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu. Sijapata kuona kabisa hamjui kutuheshimu kabisa.

Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyinyi yanakujereni nini? Mnapenda kukosoa mno, siyo kuuliza mkajibiwa, ujuaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.

Kwani maana ya hili jukwaa ni nini, si kila mtu anafanya anavyosisikia, muhimu havunji sheria tu? Na ambao siyo waoaji tunakujueni tu, siyo lazima kututukana na kutuhukumu.
 
Najuwa kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu.

Sijapata kuona kabisa hamujuwi kutuheshimu kabisa.

Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyingi yanakujereni nini ??

Mnapenda kubesa mnoo sio kuuliza mkajibiwa, ujuwaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.

Kwani maana ya hili jukwaa ni nini si kila mtu anafanya anavyosisikia, muhimu havunji sheria tu.

Na ambao sio waowaji tunakujuweni tu sio lazima kututukana na kutuhukumu.
Comrade si ulikuwa unaomba msamaha, nini mbaya tena mkuu
 
Najuwa kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu.

Sijapata kuona kabisa hamujuwi kutuheshimu kabisa.

Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyingi yanakujereni nini ??

Mnapenda kubesa mnoo sio kuuliza mkajibiwa, ujuwaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.

Kwani maana ya hili jukwaa ni nini si kila mtu anafanya anavyosisikia, muhimu havunji sheria tu.

Na ambao sio waowaji tunakujuweni tu sio lazima kututukana na kutuhukumu.
Umehusiwa kuto kuchukia, umehusiwa kuwa mwenye kusubiri,
 
Najuwa kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu.

Sijapata kuona kabisa hamujuwi kutuheshimu kabisa.

Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyingi yanakujereni nini ??

Mnapenda kubesa mnoo sio kuuliza mkajibiwa, ujuwaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.

Kwani maana ya hili jukwaa ni nini si kila mtu anafanya anavyosisikia, muhimu havunji sheria tu.

Na ambao sio waowaji tunakujuweni tu sio lazima kututukana na kutuhukumu.
Pambana Mama. Hiii ndio JF. Na slogan "where we dare to talk openly"
 
Najuwa kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu.

Sijapata kuona kabisa hamujuwi kutuheshimu kabisa.

Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyingi yanakujereni nini ??

Mnapenda kukosowa mnoo sio kuuliza mkajibiwa, ujuwaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.

Kwani maana ya hili jukwaa ni nini si kila mtu anafanya anavyosisikia, muhimu havunji sheria tu.

Na ambao sio waowaji tunakujuweni tu sio lazima kututukana na kutuhukumu.
Ila wanawake mnaipenda mitandao ya kijamii but ndio chanzo cha stress zenu na kuibua ya siyo na ulazima kwenye maisha yenu, mwataka kila mkionacho humo basi muendane nacho!!, social media sio kitu cha kukiweka akilini, uyaonayo huko beba lililo positive kwenye maisha yako but negative tupa kule!!, am not sure BT nahisi humu unatafuta stress za bure the way you act !!, ushauri wangu kwako kama itakupendeza, usiyaweke akilini ya humu ukishindwa futa hii account ya jf endelea na maisha yako usijitafutie msongo wa mawazo wa bure. Sorry kama ushauri wa utakuwaza!!
 
Karibu sana JamiiForums 🙃

"Where we (people) dare to talk openly", hii ni slogan ya miaka yote ya JF...

Hivyo usihangaike sana na waosha vinywa wa hiki kijiwe nongwa...

Enjoy the bumpy ride aunt mpemba
 
Najua kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu. Sijapata kuona kabisa hamjui kutuheshimu kabisa.

Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyinyi yanakujereni nini? Mnapenda kukosoa mno, siyo kuuliza mkajibiwa, ujuaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.

Kwani maana ya hili jukwaa ni nini, si kila mtu anafanya anavyosisikia, muhimu havunji sheria tu? Na ambao siyo waoaji tunakujueni tu, siyo lazima kututukana na kutuhukumu.
Sista, hivi unajua hili jukwaa wanaume wasingeanzisha thread lingekuwa limepoa sana maana ndio wapo wengi sana. Pia zipo mada zilizowakejeli wanaume pia, ila it's just a social media platform ila unataka ubebe grudge juu ya nani sasa wakati watu karibia wote huwajui humu. Ukiambiwa watu wengi humu wanandoa nazinaenda fresh tu hutaamini sema huku ni just social media huishi humu. A social media is a place where you can insult your professor without getting caught, ni mtandao wa kijamii wa kuchat tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu. Sijapata kuona kabisa hamjui kutuheshimu kabisa.

Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyinyi yanakujereni nini? Mnapenda kukosoa mno, siyo kuuliza mkajibiwa, ujuaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.

Kwani maana ya hili jukwaa ni nini, si kila mtu anafanya anavyosisikia, muhimu havunji sheria tu? Na ambao siyo waoaji tunakujueni tu, siyo lazima kututukana na kutuhukumu.
Watu wa Zanzibar kwa michambo.... Mnaendeleaje lakini huko London

Sent from my CPH2095 using JamiiForums mobile app
 
You take things at heart sana mkuu. Hamna jambo personal humu. La kukusaidia along the road beba. Usilotka liache. Hata udhihakiwe vipi. Hata tukukejeli vipi. As long as unajijua wewe mwenyewe na walio karibu yako wanautambua umuhimu wako its enough. Kula vizuri, exercise kimtindo, get enough air, peruz kidogo..cheka kidogo, sali pia. Inatosha. Mpende akupendae asiekupenda mpende pia 🤣.
 
Back
Top Bottom