Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

Hii ni kwa wanaume wanaonyanyasa wanawake

Sista, hivi unajua hili jukwaa wanaume wasingeanzisha thread lingekuwa limepoa sana maana ndio wapo wengi sana. Pia zipo mada zilizowakejeli wanaume pia, ila it's just a social media platform ila unataka ubebe grudge juu ya nani sasa wakati watu karibia wote huwajui humu. Ukiambiwa watu wengi humu wanandoa nazinaenda fresh tu hutaamini sema huku ni just social media huishi humu. A social media is a place where you can insult your professor without getting caught, ni mtandao wa kijamii wa kuchat tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umekejeliwa na wewe pia shusha maoni yako muhimu, hutukani mtu tu.
 
Sista, hivi unajua hili jukwaa wanaume wasingeanzisha thread lingekuwa limepoa sana maana ndio wapo wengi sana. Pia zipo mada zilizowakejeli wanaume pia, ila it's just a social media platform ila unataka ubebe grudge juu ya nani sasa wakati watu karibia wote huwajui humu. Ukiambiwa watu wengi humu wanandoa nazinaenda fresh tu hutaamini sema huku ni just social media huishi humu. A social media is a place where you can insult your professor without getting caught, ni mtandao wa kijamii wa kuchat tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio point hawanijui sasa matusi ya nini hasa kwa mwanamke sio sawa kabisa
 
Sista, hivi unajua hili jukwaa wanaume wasingeanzisha thread lingekuwa limepoa sana maana ndio wapo wengi sana. Pia zipo mada zilizowakejeli wanaume pia, ila it's just a social media platform ila unataka ubebe grudge juu ya nani sasa wakati watu karibia wote huwajui humu. Ukiambiwa watu wengi humu wanandoa nazinaenda fresh tu hutaamini sema huku ni just social media huishi humu. A social media is a place where you can insult your professor without getting caught, ni mtandao wa kijamii wa kuchat tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Na point nyengine nyinyi muko wengi ndio sasa kutowashushia heshma wanawake
 
You take things at heart sana mkuu. Hamna jambo personal humu. La kukusaidia along the road beba. Usilotka liache. Hata udhihakiwe vipi. Hata tukukejeli vipi. As long as unajijua wewe mwenyewe na walio karibu yako wanautambua umuhimu wako its enough. Kula vizuri, exercise kimtindo, get enough air, peruz kidogo..cheka kidogo, sali pia. Inatosha. Mpende akupendae asiekupenda mpende pia 🤣.
Wooooow nimeisikia na sasa nawaelewa Watanzani vizuri, mimi siko nao huku kwa hiyo mambo mengine ni ajabu, nitafahamu zaidi.
 
Wooooow nimeisikia na sasa nawaelewa Watanzani vizuri, mimi siko nao huku kwa hiyo mambo mengine ni ajabu, nitafahamu zaidi.
Karibu sana JamiiForums 🙃

"Where we (people) dare to talk openly", hii ni slogan ya miaka yote ya JF...

Hivyo usihangaike sana na waosha vinywa wa hiki kijiwe nongwa...

Enjoy the bumpy ride aunt mpemba
Nimekusikia yaaani!! Na pia mimi sio Mpemba 🙏🙏
 
Ila wanawake mnaipenda mitandao ya kijamii but ndio chanzo cha stress zenu na kuibua ya siyo na ulazima kwenye maisha yenu, mwataka kila mkionacho humo basi muendane nacho!!, social media sio kitu cha kukiweka akilini, uyaonayo huko beba lililo positive kwenye maisha yako but negative tupa kule!!, am not sure BT nahisi humu unatafuta stress za bure the way you act !!, ushauri wangu kwako kama itakupendeza, usiyaweke akilini ya humu ukishindwa futa hii account ya jf endelea na maisha yako usijitafutie msongo wa mawazo wa bure. Sorry kama ushauri wa utakuwaza!!
Hujanikwaza lakini mimi niliona cha ajabu watu kutoleana maneno au kutokuwa wastarabu.
Sitaki kusema saaana lakini nilishangaa mnooo mbali ya hapo niko powa kabisa ahsante saaana.
 
Wasamehe wote mkuu, ukiweka kichwani kila kinachosemwa huku kichwa kitapasuka. Wengi hupenda utani na sidhani kama wapo hivyo unavyodhani.
Nawafahamu kidogo kidogo zaidi ya hapo sina la kusema kwa kweli 🙏🙏
 
Najua kusema ni uhuru wa kila mtu lakini wanaume wengine mmezidi kukejeli wanawake humu. Sijapata kuona kabisa hamjui kutuheshimu kabisa.

Sasa kama mtu ana matwaka yake, nyinyi yanakujereni nini? Mnapenda kukosoa mno, siyo kuuliza mkajibiwa, ujuaji mwingi tu. Kama ya kwenu manayaweza.

Kwani maana ya hili jukwaa ni nini, si kila mtu anafanya anavyosisikia, muhimu havunji sheria tu? Na ambao siyo waoaji tunakujueni tu, siyo lazima kututukana na kutuhukumu.
Wanaume wameumbwa ni wadadisi wa mambo kwa asili.Usilinginishe udadisi na ukorofi.Halafu,watu tumezaliwa kwa silika na makuzi tofautitofauti.Usiweke majibu kwa maswali uulizayo.Tegemea chochote na ukipokee kwa tahadhari na hekima.
 
Hawana helaaa stress wanahamishia kuwajadili wanawake
 
Wanaume wameumbwa ni wadadisi wa mambo kwa asili.Usilinginishe udadisi na ukorofi.Halafu,watu tumezaliwa kwa silika na makuzi tofautitofauti.Usiweke majibu kwa maswali uulizayo.Tegemea chochote na ukipokee kwa tahadhari na hekima.
Ndio lakini cha ajabu nimeona mdada moja pia anaungana nae, nikaona unafiki mwingi pia. Mimi sijazowea maneno maneno kabisa.
 
Lakini kujiunga hapa nimepatwa na bumbutwa.
Ila wanawake wenzio wana-enjoy shoo😁 na huwaambii kitu kuhusu hili jukwaa.

Hata wewe ni suala la muda tu, utazoea na kuanza kufurahia.
Ukiona unauliza na kutoa dukuduku badala ya kukimbia, basi jua kwamba you are here to stay.
Mwishoni utaona kwamba hata wale uliokuwa unawashgaa ni wa kawaida tu maana mambo ya huku jukwaani huwa yanabaki huku huku.
 
Back
Top Bottom