Hii ni aibu Marine Hassan!

Nimeona kwel jamaa lugha inasumbua,ila kwan kuna ulazima wa wote kujua kiingereza,hao wanaojua wametusaidia nn hadi sasa!tupende lugha yetu!

Mkuu sio lazima kukijua kiingereza lakini sasa kwanini tunaendelea kuking'ang'ania na hatuchukui hatua kujifunza tukijue vizuri? Nionavyo mm kuna mambo mawili tunapaswa kuchagua. Moja tuachane nacho na tuanze kutumia wakalimani kama wajerumani, wachina, waarabu na wengineo. Au tuwe serious basi tuwekeze vizuri kwenye hii lugha ili tuondokane na hii aibu ya kila siku. It does not make sense mwandishi mwandamizi kama huyo jamaa kutojua kiingereza basic kabisa, infact imefika mahali hata mawaziri,rais n.k wakikivunja kiingereza inaonekana poa tu which is not ok kabisa.
 
Kiingereza siyo lugha yetu ya kwanza. kukosea ni jamabo la kawaida. Hebu na nyie mnaojidai kumkosoa jaribuni kuandika kiingereza chenu tukione!

kama sio lugha yetu kwanini tunaitumia?
Kwanini tunaamua kujidhalilisha?
Kuna umuhimu gani wa kuongea lugha usiyoilewa vizuri kisa ni lugha ya kigeni.
 
Sijaona tatizo,, wengi wetu tunajua kigreza kwa kuandika au kusikiliza, ila kuongea ni tabu tupu. afterall hiyo ni lugha ya wakoloni.

Kwani kujua kigreza ndo ishu? rais wa China hajui kiingereza.
Big up marine, kwani umesubutu,,umeweza na unasonga mbele.
 
Mimi naona ana tofauti na Mbowe!
Ukimsikia Mbowe akiongea Kiingereza ni kama Marine tu, wala sio aibu ni kawaida tu
 
Tatizo si lugha bali alikuwa anatunga swali la kuuliza kwa kiswahili hali atafusiri kwa kiswahili, yaani tafusiri sisisi
 
Marine Hassan Marine,anatema ung'eng'e vizuri kuliko Benard Membe ambaye amekaa Canada miaka mingi tu....nilimsikia akihojiwa na Shaka Ssali wa Straight Talk African ni vurugu tupu..!
 
kama sio lugha yetu kwanini tunaitumia?
Kwanini tunaamua kujidhalilisha?
Kuna umuhimu gani wa kuongea lugha usiyoilewa vizuri kisa ni lugha ya kigeni.
Kama anaonge na mgeni ambaye hajui kiswahili, kwanini asijitutumue kuongea kingereza hata kama ni broken? Angalia na situation aliyotumia kiingereza mkuu
 
Kama anaonge na mgeni ambaye hajui kiswahili, kwanini asijitutumue kuongea kingereza hata kama ni broken? Angalia na situation aliyotumia kiingereza mkuu

kwani ilikuwa lazma amuhoji yeye. Angeuza kazi!!!
Kwa umri wake ni aibu, kama kazi yake inahitaji lugha, kwanini asifanye hata everning class? Tatizo sisi ni wavivu wa kusoma, pia hatuogopi aibu.
 
Mimi naona ana tofauti na Mbowe!
Ukimsikia Mbowe akiongea Kiingereza ni kama Marine tu, wala sio aibu ni kawaida tu

hatupo hapa kwa lengo la kuwalinganisha.. Mbowe ni mwanasiasa na Marine ni mtangazaji. Wapo kwenye field tofauti. Inakuwa vipi uwalinganishe?
 
Mkuu sio lazima kukijua kiingereza lakini sasa kwanini tunaendelea kuking'ang'ania na hatuchukui hatua kujifunza tukijue vizuri? Nionavyo mm kuna mambo mawili tunapaswa kuchagua. Moja tuachane nacho na tuanze kutumia wakalimani kama wajerumani, wachina, waarabu na wengineo. Au tuwe serious basi tuwekeze vizuri kwenye hii lugha ili tuondokane na hii aibu ya kila siku. It does not make sense mwandishi mwandamizi kama huyo jamaa kutojua kiingereza basic kabisa, infact imefika mahali hata mawaziri,rais n.k wakikivunja kiingereza inaonekana poa tu which is not ok kabisa.

nakuunga mkono.
 
Hahaha ule upara wake huwa unanichekesha sana utafikiri nyama ya **** au kibumbu,kumbe leseni yake ya english ni class L,alisomea wapi huyu,au ndo ukikosa nywele na akili pia
 
i suggest kuanzia aliyetuma hii thread,tuanze kujadili hii post kwa kiingereza tu tuone nani anachapia. lets go!!!
 
i suggest kuanzia aliyetuma hii thread,tuanze kujadili hii post kwa kiingereza tu tuone nani anachapia. lets go!!!

hapa sio nani bingwa wa kuongea kingereza. Kwanini ukubali kudhalilika wakati haujui?.
 
Ila sisi Waafrika tuna Matatizo, Ukiongea na Mzungu ukikosea HAKUCHEKI ila Mbongo dah
 
Hata wahubiri wa dini zetu hizi za bongo flavour cheki hii
Mzungu:my name is livingstone
Mkarimani:jina lake anaitwa jiwe linaloishi
Mzungu:I'm from johannesburg
Makrimani:anatokea ktk mfuko wa yohana
Mzungu:jesus is a mesiah
Mkarimani:yesu ni mmasai
Mzungu:he will come with joy and glory
Mkarimani:atakuja na joyce na gloria
Mzungu:amen
Makrimani:enyi watu
 
the one who posted this thread is a crazy and has a childish mind. poor you!
how can someone critisize while he is a mere crap per say?
YOU HAVE SHOWN HOW MAD AND WORTHLESS TO OUR COUNTRY.
mnaleta ushindani wa kisekondari. *****
 
Back
Top Bottom