Hii ni aibu Marine Hassan!

Hii ni aibu Marine Hassan!

Nimeona kwel jamaa lugha inasumbua,ila kwan kuna ulazima wa wote kujua kiingereza,hao wanaojua wametusaidia nn hadi sasa!tupende lugha yetu!

kwanini aongee asijokijua? Huyu ni sawa na kibonde yule zuzu wa clouds.
 
Kiingereza siyo lugha yetu ya kwanza. kukosea ni jamabo la kawaida. Hebu na nyie mnaojidai kumkosoa jaribuni kuandika kiingereza chenu tukione!

puuzi sana wewe! Wasiokijua hawakiongei...yeye hajui alafu anaongea,Tbc hovyoooo!
 
mbona hamtaki hii thread tuijadili kwa kiingereza?? tunaponda kiingereza kwa kutumia kiswahili.....why??
tumponde marine kwa kujadili kwa kiingereza jamani.
mbona wewe unapendekeza kwa kiswahili.
 
kwa kuwa wengi wanakosea kwa hiyo makosa yake sio kitu? Two wrongs can't make a right! Ok?

huyu mtangazaji sio mara ya kwanza kwani hata cku alipokuwa anawahoji wale waliokuja kufanya tamasha la injili pamoja na kufanya maigzo ya maisha ya yesu alipumba hvo hvo!
 
CDM mna matatizo sana
Wapelekeni shule hawa jamani.
Wasiende CHUO kabla ya Primary and secondary school.
zanzibaris4.jpg
 
SIKIENI JAMANI,HUU NI UGONJWA WA SISI WA TZ WOOOOTE.
MTU ANAONA AIBU KUONGEA KIINGEREZA KIBAYA, LAKINI ANAONA FAHARI KUONGEA KISWAHILI KIBAYA KABISA. MFANO; unakuta mtu mzima anasema "wamama na wababa" ni kiswajili hiki??? kwanini asiseme "akina mama na akina baba" pia utasikia "huu wimbo mzuri sana" why not "hii nyimbo ni nzuri sana?"
TUNAJIAIBISHA NA HATUJUI TUNAKOKWENDA. NDO MAANA VYUO VYA NJE HASA UJERUMANI WANAKOFUNDISHA KISWAHILI, WALIMU WENGI NI WACOMORO NA WAKENYA. WA TZ MMEBAKI VIJIWENI TU KUONGEA KISWAHILI KIBOVU KABISA.
NAREJEA KAULI YANGU YA SIKU ZOTE.
WA TZ 1. HATUNA AKILI KABISA 2. SI WAZALENDO.
NI HAYO TU.
PUMBAVU SANA MTUMA THREAD HII
Ha ha ha Hazole = Marine Hasan? Pole sana aisee punguza hasira bro
 
Kama wewe haupo ni wewe kila mtu ana haki ya kuchangia anachokijua, sasa wewe unataka kuwapangia watu wazima cha kuongea!
Kuna member mmoja mwanzo kabisa kachangia kasema kiingereza cha Marine kama cha JK. mbona ukumwambia? Usiwe mzee wa pumba wewe
Kichenchede!!!
 
SIKIENI JAMANI,HUU NI UGONJWA WA SISI WA TZ WOOOOTE.
MTU ANAONA AIBU KUONGEA KIINGEREZA KIBAYA, LAKINI ANAONA FAHARI KUONGEA KISWAHILI KIBAYA KABISA. MFANO; unakuta mtu mzima anasema "wamama na wababa" ni kiswajili hiki??? kwanini asiseme "akina mama na akina baba" pia utasikia "huu wimbo mzuri sana" why not "hii nyimbo ni nzuri sana?"
TUNAJIAIBISHA NA HATUJUI TUNAKOKWENDA. NDO MAANA VYUO VYA NJE HASA UJERUMANI WANAKOFUNDISHA KISWAHILI, WALIMU WENGI NI WACOMORO NA WAKENYA. WA TZ MMEBAKI VIJIWENI TU KUONGEA KISWAHILI KIBOVU KABISA.
NAREJEA KAULI YANGU YA SIKU ZOTE.
WA TZ 1. HATUNA AKILI KABISA 2. SI WAZALENDO.
NI HAYO TU.
PUMBAVU SANA MTUMA THREAD HII

asanteh sana mkuu,lakin marine kaongea hasichokijua,naye pumbvu zake.
 
Wapelekeni shule hawa jamani.
Wasiende CHUO kabla ya Primary and secondary school.
zanzibaris4.jpg
Kwa sababu ya kuuelewa umuhimu wa elimu, Uislamu umehimiza Waislamu kuitafuta na kujifunza elimu. Mfumo wa maisha ya Muislamu umetawaliwa na sheria maalum ambapo ili mtu aishi kama Muislamu wa kweli inambidi awe na elimu. Elimu huanza tangu utoto. Ni utaratibu uliopo tangu kutangaza kwa Uislamu kwa watoto wa Kiislamu kupelekwa katika madrasa kusoma elimu. Hapo zamani wazazi walikuwa wakichukua jukumu la kuwasomesha wenyewe watoto wao ambapo kwa siku hizi hutegemea zaidi madrasa. Kwa sababu hii miji yenye Waislamu wengi madrasa za watoto huonekana katika kila kona ya mji.
 
Shame upon you Mr Hassan Marine.You have tarnished the good image of our country, particularly media fraternity!!
 
Hata nami nina wasiwasi na Cv yake. Yawezekana ni Principal Kanjanja.
Jamaa ni kibaraka Mkubwa wa CCM. Labda hii ndo qualification inayomuweka mjini
 
i suggest kuanzia aliyetuma hii thread,tuanze kujadili hii post kwa kiingereza tu tuone nani anachapia. lets go!!!

the one who posted this thread is a crazy and has a childish mind. poor you!
how can someone critisize while he is a mere crap per say?
YOU HAVE SHOWN HOW MAD AND WORTHLESS TO OUR COUNTRY.
mnaleta ushindani wa kisekondari. *****

Duh! Kwa namna hii kweli hakuna ambae ataweza kushindana nawe.
 
Back
Top Bottom