Hii ni aibu Marine Hassan!

Hii ni aibu Marine Hassan!

watanzania kwa kubebana hamjambo kabisaaaa
Marine ni mtangazaji na tbc inaangaliwa na watu
wengi na tofauti siwaeli wanaosema si kosa kutojua kiingereza.
nasema ni aibu sana kwake na uongozi mzima wa tbc.
ndo maana television nyingine huwa wana wapa wenye uwezo kwenye kipindi kama hicho.
tumtofautisheje na yule aliyeulizwa kwa nini nchi yake masikini? na kujibu hajui
au ni sawa na kuwa msemaji wa tanesco unaulizwa kwa nini hatuna umeme na unajibu hujui!!.......damn!!!
 
SIKIENI JAMANI,HUU NI UGONJWA WA SISI WA TZ WOOOOTE.
MTU ANAONA AIBU KUONGEA KIINGEREZA KIBAYA, LAKINI ANAONA FAHARI KUONGEA KISWAHILI KIBAYA KABISA. MFANO; unakuta mtu mzima anasema "wamama na wababa" ni kiswajili hiki??? kwanini asiseme "akina mama na akina baba" pia utasikia "huu wimbo mzuri sana" why not "hii nyimbo ni nzuri sana?"
TUNAJIAIBISHA NA HATUJUI TUNAKOKWENDA. NDO MAANA VYUO VYA NJE HASA UJERUMANI WANAKOFUNDISHA KISWAHILI, WALIMU WENGI NI WACOMORO NA WAKENYA. WA TZ MMEBAKI VIJIWENI TU KUONGEA KISWAHILI KIBOVU KABISA.
NAREJEA KAULI YANGU YA SIKU ZOTE.
WA TZ 1. HATUNA AKILI KABISA 2. SI WAZALENDO.
NI HAYO TU.
PUMBAVU SANA MTUMA THREAD HII
 
Let them say Hassan,the cant you,you are tall water to them...Waachie kiingereza waingereza na malimbukeni wale wanaowaabudu hadi kuamini hatuwezi bila Kiingrish.
 
hatupo hapa kwa lengo la kuwalinganisha.. Mbowe ni mwanasiasa na Marine ni mtangazaji. Wapo kwenye field tofauti. Inakuwa vipi uwalinganishe?

Kama wewe haupo ni wewe kila mtu ana haki ya kuchangia anachokijua, sasa wewe unataka kuwapangia watu wazima cha kuongea!
Kuna member mmoja mwanzo kabisa kachangia kasema kiingereza cha Marine kama cha JK. mbona ukumwambia? Usiwe mzee wa pumba wewe
 
Acha ushamba ww, hicho alichokiongea ni kiingereza cha wengi katika kiswahili. Kama aliyekuwa anaulizwa alikuwa anajibu tatizo lipo wapi, lugha yoyote dhima yake kuu ni kufanikisha mawasiliano/kuelewana, ulishasikia chochote kuhusu lugha za creole na pidgin

kweli kaka nimekubali yule marine hana haja ya kulaumiwa kwa kuongea kingereza cha kiswahili,anaonekana kuwa ni mswahili kama sisi
 
Kweli kakosea sijakataa lakini angekua Mzungu(Mwingereza) kakosea kuongea kiswahili sijui wenzie wange comment kaka wewe!!!????Kiingereza si lugha yetu bana!
 
watanzania kwa kubebana hamjambo kabisaaaa
Marine ni mtangazaji na tbc inaangaliwa na watu
wengi na tofauti siwaeli wanaosema si kosa kutojua kiingereza.
nasema ni aibu sana kwake na uongozi mzima wa tbc.
ndo maana television nyingine huwa wana wapa wenye uwezo kwenye kipindi kama hicho.
tumtofautisheje na yule aliyeulizwa kwa nini nchi yake masikini? na kujibu hajui
au ni sawa na kuwa msemaji wa tanesco unaulizwa kwa nini hatuna umeme na unajibu hujui!!.......damn!!!

Nafikiri jibu unalijua,sijui sababu gani imekufanya uulize.
Kama 'role model' ndo huyo kwenye nyekundu,je wanaomtukuza wafanyeje ?
 
inahuzunisha sana........mtangazaji kama yule hajui ung'eng'e??!!!!.....kazi kweli

huwa anajifanya kama mtangazji wa kimataifa..kumbe hopeless!!!
 
SIKIENI JAMANI,HUU NI UGONJWA WA SISI WA TZ WOOOOTE.
MTU ANAONA AIBU KUONGEA KIINGEREZA KIBAYA, LAKINI ANAONA FAHARI KUONGEA KISWAHILI KIBAYA KABISA. MFANO; unakuta mtu mzima anasema "wamama na wababa" ni kiswajili hiki??? kwanini asiseme "akina mama na akina baba" pia utasikia "huu wimbo mzuri sana" why not "hii nyimbo ni nzuri sana?"
TUNAJIAIBISHA NA HATUJUI TUNAKOKWENDA. NDO MAANA VYUO VYA NJE HASA UJERUMANI WANAKOFUNDISHA KISWAHILI, WALIMU WENGI NI WACOMORO NA WAKENYA. WA TZ MMEBAKI VIJIWENI TU KUONGEA KISWAHILI KIBOVU KABISA.
NAREJEA KAULI YANGU YA SIKU ZOTE.
WA TZ 1. HATUNA AKILI KABISA 2. SI WAZALENDO.
NI HAYO TU.
PUMBAVU SANA MTUMA THREAD HII

Kaka marine punguza jazba hii ndio JF. Karibu sana jamvini, pole lakini kwa yaliyokusibu hahahaha, kajinoe pale british council ka lugha ka malkia haka
 
Alikuwa anamuiga masanja kwenye ze-komedi nini? Heheheeee!

'you know what im sayn...chakachua nikuchakachuer, if u dont like me, leave me alone' yaani hata masanja anamzidi!
 
Acha ushamba ww, hicho alichokiongea ni kiingereza cha wengi katika kiswahili. Kama aliyekuwa anaulizwa alikuwa anajibu tatizo lipo wapi, lugha yoyote dhima yake kuu ni kufanikisha mawasiliano/kuelewana, ulishasikia chochote kuhusu lugha za creole na pidgin


mwingine huyu sijui katokea api
 
mbona hamtaki hii thread tuijadili kwa kiingereza?? tunaponda kiingereza kwa kutumia kiswahili.....why??
tumponde marine kwa kujadili kwa kiingereza jamani.
 
Jaman msimuandame sana kwani ye wa kwanza katika nchi hi tulio wengi tunacho cha kuungaunga tu kwa sababu 2
1.kwanza mazingila yetu tulio wengi yanatulazimisha kufahamu kiswahili kuliko lugha nyingine.tulio wengi tunasoma shule za kawaida ambazo kingeleza sio muhimu mana hata walimu kwao ni tatizo.
Kingeleza sio muhimu sana mana ni tatizo hata viongoz wetu wengi hawajui hiyo lugha hawawezi kuongea kingeleza kilicho nyoka.
Jamani ujue hii dunia ya sasa ni ya sayansi na teknolojia hivyo ni bora watu wa tanzania tujivunia lugha yetu mana inazidi kukuwa kila leo
 
Back
Top Bottom